SIMULIZI: Mama mkwe

SIMULIZI: Mama mkwe

Hadithi tu rafiki...
Nitaisoma halafu inaonekana una kipaji kizuri cha uandishi, Vipi una plan hata ya kuiendeleza hii fani? Maana Fani/Kipaji ndio kinacholipa kuliko hata ajira za kuajiliwa
 
Nimewahi sikia story kuhusu uchawi na maeneo hayo, nikaona nikiiweka kwa story itanoga, ila naamini ushirikina upo kila sehemu my dear ingawa baadhi ya maeneo ni vinara kama usukumani, Tanga, kigoma na Sumbawanga...it's just a story ,enjoy...nothing personal
Usukumani hakuna hizo ishu za Kichawi kwanza wakikuhisi ni Mchawi lazima wapite na kichwa chako. Tuombe msamaha Just Nana 😅 😅 😅
 
Nitaisoma halafu inaonekana una kipaji kizuri cha uandishi, Vipi una plan hata ya kuiendeleza hii fani? Maana Fani/Kipaji ndio kinacholipa kuliko hata ajira za kuajiliwa
Nipo kulitafakari hilo bro...ngoja tuone mapokeo my dear...thanx ...am gratefully!
 
Tunapopambana kuomba ndoa ,tusisahau kuombea na familia tunazoenda kuolewa....Be blessed...Mungu awatunze...
Napenda ur stories zinajenga, na kutufanya wapya kila siku ,
MUNGU NI MWEMA , TUNASUBILI NYINGINE ZAID
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom