Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,168
- Thread starter
- #21
Sehemu ya 20.
"Vipi biashara?"
"Biashara nzuri tu," nilimjibu.
Alinijibu kana kwamba hanijali lakini ukweli alikuwa ananijali, tena sana.
Akiwa bado amesimama aliniambia kuwa yeye anazo dawa za kuvuta wateja kwenye biashara yangu.
"Wateja mbona wapo kibao tu," nilimjibu huku nikimwangalia.
"Sawa bwana," naye alinijibu huku akianza kuondoka mahali pale.
Wakati anaondoka nilikuwa nikimkazia macho ya kumsindikiza mpaka alipopotea machoni mwangu. Wakati narudisha macho katika kazi niliokuwa naifanya pembeni yangu alisimama mwanamke mmoja ambapo tulipokutana macho tu alinisalimia.
"Hujambo kijana?"
"Sijambo, shikamoo."
"Marahaba eti nimemkuta mzee Jumaa?"
"Simfahamu halafu sitaki kusikia habari za huyo mzee," nilimjibu huyo mwanamke.
Je, nini kitaendelea?
"Vipi biashara?"
"Biashara nzuri tu," nilimjibu.
Alinijibu kana kwamba hanijali lakini ukweli alikuwa ananijali, tena sana.
Akiwa bado amesimama aliniambia kuwa yeye anazo dawa za kuvuta wateja kwenye biashara yangu.
"Wateja mbona wapo kibao tu," nilimjibu huku nikimwangalia.
"Sawa bwana," naye alinijibu huku akianza kuondoka mahali pale.
Wakati anaondoka nilikuwa nikimkazia macho ya kumsindikiza mpaka alipopotea machoni mwangu. Wakati narudisha macho katika kazi niliokuwa naifanya pembeni yangu alisimama mwanamke mmoja ambapo tulipokutana macho tu alinisalimia.
"Hujambo kijana?"
"Sijambo, shikamoo."
"Marahaba eti nimemkuta mzee Jumaa?"
"Simfahamu halafu sitaki kusikia habari za huyo mzee," nilimjibu huyo mwanamke.
Je, nini kitaendelea?