SIMULIZI RIWAYA
JF-Expert Member
- Feb 19, 2022
- 415
- 1,275
- Thread starter
- #41
Msimu wa kwanza na wa pili wa simulizi hii, unapatika kwa Tsh elfu 1 tu piga simu au njoo WhatsApp namba 0756862047 Saul David
LeoMuendelezoo
tuendelezee kiongozi
Ushaanza kuwa muongo kaka? Ulisema jana, mpaka leo kimya. Mapema umeanza hivi. Tutafika kweli?
Lipia kama unataka kuwahi kumalizia, bongo ndio tunapozingua hapoUshaanza kuwa muongo kaka? Ulisema jana, mpaka leo kimya. Mapema umeanza hivi. Tutafika kweli?
Mapema sana kulipia WhatsApp. Ngoma inatakiwa ichanganye, itupe hang over ya nguvu mpaka kulazimika kwenda WhatsApp.😄😄Lipia kama unataka kuwahi kumalizia, bongo ndio tunapozingua
Usijaliendeleza simulzi mkuu