Simulizi:Death Of Innocent

Simulizi:Death Of Innocent

*Sehemu ya 15*


“Prosper!”
“Naam Belinda!”
“Sitakusamahe maishani mwangu na hata kama nitakusamahe basi sitasahau siku zote!” Alisema Belinda na kuanza kutembea kwa haraka kutoka chumbani kwenda nje ya gereza.

“Belinda! Belinda! Belinda usiondoke!” Prosper aliita wakati Belinda akitoka chumbani lakini hakugeuka kuangalia nyuma alizidi kutembea kwa haraka huku akilia.
*****************

Alitoka hadi nje ambako alitembea hadi kituo cha mabasi madogo na muda mfupi baadaye daladala moja lilikuja na kusimama pembeni yake, alimbeba vizuri mtoto wake na kuingia ndani na kuchukua kiti cha nyuma kabisa, alikuwa bado na hofu ya kusababisha harufu lakini alipokumbuka kuwa alishafanyiwa operesheni na kuwa mkavu hofu hiyo ilitoweka mara moja.

Belinda aliendelea kububujiwa na machozi hadi wakati anafika mjini, watu wote ndani ya gari walimshangaa na walipomuuliza ni kwanini alilia machozi kiasi kile hakueleza chochote.

Alipomwangalia mtoto wake mzuri Alicia, aliyekuwa ameketi mikononi mwake roho yake ilimuuma zaidi, alikuwa mtoto mzuri mno kufa kwa Ukimwi!

Ilimuuma sana Belinda kujua kuwa hata mtoto wake hakuwa na maisha marefu mbele yake, lakini Alicia hakuwa na taarifa na kilichokuwa kikiendelea aliendelea kutabasamu huku akimpigapiga mama yake usoni.

Alipofika mjini Tabora aliteremka ndani ya basi, alihisi kukata tamaa ya kila kitu! Hakuona sababu ya kurudi tena Tutuo, kijijini kwao Prosper alichofikiria wakati huo ni kurudi tena Dar es Salaam kwa baba yake na kujaribu kumwomba msamaha! Lakini alipokumbuka jinsi baba yake alivyomfukuza kama mbwa roho iliingiwa wasiwasi na kujikuta akisita kuchukua hatua hiyo.

“Kwa kweli baba asingekuwa na matatizo ningerudi Dar , acha tu nirudi Tutuo!”
Baada ya kuwaza sana hatimaye mawazo yake yalimfikisha katika hatua hiyo lakini alipokumbuka kuwa nyumba aliyofikia ingekuwa tayari imekwishabomolewa na mwarabu aliyeinunua ili ajenge mashine, Belinda alikosa mahali pa kuelekea kwa sababu hakuona mahali pengine popote pa kufikia kijijini Tutuo.

“ Lakini acha tu niende, Wanyamwezi ni watu wakarimu sana, nitaomba kukaa kwa mtu yeyote au nitarudi tena kuomba kazi nyumbani kwa Mwarabu Mzee Mohamed nafikiri safari hii atakubali kwa sababu sina mimba na sinuki kama ilivyokuwa zamani!”

Belinda aliamua kurudi kijijini na alichofanya ni kwenda stendi ya basi ambako alipanda basi la kumpeleka kijijini Tutuo, njia nzima aliendelea kulia alijua maisha yake yalikuwa yamefika mwisho! Alihisi hakuwa na maisha tena mbele yake, binafsi hakujionea huruma sana aliyemtia simanzi zaidi alikuwa ni mtoto wake Alicia.

“Masikini Alicia anakufa kwa kosa lisilo lake akini kwanini hasa mtu amuue mtoto asiye na hatia? Prosper alishindwa kuvumilia shida? Nasema sitaki kumwona tena maishani mwangu!” Alisema kwa uchungu Belinda, hakujua alikuwa akiongea kwa sauti kiasi kwamba watu wote ndani ya basi waligeuka kumwangalia.
*******************

Gerezani:
Baada ya kuachwa chumbani Prosper alinyanyuka kwa unyonge na kutembea hadi chumba cha mahabusu na kwa muda mrefu aliendelea kulia na hakuona tena sababu ya kuendelea kuishi, alitamani kufa kukwepa aibu ya kuwaua mke na mtoto wake kwa Ukimwi lakini alishindwa kuelewa ni kwa njia ngani angeweza kujitoa uhai akiwa ndani ya gereza.

Alilia usiku mzima hadi asubuhi, alijuta kwa yote aliyoyafanya na alitamani sana kuonana tena na Belinda ili apate kuongea naye na kumwomba msamaha! Alijua hilo lisingewezekana hata kidogo kwani alikuwa na uhakika Belinda asingerudi tena.

“Laiti ningejua nisingejiingiza katika mchezo huo mbaya, shida za gerezani zingeniua mbona watu wengine wanaishi?”

Aliwaza Prosper huku akilia.
Prosper alikuwa na watu wengi sana wa kuwalaumu kuhusiana na suala hilo lakini watu waliopaswa kuzibeba lawama zote hizo walikuwa ni mama na dada zake kwa kitendo chao cha kumuua baba yake, bila wao kufanya hivyo Prosper aliamini asingeingia gerezani katika maisha yake!

“Ni wao ndio walilaumiwa niliingia gerezani kumwokoa mama na dada zangu, mama mwenyewe amekwishakufa na hata hao dada zangu hakuna hata mmoja anayefika hapa gerezani kunitembelea na bado nyumba na kiwanja alichoacha baba wameuza na kupotea, huu ni ukatili wa hali ya juu sana!” Aliendela kuwaza Prosper.

Baada ya siku hiyo Prosper hakuwaona tena Belinda na mtoto wake Alicia, kesi yake iliendelea katika mahakama kuu kanda ya Tabora na miezi mitatu baada ya Belinda kuondoka kesi hiyo ilifikia hukumu yake, alionekana kuwa na hatia mbele ya sheria baada ya yeye mwenyewe kukiri mauaji hayo ya baba yake mzazi mbele ya jaji Mohamed Simbila na kuhukumiwa kifo kwa kuchomwa sindano ya sumu
Mahakama nzima ilipigwa na butwaa baada ya hukumu hiyo, Prosper hakuonyesha huzuni wala kulia badala yake alitabasamu kwa furaha baada ya hukumu hiyo kutolewa.

“Una namna yoyote ya kujitetea?”
“Sitaki kujitetea Mhesimiwa Jaji, hukumu yako ni sahihi na hii ndiyo niliyoisubiri ili iniepushe na kifo cha mateso kilichopo mbele yangu!Nakushukuru sana mheshimiwa jaji na ninakupongeza sana kwa hukumu hiyo nzuri!” Alisema Prosper huku akicheka.

Bila kuchelewa maaskari walimpiga pingu mkononi na kumwondoa mahakamani, jaji aliyemkuhumu alibaki na maswali mengi sana kichwani mwake, alishafanya kazi ya kuhukumu watu kwa miaka karibu ishirini na alishahukumu watu wengi kifo lakini hakuwahi hata siku moja kumhukumu mtu kifo akicheka! Wengi walilia na kuomba kupunguziwa kifungo!

Siku iliyofuata Prosper ilitolewa amri Prosper ahamishiwe gereza la Keko jijini Dar es Salaam ambako angepambana na kifo chake! Alipakiwa ndani ya treni la abiria kutoka Mwanza kwa safari ya kwenda Dar es Salaam.

Prosper alilia lakini hakulia sababu ya hukumu ya kifo aliyopewa ila alilia kwa sababu alikuwa anapelekwa kufa bila kuonana na mke na mtoto wake kwa mara ya mwisho, alikuwa anakwenda kufa bila Belinda kufahamu ukweli juu yake! Pia alilia sababu yeye alikuwa anakwenda kufa na kuwaacha mkewe na mwanae wakiteseka kwa ugonjwa wa Ukimwi aliowaambukiza yeye.
*****************

Alicia, kijijini Tutuo:
Tayari alishazoea maisha ya nyumbani kwa mzee Mohamed, alifanya kazi kwa nguvu zake zote ili aweze kumridhisha mama mwenye nyumba, alipewa chumba kidogo ambacho alilala na mtoto wake kwa kutandika jamvi chini kila siku!

Ilikuwa ni kawaida yake siku zote kudamka mapema na kufanya kazi zote za ndani na ilipotimu sawa nne aliacha kazi hizo na kuanza kupasua kuni, baada ya kupasua kuni alianza kupika chakula cha mchana na baadaye alianza shughuli za ufuaji wa nguo za kila mtu nyumbani.

Zilikuwa ni kazi ngumu lakini Belinda alizifanya ili aweze kuishi na mtoto wake, katika miezi yote aliyokaa nyumbani kwa mwarabu Mzee Mohamed hakuwahi kumkumbuka Prosper lakini asubuhi ya siku hiyo akipasua kuni kumbukumbu za Prosper zilimsumbua kichwani, alitamani sana kumwona na aliona uamuzi aliouchukua haukuwa wa busara kwa sababu usingeweza kuubadilisha kitu chochote katika maisha yake kama ni virusi alishavipata na ni lazima yeye na mtoto wake wangekufa.

*Je, nini kitaendelea?*
 
Asante mama @Shunie
*Sehemu ya 15*


“Prosper!”
“Naam Belinda!”
“Sitakusamahe maishani mwangu na hata kama nitakusamahe basi sitasahau siku zote!” Alisema Belinda na kuanza kutembea kwa haraka kutoka chumbani kwenda nje ya gereza.

“Belinda! Belinda! Belinda usiondoke!” Prosper aliita wakati Belinda akitoka chumbani lakini hakugeuka kuangalia nyuma alizidi kutembea kwa haraka huku akilia.
*****************

Alitoka hadi nje ambako alitembea hadi kituo cha mabasi madogo na muda mfupi baadaye daladala moja lilikuja na kusimama pembeni yake, alimbeba vizuri mtoto wake na kuingia ndani na kuchukua kiti cha nyuma kabisa, alikuwa bado na hofu ya kusababisha harufu lakini alipokumbuka kuwa alishafanyiwa operesheni na kuwa mkavu hofu hiyo ilitoweka mara moja.

Belinda aliendelea kububujiwa na machozi hadi wakati anafika mjini, watu wote ndani ya gari walimshangaa na walipomuuliza ni kwanini alilia machozi kiasi kile hakueleza chochote.

Alipomwangalia mtoto wake mzuri Alicia, aliyekuwa ameketi mikononi mwake roho yake ilimuuma zaidi, alikuwa mtoto mzuri mno kufa kwa Ukimwi!

Ilimuuma sana Belinda kujua kuwa hata mtoto wake hakuwa na maisha marefu mbele yake, lakini Alicia hakuwa na taarifa na kilichokuwa kikiendelea aliendelea kutabasamu huku akimpigapiga mama yake usoni.

Alipofika mjini Tabora aliteremka ndani ya basi, alihisi kukata tamaa ya kila kitu! Hakuona sababu ya kurudi tena Tutuo, kijijini kwao Prosper alichofikiria wakati huo ni kurudi tena Dar es Salaam kwa baba yake na kujaribu kumwomba msamaha! Lakini alipokumbuka jinsi baba yake alivyomfukuza kama mbwa roho iliingiwa wasiwasi na kujikuta akisita kuchukua hatua hiyo.

“Kwa kweli baba asingekuwa na matatizo ningerudi Dar , acha tu nirudi Tutuo!”
Baada ya kuwaza sana hatimaye mawazo yake yalimfikisha katika hatua hiyo lakini alipokumbuka kuwa nyumba aliyofikia ingekuwa tayari imekwishabomolewa na mwarabu aliyeinunua ili ajenge mashine, Belinda alikosa mahali pa kuelekea kwa sababu hakuona mahali pengine popote pa kufikia kijijini Tutuo.

“ Lakini acha tu niende, Wanyamwezi ni watu wakarimu sana, nitaomba kukaa kwa mtu yeyote au nitarudi tena kuomba kazi nyumbani kwa Mwarabu Mzee Mohamed nafikiri safari hii atakubali kwa sababu sina mimba na sinuki kama ilivyokuwa zamani!”

Belinda aliamua kurudi kijijini na alichofanya ni kwenda stendi ya basi ambako alipanda basi la kumpeleka kijijini Tutuo, njia nzima aliendelea kulia alijua maisha yake yalikuwa yamefika mwisho! Alihisi hakuwa na maisha tena mbele yake, binafsi hakujionea huruma sana aliyemtia simanzi zaidi alikuwa ni mtoto wake Alicia.

“Masikini Alicia anakufa kwa kosa lisilo lake akini kwanini hasa mtu amuue mtoto asiye na hatia? Prosper alishindwa kuvumilia shida? Nasema sitaki kumwona tena maishani mwangu!” Alisema kwa uchungu Belinda, hakujua alikuwa akiongea kwa sauti kiasi kwamba watu wote ndani ya basi waligeuka kumwangalia.
*******************

Gerezani:
Baada ya kuachwa chumbani Prosper alinyanyuka kwa unyonge na kutembea hadi chumba cha mahabusu na kwa muda mrefu aliendelea kulia na hakuona tena sababu ya kuendelea kuishi, alitamani kufa kukwepa aibu ya kuwaua mke na mtoto wake kwa Ukimwi lakini alishindwa kuelewa ni kwa njia ngani angeweza kujitoa uhai akiwa ndani ya gereza.

Alilia usiku mzima hadi asubuhi, alijuta kwa yote aliyoyafanya na alitamani sana kuonana tena na Belinda ili apate kuongea naye na kumwomba msamaha! Alijua hilo lisingewezekana hata kidogo kwani alikuwa na uhakika Belinda asingerudi tena.

“Laiti ningejua nisingejiingiza katika mchezo huo mbaya, shida za gerezani zingeniua mbona watu wengine wanaishi?”

Aliwaza Prosper huku akilia.
Prosper alikuwa na watu wengi sana wa kuwalaumu kuhusiana na suala hilo lakini watu waliopaswa kuzibeba lawama zote hizo walikuwa ni mama na dada zake kwa kitendo chao cha kumuua baba yake, bila wao kufanya hivyo Prosper aliamini asingeingia gerezani katika maisha yake!

“Ni wao ndio walilaumiwa niliingia gerezani kumwokoa mama na dada zangu, mama mwenyewe amekwishakufa na hata hao dada zangu hakuna hata mmoja anayefika hapa gerezani kunitembelea na bado nyumba na kiwanja alichoacha baba wameuza na kupotea, huu ni ukatili wa hali ya juu sana!” Aliendela kuwaza Prosper.

Baada ya siku hiyo Prosper hakuwaona tena Belinda na mtoto wake Alicia, kesi yake iliendelea katika mahakama kuu kanda ya Tabora na miezi mitatu baada ya Belinda kuondoka kesi hiyo ilifikia hukumu yake, alionekana kuwa na hatia mbele ya sheria baada ya yeye mwenyewe kukiri mauaji hayo ya baba yake mzazi mbele ya jaji Mohamed Simbila na kuhukumiwa kifo kwa kuchomwa sindano ya sumu
Mahakama nzima ilipigwa na butwaa baada ya hukumu hiyo, Prosper hakuonyesha huzuni wala kulia badala yake alitabasamu kwa furaha baada ya hukumu hiyo kutolewa.

“Una namna yoyote ya kujitetea?”
“Sitaki kujitetea Mhesimiwa Jaji, hukumu yako ni sahihi na hii ndiyo niliyoisubiri ili iniepushe na kifo cha mateso kilichopo mbele yangu!Nakushukuru sana mheshimiwa jaji na ninakupongeza sana kwa hukumu hiyo nzuri!” Alisema Prosper huku akicheka.

Bila kuchelewa maaskari walimpiga pingu mkononi na kumwondoa mahakamani, jaji aliyemkuhumu alibaki na maswali mengi sana kichwani mwake, alishafanya kazi ya kuhukumu watu kwa miaka karibu ishirini na alishahukumu watu wengi kifo lakini hakuwahi hata siku moja kumhukumu mtu kifo akicheka! Wengi walilia na kuomba kupunguziwa kifungo!

Siku iliyofuata Prosper ilitolewa amri Prosper ahamishiwe gereza la Keko jijini Dar es Salaam ambako angepambana na kifo chake! Alipakiwa ndani ya treni la abiria kutoka Mwanza kwa safari ya kwenda Dar es Salaam.

Prosper alilia lakini hakulia sababu ya hukumu ya kifo aliyopewa ila alilia kwa sababu alikuwa anapelekwa kufa bila kuonana na mke na mtoto wake kwa mara ya mwisho, alikuwa anakwenda kufa bila Belinda kufahamu ukweli juu yake! Pia alilia sababu yeye alikuwa anakwenda kufa na kuwaacha mkewe na mwanae wakiteseka kwa ugonjwa wa Ukimwi aliowaambukiza yeye.
*****************

Alicia, kijijini Tutuo:
Tayari alishazoea maisha ya nyumbani kwa mzee Mohamed, alifanya kazi kwa nguvu zake zote ili aweze kumridhisha mama mwenye nyumba, alipewa chumba kidogo ambacho alilala na mtoto wake kwa kutandika jamvi chini kila siku!

Ilikuwa ni kawaida yake siku zote kudamka mapema na kufanya kazi zote za ndani na ilipotimu sawa nne aliacha kazi hizo na kuanza kupasua kuni, baada ya kupasua kuni alianza kupika chakula cha mchana na baadaye alianza shughuli za ufuaji wa nguo za kila mtu nyumbani.

Zilikuwa ni kazi ngumu lakini Belinda alizifanya ili aweze kuishi na mtoto wake, katika miezi yote aliyokaa nyumbani kwa mwarabu Mzee Mohamed hakuwahi kumkumbuka Prosper lakini asubuhi ya siku hiyo akipasua kuni kumbukumbu za Prosper zilimsumbua kichwani, alitamani sana kumwona na aliona uamuzi aliouchukua haukuwa wa busara kwa sababu usingeweza kuubadilisha kitu chochote katika maisha yake kama ni virusi alishavipata na ni lazima yeye na mtoto wake wangekufa.

*Je, nini kitaendelea?*

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Asante sana Shunie
*Sehemu ya 15*


“Prosper!”
“Naam Belinda!”
“Sitakusamahe maishani mwangu na hata kama nitakusamahe basi sitasahau siku zote!” Alisema Belinda na kuanza kutembea kwa haraka kutoka chumbani kwenda nje ya gereza.

“Belinda! Belinda! Belinda usiondoke!” Prosper aliita wakati Belinda akitoka chumbani lakini hakugeuka kuangalia nyuma alizidi kutembea kwa haraka huku akilia.
*****************

Alitoka hadi nje ambako alitembea hadi kituo cha mabasi madogo na muda mfupi baadaye daladala moja lilikuja na kusimama pembeni yake, alimbeba vizuri mtoto wake na kuingia ndani na kuchukua kiti cha nyuma kabisa, alikuwa bado na hofu ya kusababisha harufu lakini alipokumbuka kuwa alishafanyiwa operesheni na kuwa mkavu hofu hiyo ilitoweka mara moja.

Belinda aliendelea kububujiwa na machozi hadi wakati anafika mjini, watu wote ndani ya gari walimshangaa na walipomuuliza ni kwanini alilia machozi kiasi kile hakueleza chochote.

Alipomwangalia mtoto wake mzuri Alicia, aliyekuwa ameketi mikononi mwake roho yake ilimuuma zaidi, alikuwa mtoto mzuri mno kufa kwa Ukimwi!

Ilimuuma sana Belinda kujua kuwa hata mtoto wake hakuwa na maisha marefu mbele yake, lakini Alicia hakuwa na taarifa na kilichokuwa kikiendelea aliendelea kutabasamu huku akimpigapiga mama yake usoni.

Alipofika mjini Tabora aliteremka ndani ya basi, alihisi kukata tamaa ya kila kitu! Hakuona sababu ya kurudi tena Tutuo, kijijini kwao Prosper alichofikiria wakati huo ni kurudi tena Dar es Salaam kwa baba yake na kujaribu kumwomba msamaha! Lakini alipokumbuka jinsi baba yake alivyomfukuza kama mbwa roho iliingiwa wasiwasi na kujikuta akisita kuchukua hatua hiyo.

“Kwa kweli baba asingekuwa na matatizo ningerudi Dar , acha tu nirudi Tutuo!”
Baada ya kuwaza sana hatimaye mawazo yake yalimfikisha katika hatua hiyo lakini alipokumbuka kuwa nyumba aliyofikia ingekuwa tayari imekwishabomolewa na mwarabu aliyeinunua ili ajenge mashine, Belinda alikosa mahali pa kuelekea kwa sababu hakuona mahali pengine popote pa kufikia kijijini Tutuo.

“ Lakini acha tu niende, Wanyamwezi ni watu wakarimu sana, nitaomba kukaa kwa mtu yeyote au nitarudi tena kuomba kazi nyumbani kwa Mwarabu Mzee Mohamed nafikiri safari hii atakubali kwa sababu sina mimba na sinuki kama ilivyokuwa zamani!”

Belinda aliamua kurudi kijijini na alichofanya ni kwenda stendi ya basi ambako alipanda basi la kumpeleka kijijini Tutuo, njia nzima aliendelea kulia alijua maisha yake yalikuwa yamefika mwisho! Alihisi hakuwa na maisha tena mbele yake, binafsi hakujionea huruma sana aliyemtia simanzi zaidi alikuwa ni mtoto wake Alicia.

“Masikini Alicia anakufa kwa kosa lisilo lake akini kwanini hasa mtu amuue mtoto asiye na hatia? Prosper alishindwa kuvumilia shida? Nasema sitaki kumwona tena maishani mwangu!” Alisema kwa uchungu Belinda, hakujua alikuwa akiongea kwa sauti kiasi kwamba watu wote ndani ya basi waligeuka kumwangalia.
*******************

Gerezani:
Baada ya kuachwa chumbani Prosper alinyanyuka kwa unyonge na kutembea hadi chumba cha mahabusu na kwa muda mrefu aliendelea kulia na hakuona tena sababu ya kuendelea kuishi, alitamani kufa kukwepa aibu ya kuwaua mke na mtoto wake kwa Ukimwi lakini alishindwa kuelewa ni kwa njia ngani angeweza kujitoa uhai akiwa ndani ya gereza.

Alilia usiku mzima hadi asubuhi, alijuta kwa yote aliyoyafanya na alitamani sana kuonana tena na Belinda ili apate kuongea naye na kumwomba msamaha! Alijua hilo lisingewezekana hata kidogo kwani alikuwa na uhakika Belinda asingerudi tena.

“Laiti ningejua nisingejiingiza katika mchezo huo mbaya, shida za gerezani zingeniua mbona watu wengine wanaishi?”

Aliwaza Prosper huku akilia.
Prosper alikuwa na watu wengi sana wa kuwalaumu kuhusiana na suala hilo lakini watu waliopaswa kuzibeba lawama zote hizo walikuwa ni mama na dada zake kwa kitendo chao cha kumuua baba yake, bila wao kufanya hivyo Prosper aliamini asingeingia gerezani katika maisha yake!

“Ni wao ndio walilaumiwa niliingia gerezani kumwokoa mama na dada zangu, mama mwenyewe amekwishakufa na hata hao dada zangu hakuna hata mmoja anayefika hapa gerezani kunitembelea na bado nyumba na kiwanja alichoacha baba wameuza na kupotea, huu ni ukatili wa hali ya juu sana!” Aliendela kuwaza Prosper.

Baada ya siku hiyo Prosper hakuwaona tena Belinda na mtoto wake Alicia, kesi yake iliendelea katika mahakama kuu kanda ya Tabora na miezi mitatu baada ya Belinda kuondoka kesi hiyo ilifikia hukumu yake, alionekana kuwa na hatia mbele ya sheria baada ya yeye mwenyewe kukiri mauaji hayo ya baba yake mzazi mbele ya jaji Mohamed Simbila na kuhukumiwa kifo kwa kuchomwa sindano ya sumu
Mahakama nzima ilipigwa na butwaa baada ya hukumu hiyo, Prosper hakuonyesha huzuni wala kulia badala yake alitabasamu kwa furaha baada ya hukumu hiyo kutolewa.

“Una namna yoyote ya kujitetea?”
“Sitaki kujitetea Mhesimiwa Jaji, hukumu yako ni sahihi na hii ndiyo niliyoisubiri ili iniepushe na kifo cha mateso kilichopo mbele yangu!Nakushukuru sana mheshimiwa jaji na ninakupongeza sana kwa hukumu hiyo nzuri!” Alisema Prosper huku akicheka.

Bila kuchelewa maaskari walimpiga pingu mkononi na kumwondoa mahakamani, jaji aliyemkuhumu alibaki na maswali mengi sana kichwani mwake, alishafanya kazi ya kuhukumu watu kwa miaka karibu ishirini na alishahukumu watu wengi kifo lakini hakuwahi hata siku moja kumhukumu mtu kifo akicheka! Wengi walilia na kuomba kupunguziwa kifungo!

Siku iliyofuata Prosper ilitolewa amri Prosper ahamishiwe gereza la Keko jijini Dar es Salaam ambako angepambana na kifo chake! Alipakiwa ndani ya treni la abiria kutoka Mwanza kwa safari ya kwenda Dar es Salaam.

Prosper alilia lakini hakulia sababu ya hukumu ya kifo aliyopewa ila alilia kwa sababu alikuwa anapelekwa kufa bila kuonana na mke na mtoto wake kwa mara ya mwisho, alikuwa anakwenda kufa bila Belinda kufahamu ukweli juu yake! Pia alilia sababu yeye alikuwa anakwenda kufa na kuwaacha mkewe na mwanae wakiteseka kwa ugonjwa wa Ukimwi aliowaambukiza yeye.
*****************

Alicia, kijijini Tutuo:
Tayari alishazoea maisha ya nyumbani kwa mzee Mohamed, alifanya kazi kwa nguvu zake zote ili aweze kumridhisha mama mwenye nyumba, alipewa chumba kidogo ambacho alilala na mtoto wake kwa kutandika jamvi chini kila siku!

Ilikuwa ni kawaida yake siku zote kudamka mapema na kufanya kazi zote za ndani na ilipotimu sawa nne aliacha kazi hizo na kuanza kupasua kuni, baada ya kupasua kuni alianza kupika chakula cha mchana na baadaye alianza shughuli za ufuaji wa nguo za kila mtu nyumbani.

Zilikuwa ni kazi ngumu lakini Belinda alizifanya ili aweze kuishi na mtoto wake, katika miezi yote aliyokaa nyumbani kwa mwarabu Mzee Mohamed hakuwahi kumkumbuka Prosper lakini asubuhi ya siku hiyo akipasua kuni kumbukumbu za Prosper zilimsumbua kichwani, alitamani sana kumwona na aliona uamuzi aliouchukua haukuwa wa busara kwa sababu usingeweza kuubadilisha kitu chochote katika maisha yake kama ni virusi alishavipata na ni lazima yeye na mtoto wake wangekufa.

*Je, nini kitaendelea?*

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Japo tunachukulia kama hadithi tu lakini huwezi amini kuna watu wanayapitia haya kiuhalisia..Mungu atunusuru!
 
*Sehemu ya 13*


Belinda aliendelea kulia 
akiwa amemshika mtoto 
wake Alicia mkononi na Prosper aliendelea kumbembeleza asilie lakini hakusaidia kitu! Kadri alivyobembelezwa ndivyo Belinda alivyozidi kutokwa na machozi, alilia akimwangalia mtoto wake kwa macho ya huruma.

Alikuwa na wasiwasi na hofu kubwa sana moyoni mwake, alijua kama kweli kifo cha Savimbi kilisababishwa na Ukimwi basi hata Prosper alikuwa ameambukizwa! Na kama Prosper alikuwa ameambukizwa Belinda alikuwa na wasiwasi ni lazima na yeye pia alikuwa ameathirika kwa sababu alikutana naye kimwili na matokeo yake yakawa mimba iliyowapa mtoto wao Alicia.

Wasiwasi wake haukuishia hapo ulivuka mpaka hadi kwa mtoto wao, Belinda alijua kama yeye alikuwa ameathirika lazima na mtoto wao pia alikuwa katika hali hiyohiyo!

Hakuna kitu alichokiogopa maishani mwake kama ugonjwa wa Ukimwi! Aliujua ulivyotesa watu kabla ya vifo vyao, roho ilimuuma sana Belinda na kujikuta akimwaga machozi na kumtupia lawama nyingi Prosper.

“Prosper kwanini ulijiingiza katika mchezo huo na Savimbi?” Belinda aliuliza.
Badala ya kujibu swali aliloulizwa Prosper aliinamisha kichwa chini na kuendelea kulia, moyoni mwake alikuwa na maumivu makali na alijuta kwa uamuzi aliouchukua, hakuwa na namna ya kujitetea mbele ya Belinda, aliyoambiwa yote yalikuwa kweli tupu!

“Prosper naomba unijibu swali langu!”
“Darling huu sio wakati wa kunilaumu ninahitaji msamaha wako na msaada mkubwa wa mawazo! Niliingia katika mtego bila kujua hata mimi ninajuta!

Nina uhakika nimeambukizwa na mwisho wa maisha yangu upo karibu, ingawa najua nitanyongwa kwa kesi niliyonayo Mahakamani nisingependa hata kidogo kufa kwa Ukimwi! Nisamehe mke wangu” Alisema Prosper huku akilia.

Maneno ya Prosper yaliuchoma moyo wa Belinda na kumfanya agundue kuwa kweli hakutakiwa kumtupia lawama nyingi kiasi hicho kwa wakati mgumu aliokuwa nao! Hilo alilifahamu lakini bado maumivu yaliendelea kuwepo moyoni mwake, hakutaka kuukubali ukweli kuwa alikuwa ameambukizwa Ukimwi na hakuwa tayari kulipokea jibu hilo hata kama angepimwa.

Moyo wa Belinda haukuwa tayari kwa matokeo ya Ukimwi na alijua angekuwa marehemu siku moja baada ya kupewa majibu ya damu! Jambo ambalo hakutaka kabisa litokee kwa sababu kufanya hivyo kungemaanisha mateso kwa mtoto wake Alicia ambaye angekuwa Yatima tangu siku hiyo.

Alipenda sana kujua hali yake kiafya lakini aliogopa kupima damu! Alichofanya Belinda ni kumshawishi Prosper apime na majibu ambayo angepata ndiyo yangeonyesha kama alikuwa ameambukizwa au la!

“Lakini kuna watu huwa wanatembea na watu wenye virusi vya Ukimwi na hawaambukizwi, acha nisimtupie lawama nyingi sana Prosper mpaka apime damu yake inawazekana hakuambukizwa lakini hata kama ni hivyo nitawezaje kuwa na mwanaume shoga?” Alijiuliza Belinda bila kupata majibu ya maswali yake na machozi yaliendelea kumbubujika.

Muda mfupi baadaye huku Prosper na Belinda wakiendelea kulia mlango wa chumba ulifunguliwa na maaskari Magereza wawili wakaingia hadi ndani ya chumba walichokuwa wameketi Belinda na Prosper.

“Dada muda umekwisha tunakuomba sasa uondoke!” Alisema mmoja wa askari Magereza, mwanamke mwenye umri kati ya miaka ishirini na tano hadi thelathini aliyemwangalia Belinda kwa macho ya huruma.

“Ahsante dada naondoka sasa hivi!” Alijibu Belinda huku akinyanyuka na kumfunga mtoto wake mgongoni kwa kutumia khanga ndogo ya India.
“Belinda umenisamehe mke wangu?”

Prosper aliuliza wakati maaskari wakimnyanyua kutoka sakafuni alipokaa.
Belinda hakulijibu swali hilo alianza kutembea kuelekea nje ya Gereza, kichwani kwake kulijaa mawazo mengi kupita kiasi! Mbele yake aliona giza, kimawazo alijiona tayari yupo kitandani hoi akiugua Ukimwi kwa sababu tu ya uzembe wa Prosper!

“Wanawake wengi sana wanaponzwa na wanaume zao katika suala hili la Ukimwi, nimejitahidi kadri ya uwezo kuwa mwaminifu kwa Prosper lakini ameniangusha!” Aliwaza Belinda akitembea kuelekea kituo cha basi.

Mwili wa Belinda ulikuwa bado ukitoa harufu kwa sababu ya tundu alilolipata wakati wa kujifungua, kabla hajafika kituo cha basi kumbukumbu juu ya matatizo yaliyompata katika mabasi aliyopanda zilimrejea kichwani mwake, hakutaka kuzomewa tena na hakutaka tatizo lake limsumbue wala kumkosesha raha mtu yeyote! Kwa sababu hiyo Belinda aliamua kutembea kwa miguu kuelekea mjini Tabora.
****************

Aliingia Tabora mjini saa nane mchana jua likiwa linawaka kweli kweli, alitafuta kivuli na kuketi huku akitafakari nini cha kufanya, alipofikiria kwenda hospitali ya Kitete moja kwa moja alishindwa kwa sababu zilikuwa zimebaki siku saba kutimiza mwezi kabla hajarudi, alijua manesi wasingempokea mpaka tarehe aliyopewa kurudi hospitali ifike!

Uamuzi uliomwijia akilini mwake wakati huo ni kwenda kijijini Tutuo kusubiri mpaka tarehe ifike ndiyo aende hospitali kurekebishwa tundu lake, alisubiri kwa hamu kubwa sana siku hiyo!

Alitamani sana kupona na kurejea katika hali yake ya kawaida, alikuwa amechoshwa na kuzomewa pamoja na masimango aliyokuwa akiyapata.

“Na hili tundu ni kipimo tosha kama nina virusi vya Ukimwi au la! likipona nitakuwa sijaambukizwa lakini likikataa kupona nitakuwa navyo!” Belinda aliwaza kulingana na taarifa zilizokuwepo mitaani juu ya uponaji wa vidonda vya watu wenye Ukimwi.

Baada ya kuwaza kwa muda mrefu akiwa amekaa chini ya mti wa Mwembe karibu kabisa na shule ya sekondari ya Mihayo, Belinda alinyanyuka na kuamua kutembea hadi kituo cha basi ambako alipanda basi lililomfikisha hadi kijijini Tutuo, mtoto wake Alicia alilia kwa njaa lakini Belinda hakuwa na kitu cha kufanya ilikuwa ni mpaka afike nyumbani kwao na Prosper ndipo apike uji na kumpa.

Alisababisha usumbufu mkubwa sana ndani ya basi lakini hakuna mtu aliyegundua kuwa ni yeye aliyesababisha hali hiyo itokee, alipoteremka kituoni alitembea moja kwa moja hadi nyumbani kwao na Prosper, njiani watu wengi walionekana kumshangaa na hakuelewa sababu ilikuwa ni nini! Aliifananisha hali hiyo na mara ya mwisho alipokuja kijijini na kukuta mama yao Prosper amefariki.
“Sijui kimetokea nini tena leo?” Alijiuliza Belinda.

Mita chache kabla hajafika nyumbani alishangaa kuona ukuta mkubwa wa mabati ukiwa umekizunguka kiwanja chote cha nyumba ya akina Prosper! Belinda alishindwa kuelewa ni nini kilitokea ila alijua lazima kulikuwa na tatizo na aligundua ni kwanini watu walikuwa wakimshangaa.

“Nikusaidie dada?” Aliuliza mtu aliyemkuta mahali pale, aliyeonekana kama mlinzi.

“Nauliza waliokuwa wakiishi hapa wamehamia wapi?”
“Walikiuza kiwanja chao kwa mwarabu mzee Mohamed na sijui wamehamia wapi!”

Belinda aliishiwa nguvu miguuni na kujikuta amekaa chini bila kujua la kufanya, alishindwa kuelewa angekwenda nyumbani kwa nani na kuishi mpaka tarehe ya kwenda hospitali ifike! Kwa hali aliyokuwa nayo na harufu aliyoitoa alijua kusingekuwa na mtu ambaye si ndugu kijijini pale ambaye angevumilia kuishi naye ndani ya nyumba yake.
“Kwani vipi dada?”

“Kwani wewe hunifahamu mimi?”
“Ndiyo nilikuwa nakuona nyumbani kwa Mwarabu Mzee Mohamed lakini sikufahamu vizuri!”

“Nilikuwa naishi hapa na akina Nyamizi na Kasanda kabla sijaanza kazi nyumbani kwa Mwarabu mzee Mohamed, niliacha kazi nilipotakiwa kwenda kujifungua na baada ya hapo nilikwenda nyumbani kwetu Dar es Salaam na sasa nimerudi tena Tutuo nategemeo langu lilikuwa kufikia hapa hapa!”

Alisema Belinda huku akimtoa mtoto wake aliyekuwa akilia mgongoni na kujaribu kumnyonyesha lakini maziwa hayakuwemo kifuani kwake.
“Ukweli ndio huo dada sasa sijui utafanya nini!”

“Kaka yangu nina matatizo makubwa nafikiri hata hapo ulipo unasikia harufu ninayotoa, ni kazi ngumu sana kwa mtu yeyote kuishi na mimi ndani! Ninatakiwa hospitali ya Kitete kutibiwa ugonjwa wangu siku saba kuanzia leo yaani tarehe nne, ninachokuomba kama binadamu mwenzangu mwenye huruma nisaidie niwe naishi hapa ndani mpaka siku hiyo ifike!”

“Dada lakini nyumba hii itabomolewa tarehe tatu! Ninaweza kukusaidia mpaka tarehe mbili baada ya hapo itabidi utafute utaratibu mwingine sababu mzee Mohamed anataka kuweka mashine zake za kusaga”
“Ahsante sana kaka na sijui nikushukuru vipi!”

“Usijali dada yangu matatizo ni ya wote, nyumbani kwangu ni kijiji jirani lakini nitakusaidia chakula mpaka hiyo tarehe mbili, kila nitakacholetewa na mke wangu tutakula pamoja!”

“Mungu akubariki sana kaka yangu!” Alisema Belinda huku akinyanyua mfuko wake wa rambo na kuingia ndani ya ngome ya mabati baada ya mlinzi kufungua mlango.

Nyumba ilikuwa haijabomolewa ila ndani yake hapakuwa na kitu chochote, si kitanda wala jamvi! Kasanda na Nyamizi walishachukua kila kitu, Belinda aliwashangaa sana wasichana hao kwa kitendo chao cha kuuza shamba na kumsahau kaka yao aliyekuwa gerezani.

*Je, nini kitaendelea?*
Thanks shunie lkn kama kuna kamkanganyingo fulani hivi, episode ya 12 iliishia Belinda alikuwa kafika kwao na mara babake akatokea.....nilitegemea tuanzie hapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
*Sehemu ya 16*


“Ninaamini hivi sasa Prosper anahitaji msaada wangu kuliko wakati mwingine wowote katika maisha yake!” Aliwaza Belinda huku akiendelea kupasua kuni.

Alimfikiria Prosper kwa muda mrefu hatimaye aliamua kuliweka shoka pembeni na kuketi chini, mawazo juu ya Prosper yaliendelea kumiminika mwake.
“Hapana nakwenda gerezani!”

Alisema Belinda na kulitupa shoka pembeni, akambeba mtoto wake mgongoni na kwa kutumia khanga yake iliyochanika alimfunga vizuri na kuondoka kuelekea ndani ambako alimkuta mke wa mzee Mohamed na kumwomba ruhusa lakini hakuruhusiwa kuondoka.

“Belinda wewe hapana ondoka iko kazi nyingi leo!”
“Hapana mama ni lazima nikamwone Prosper nikishindwa leo ni mpaka wiki ijayo!”

“Hapana!” Mke wa mzee Mohamed alikataa katakata.
“Mama nimekwishasema naondoka,nitafanya kazi nikirudi!” Belinda alisema na kunyanyuka.
“Wewe ondoka kwa nguvu eh! Pana rudi hapa!”
“Sawa mama!”
*****************

Alifika gerezani saa nne asubuhi, kitu cha kwanza alichofanya ni kuomba kuitiwa Prosper.

“Dada yangu ulikuwa wapi siku zote hizi?”
“Nilikuwa safarini!” Belinda alidanganya!”
“Karibu sana!”
“Ahsante! Prosper yupo!”

“Prosper?” Askari magereza aliuliza.
“Ndiyo mbona unauliza kwa mshangao!”
“Amesafirishwa jana kwenda gereza la Keko Dar es Salaam, alihukumiwa kifo!
Belinda alichanganyikiwa na kwa kutumia basi alirudi hadi mjini ambako alipanda basi jingine lililompeleka hadi Tutuo.

Hakukaribishwa tena nyumbani kwa mzee Mohamed na kwa sababu hakuwa tena na haja ya kufanya kazi aliomba mishahara yake na kuondoka tena hadi stesheni ya treni mjini Tabora ambako alipanda treni jioni ya siku hiyohiyo kurejea Dar es Salaam lengo lake likiwa ni kuishi kabla Prosper hajanyongwa!
*******************

Treni iliingia Dar es Salaam saa saba mchana, Belinda aliona bado muda ulimruhusu kwenda gerezani Keko kuonana na Prosper, hakutaka kabisa afe kabla hajaongea nae na kumjulisha kuwa tayari alishamsamehe yote yaliyotokea.

Kutoka stesheni ya reli ya Dar es salaam hadi gereza la Keko ilikuwa kama nusu kilometa hivi, kwa umbali huo mdogo Belinda hakuhitaji gari alitumia njia ya mkato hadi kufika gerezani.

“Dada mwenye mtoto nikusaidie nini?” Askari magereza aliyekuwa akilinda nje ya gereza alimuuliza
“Nimekuja hapa kumwona mume wangu!”
“Leo siyo siku ya kuwaona wafungwa njoo Jumamosi ama Jumapili umesikia!”

“Sawa lakini……..!” Alisema Belinda huku akimsogelea askari.
“Lakini nini? Dada hiyo ni sheria ya gereza!”
“Nilikuwa naomba kukuuliza kitu sababu sijui!”

“Kitu gani?”
Belinda alimsimulia askari huyo kila kitu juu ya Prosper na kwamba alitaka kuhakikisha kama kweli alikuwepo gerezani au la!

“Katokea gereza gani?”
“Isanga Tabora!”
“Nisubiri hapa niulizie!” Alisema askari huyo na kuingia hadi ndani ya gereza na alipotoka alikuwa na jibu la Belinda.

“Nasikitika hayupo!”
“Hayupo? Hayupo vipi wakati mimi Tabora wamenieleza amehamishiwa gereza hili!”

“Amepelekwa gereza la Segerea sababu hapa hakuna nafasi ya wafungwa kama yeye!”

“Ah! Sawa nashukuru sana kaka yangu!” Belinda alishukuru lakini hakuwa tayari kusubiri hadi jumamosi ndio aonane na Prosper alihisi kufikia siku hiyo tayari angekuwa amekwishayongwa!
“Na nitakwenda huko segerea wakinizuia nitatumia hata hii pesa kidogo niliyonayo mpaka nimwone!” Aliwaza Belinda.

Kutoka gerezani Keko hadi kituo cha mabasi cha Shule ya Uhuru ambako mabasi ya Tabata na Segerea yaliegeshwa ilimchukua dakika 30 na kutoka shule ya Uhuru sababu ya ubovu wa barabara ya Tabata ilimchukua saa nzima hivyo alifika gerezani segerea saa tisa na nusu ya jioni na kwenda moja kwa moja hadi mapokezi ambako alimkuta askari magereza wa kike.

“Shikamoo dada!” Belinda aliamkia.
“Marahaba, nikusaidie nini mdogo wangu?”

‘Dada unavyoniona hivi ninatoka Tabora, huyu ni mwanangu nimekuja hapa kumfuata mume wangu anaitwa Prosper, yeye kahamishwa kutoka gereza la Isanga huko Tabora ni mfungwa aliyehukumiwa kifo, nataka kumwona kabla ya kifo chake.
“Kwani vipi mbona unanieleza vitu vingi kwa wakati mmoja?” Askari magereza aliuliza.

“Nisaidie dada, nisaidie mimi mwanamke mwenzio!” Aliendelea kusema Belinda na baadaye kumsimulia askari huyo kila kitu kilichotokea katika maisha yake na Prosper, askari alishindwa kujizuia na kujikuta akichukua kitambaa chake na kujifuta machozi usoni mwake.

“Ni sawa nimehuzunishwa sana lakini sina jinsi ya kukusaidia kwa sababu si rahisi kukuingiza gerezani siku ya leo mdogo wangu,nenda uje Jumapili!”
“Dada tafadhali nisaidie!”

“Haiwezekani labda nimwite tu umwone kwa mbali lakini siwezi kukuruhusu uingie ndani ya gereza, kwani unaitwa nani?”
“Naitwa Belinda!”
“Belinda nani?”
“Belinda Thomson Komba!”
“Thomson Komba yule mfanyabiashara?”
“Ndiyo!”
“Sawa wewe mbona una hali hiyo?”
“Maisha tu dada yangu!” Belinda alijibu huku akilia.

Alisimama wima mbele ya 
askari magereza wa kike, 
mtoto wake Alicia akiwa mgongoni, mtoto huyo hakuelewa kitu chochote kilichoendelea aliendelea kulala mgongoni kwa mamaye.

Baada ya kujieleza kwa muda mrefu akimbembeleza askari magereza amwitie Prosper ili aonane naye kabla ya kifo chake hatimaye askari alilainika na kuanza kutembea kuondoka eneo hilo na kuingia ndani ya gereza.

Hakurudi mpaka dakika kama kumi na tano hivi baadaye, askari huyo aliporejea mbele yake akiwepo Prosper! Tayari alishavalishwa nguo za wafungwa na alionekana kukonda sana.

Prosper alionekana kutoyaamini macho yake alipomwona Belinda! Alitaka kukimbia kwenda upande wa pili kumkumbatia lakini alizuiliwa na nondo nzito zilizotenganisha ndani na nje ya gereza! Ziliwekwa maalum kuwazuia wafungwa kutoroka.

“Afande nifungulie basi nisalimiane na mke wangu kwa karibu zaidi!”
“Haiwezekani hata kidogo Prosper kwanza si ruhusa leo wafungwa kuonwa nimewafanyia upendeleo vinginevyo ningeweza kukataa kwanza haraka kabla mkuu wa gereza hajaja mnasikia?” Askari magereza aliongea kwa msisitizo.

Hakuna aliyemjibu kitu afande bali Prosper alisogea karibu na uzio wa nondo, Belinda nae alifanya vivyo hivyo mpaka wakakaribiana kabisa na kupenyeza midomo yao katikati ya nondo na kuanza kupigana mabusu mdomoni mbele ya askari bila kuogopa wala kuona aibu.

Ghafla kabla hawajasema lolote hata kusalimiana wote walianza kudondosha machozi na baadaye kulia kwa sauti, walionekana kuwa na uchungu mkubwa mioyoni mwao! Waliangaliana na kukumbuka mambo mengi yaliyotokea katika maisha yao tangu walipokutana mara ya kwanza shuleni, yalikuwa ni mateso makubwa mno waliyoyapitia na bado walikuwa wakiendelea kuteseka.

Waliendelea kulia kwa kwikwi kiasi kwamba hakuna mtu aliyeweza kumwambia mwenzake chochote hadi Prosper alipoanza kuvutwa na askari magereza kurudishwa gerezani!

Machozi yalimbubujika Belinda kwa wingi, alimwonea huruma sana Prosper na kabla hajaingizwa ndani aligeuka nyuma na kuwaanglia Belinda na mtoto wake, roho ilimuuma sana na alitamani mambo yangekuwa tofauti na ilivyokuwa, ndani ya nafsi yake Prosper alijilaumu kwa uamuzi wake wa kuyakiri mauaji ambayo hakuyatenda jambo ambalo hata Belinda hakulifahamu.

Mtu aliyekiri mauaji hayo ili amuokoe kutoka gerezani,yaani mama yake tayari alikuwa ni marehemu na dada zake nao walishamtelekeza gerezani baada ya kutoka gerezani na yeye kuingia!

“Nakupenda Belinda, ahsante sana kwa kuja tena, nisamehe kwa kila kosa nililoliyafanya najua sina maisha marefu duniani, kwa sababu watu wenye virusi hufa upesi sana gerezani isitoshe nimeshahukumiwa kifo tayari, namuonea huruma sana mwanangu kwa sababu hataishi kuja kuniona mimi baba yake!

Tafadhali Belinda mtunze vizuri mtoto wetu Alicia lakini usije kumwambia niliua!” Alisema Prosper huku askari magereza akisubiri amalizie.

*Je, nini kitaendelea?*
 
*Sehemu ya 16*


“Ninaamini hivi sasa Prosper anahitaji msaada wangu kuliko wakati mwingine wowote katika maisha yake!” Aliwaza Belinda huku akiendelea kupasua kuni.

Alimfikiria Prosper kwa muda mrefu hatimaye aliamua kuliweka shoka pembeni na kuketi chini, mawazo juu ya Prosper yaliendelea kumiminika mwake.
“Hapana nakwenda gerezani!”

Alisema Belinda na kulitupa shoka pembeni, akambeba mtoto wake mgongoni na kwa kutumia khanga yake iliyochanika alimfunga vizuri na kuondoka kuelekea ndani ambako alimkuta mke wa mzee Mohamed na kumwomba ruhusa lakini hakuruhusiwa kuondoka.

“Belinda wewe hapana ondoka iko kazi nyingi leo!”
“Hapana mama ni lazima nikamwone Prosper nikishindwa leo ni mpaka wiki ijayo!”

“Hapana!” Mke wa mzee Mohamed alikataa katakata.
“Mama nimekwishasema naondoka,nitafanya kazi nikirudi!” Belinda alisema na kunyanyuka.
“Wewe ondoka kwa nguvu eh! Pana rudi hapa!”
“Sawa mama!”
*****************

Alifika gerezani saa nne asubuhi, kitu cha kwanza alichofanya ni kuomba kuitiwa Prosper.

“Dada yangu ulikuwa wapi siku zote hizi?”
“Nilikuwa safarini!” Belinda alidanganya!”
“Karibu sana!”
“Ahsante! Prosper yupo!”

“Prosper?” Askari magereza aliuliza.
“Ndiyo mbona unauliza kwa mshangao!”
“Amesafirishwa jana kwenda gereza la Keko Dar es Salaam, alihukumiwa kifo!
Belinda alichanganyikiwa na kwa kutumia basi alirudi hadi mjini ambako alipanda basi jingine lililompeleka hadi Tutuo.

Hakukaribishwa tena nyumbani kwa mzee Mohamed na kwa sababu hakuwa tena na haja ya kufanya kazi aliomba mishahara yake na kuondoka tena hadi stesheni ya treni mjini Tabora ambako alipanda treni jioni ya siku hiyohiyo kurejea Dar es Salaam lengo lake likiwa ni kuishi kabla Prosper hajanyongwa!
*******************

Treni iliingia Dar es Salaam saa saba mchana, Belinda aliona bado muda ulimruhusu kwenda gerezani Keko kuonana na Prosper, hakutaka kabisa afe kabla hajaongea nae na kumjulisha kuwa tayari alishamsamehe yote yaliyotokea.

Kutoka stesheni ya reli ya Dar es salaam hadi gereza la Keko ilikuwa kama nusu kilometa hivi, kwa umbali huo mdogo Belinda hakuhitaji gari alitumia njia ya mkato hadi kufika gerezani.

“Dada mwenye mtoto nikusaidie nini?” Askari magereza aliyekuwa akilinda nje ya gereza alimuuliza
“Nimekuja hapa kumwona mume wangu!”
“Leo siyo siku ya kuwaona wafungwa njoo Jumamosi ama Jumapili umesikia!”

“Sawa lakini……..!” Alisema Belinda huku akimsogelea askari.
“Lakini nini? Dada hiyo ni sheria ya gereza!”
“Nilikuwa naomba kukuuliza kitu sababu sijui!”

“Kitu gani?”
Belinda alimsimulia askari huyo kila kitu juu ya Prosper na kwamba alitaka kuhakikisha kama kweli alikuwepo gerezani au la!

“Katokea gereza gani?”
“Isanga Tabora!”
“Nisubiri hapa niulizie!” Alisema askari huyo na kuingia hadi ndani ya gereza na alipotoka alikuwa na jibu la Belinda.

“Nasikitika hayupo!”
“Hayupo? Hayupo vipi wakati mimi Tabora wamenieleza amehamishiwa gereza hili!”

“Amepelekwa gereza la Segerea sababu hapa hakuna nafasi ya wafungwa kama yeye!”

“Ah! Sawa nashukuru sana kaka yangu!” Belinda alishukuru lakini hakuwa tayari kusubiri hadi jumamosi ndio aonane na Prosper alihisi kufikia siku hiyo tayari angekuwa amekwishayongwa!
“Na nitakwenda huko segerea wakinizuia nitatumia hata hii pesa kidogo niliyonayo mpaka nimwone!” Aliwaza Belinda.

Kutoka gerezani Keko hadi kituo cha mabasi cha Shule ya Uhuru ambako mabasi ya Tabata na Segerea yaliegeshwa ilimchukua dakika 30 na kutoka shule ya Uhuru sababu ya ubovu wa barabara ya Tabata ilimchukua saa nzima hivyo alifika gerezani segerea saa tisa na nusu ya jioni na kwenda moja kwa moja hadi mapokezi ambako alimkuta askari magereza wa kike.

“Shikamoo dada!” Belinda aliamkia.
“Marahaba, nikusaidie nini mdogo wangu?”

‘Dada unavyoniona hivi ninatoka Tabora, huyu ni mwanangu nimekuja hapa kumfuata mume wangu anaitwa Prosper, yeye kahamishwa kutoka gereza la Isanga huko Tabora ni mfungwa aliyehukumiwa kifo, nataka kumwona kabla ya kifo chake.
“Kwani vipi mbona unanieleza vitu vingi kwa wakati mmoja?” Askari magereza aliuliza.

“Nisaidie dada, nisaidie mimi mwanamke mwenzio!” Aliendelea kusema Belinda na baadaye kumsimulia askari huyo kila kitu kilichotokea katika maisha yake na Prosper, askari alishindwa kujizuia na kujikuta akichukua kitambaa chake na kujifuta machozi usoni mwake.

“Ni sawa nimehuzunishwa sana lakini sina jinsi ya kukusaidia kwa sababu si rahisi kukuingiza gerezani siku ya leo mdogo wangu,nenda uje Jumapili!”
“Dada tafadhali nisaidie!”

“Haiwezekani labda nimwite tu umwone kwa mbali lakini siwezi kukuruhusu uingie ndani ya gereza, kwani unaitwa nani?”
“Naitwa Belinda!”
“Belinda nani?”
“Belinda Thomson Komba!”
“Thomson Komba yule mfanyabiashara?”
“Ndiyo!”
“Sawa wewe mbona una hali hiyo?”
“Maisha tu dada yangu!” Belinda alijibu huku akilia.

Alisimama wima mbele ya 
askari magereza wa kike, 
mtoto wake Alicia akiwa mgongoni, mtoto huyo hakuelewa kitu chochote kilichoendelea aliendelea kulala mgongoni kwa mamaye.

Baada ya kujieleza kwa muda mrefu akimbembeleza askari magereza amwitie Prosper ili aonane naye kabla ya kifo chake hatimaye askari alilainika na kuanza kutembea kuondoka eneo hilo na kuingia ndani ya gereza.

Hakurudi mpaka dakika kama kumi na tano hivi baadaye, askari huyo aliporejea mbele yake akiwepo Prosper! Tayari alishavalishwa nguo za wafungwa na alionekana kukonda sana.

Prosper alionekana kutoyaamini macho yake alipomwona Belinda! Alitaka kukimbia kwenda upande wa pili kumkumbatia lakini alizuiliwa na nondo nzito zilizotenganisha ndani na nje ya gereza! Ziliwekwa maalum kuwazuia wafungwa kutoroka.

“Afande nifungulie basi nisalimiane na mke wangu kwa karibu zaidi!”
“Haiwezekani hata kidogo Prosper kwanza si ruhusa leo wafungwa kuonwa nimewafanyia upendeleo vinginevyo ningeweza kukataa kwanza haraka kabla mkuu wa gereza hajaja mnasikia?” Askari magereza aliongea kwa msisitizo.

Hakuna aliyemjibu kitu afande bali Prosper alisogea karibu na uzio wa nondo, Belinda nae alifanya vivyo hivyo mpaka wakakaribiana kabisa na kupenyeza midomo yao katikati ya nondo na kuanza kupigana mabusu mdomoni mbele ya askari bila kuogopa wala kuona aibu.

Ghafla kabla hawajasema lolote hata kusalimiana wote walianza kudondosha machozi na baadaye kulia kwa sauti, walionekana kuwa na uchungu mkubwa mioyoni mwao! Waliangaliana na kukumbuka mambo mengi yaliyotokea katika maisha yao tangu walipokutana mara ya kwanza shuleni, yalikuwa ni mateso makubwa mno waliyoyapitia na bado walikuwa wakiendelea kuteseka.

Waliendelea kulia kwa kwikwi kiasi kwamba hakuna mtu aliyeweza kumwambia mwenzake chochote hadi Prosper alipoanza kuvutwa na askari magereza kurudishwa gerezani!

Machozi yalimbubujika Belinda kwa wingi, alimwonea huruma sana Prosper na kabla hajaingizwa ndani aligeuka nyuma na kuwaanglia Belinda na mtoto wake, roho ilimuuma sana na alitamani mambo yangekuwa tofauti na ilivyokuwa, ndani ya nafsi yake Prosper alijilaumu kwa uamuzi wake wa kuyakiri mauaji ambayo hakuyatenda jambo ambalo hata Belinda hakulifahamu.

Mtu aliyekiri mauaji hayo ili amuokoe kutoka gerezani,yaani mama yake tayari alikuwa ni marehemu na dada zake nao walishamtelekeza gerezani baada ya kutoka gerezani na yeye kuingia!

“Nakupenda Belinda, ahsante sana kwa kuja tena, nisamehe kwa kila kosa nililoliyafanya najua sina maisha marefu duniani, kwa sababu watu wenye virusi hufa upesi sana gerezani isitoshe nimeshahukumiwa kifo tayari, namuonea huruma sana mwanangu kwa sababu hataishi kuja kuniona mimi baba yake!

Tafadhali Belinda mtunze vizuri mtoto wetu Alicia lakini usije kumwambia niliua!” Alisema Prosper huku askari magereza akisubiri amalizie.

*Je, nini kitaendelea?*
[emoji24][emoji24][emoji24]Loh,,hii simulizi sio ya kusoma sk km ya leo tena muda huu.[emoji22]
Asante Shangazi Shunie

Sent using Jamii Forums mobile app
 
*Sehemu ya 16*


“Ninaamini hivi sasa Prosper anahitaji msaada wangu kuliko wakati mwingine wowote katika maisha yake!” Aliwaza Belinda huku akiendelea kupasua kuni.

Alimfikiria Prosper kwa muda mrefu hatimaye aliamua kuliweka shoka pembeni na kuketi chini, mawazo juu ya Prosper yaliendelea kumiminika mwake.
“Hapana nakwenda gerezani!”

Alisema Belinda na kulitupa shoka pembeni, akambeba mtoto wake mgongoni na kwa kutumia khanga yake iliyochanika alimfunga vizuri na kuondoka kuelekea ndani ambako alimkuta mke wa mzee Mohamed na kumwomba ruhusa lakini hakuruhusiwa kuondoka.

“Belinda wewe hapana ondoka iko kazi nyingi leo!”
“Hapana mama ni lazima nikamwone Prosper nikishindwa leo ni mpaka wiki ijayo!”

“Hapana!” Mke wa mzee Mohamed alikataa katakata.
“Mama nimekwishasema naondoka,nitafanya kazi nikirudi!” Belinda alisema na kunyanyuka.
“Wewe ondoka kwa nguvu eh! Pana rudi hapa!”
“Sawa mama!”
*****************

Alifika gerezani saa nne asubuhi, kitu cha kwanza alichofanya ni kuomba kuitiwa Prosper.

“Dada yangu ulikuwa wapi siku zote hizi?”
“Nilikuwa safarini!” Belinda alidanganya!”
“Karibu sana!”
“Ahsante! Prosper yupo!”

“Prosper?” Askari magereza aliuliza.
“Ndiyo mbona unauliza kwa mshangao!”
“Amesafirishwa jana kwenda gereza la Keko Dar es Salaam, alihukumiwa kifo!
Belinda alichanganyikiwa na kwa kutumia basi alirudi hadi mjini ambako alipanda basi jingine lililompeleka hadi Tutuo.

Hakukaribishwa tena nyumbani kwa mzee Mohamed na kwa sababu hakuwa tena na haja ya kufanya kazi aliomba mishahara yake na kuondoka tena hadi stesheni ya treni mjini Tabora ambako alipanda treni jioni ya siku hiyohiyo kurejea Dar es Salaam lengo lake likiwa ni kuishi kabla Prosper hajanyongwa!
*******************

Treni iliingia Dar es Salaam saa saba mchana, Belinda aliona bado muda ulimruhusu kwenda gerezani Keko kuonana na Prosper, hakutaka kabisa afe kabla hajaongea nae na kumjulisha kuwa tayari alishamsamehe yote yaliyotokea.

Kutoka stesheni ya reli ya Dar es salaam hadi gereza la Keko ilikuwa kama nusu kilometa hivi, kwa umbali huo mdogo Belinda hakuhitaji gari alitumia njia ya mkato hadi kufika gerezani.

“Dada mwenye mtoto nikusaidie nini?” Askari magereza aliyekuwa akilinda nje ya gereza alimuuliza
“Nimekuja hapa kumwona mume wangu!”
“Leo siyo siku ya kuwaona wafungwa njoo Jumamosi ama Jumapili umesikia!”

“Sawa lakini……..!” Alisema Belinda huku akimsogelea askari.
“Lakini nini? Dada hiyo ni sheria ya gereza!”
“Nilikuwa naomba kukuuliza kitu sababu sijui!”

“Kitu gani?”
Belinda alimsimulia askari huyo kila kitu juu ya Prosper na kwamba alitaka kuhakikisha kama kweli alikuwepo gerezani au la!

“Katokea gereza gani?”
“Isanga Tabora!”
“Nisubiri hapa niulizie!” Alisema askari huyo na kuingia hadi ndani ya gereza na alipotoka alikuwa na jibu la Belinda.

“Nasikitika hayupo!”
“Hayupo? Hayupo vipi wakati mimi Tabora wamenieleza amehamishiwa gereza hili!”

“Amepelekwa gereza la Segerea sababu hapa hakuna nafasi ya wafungwa kama yeye!”

“Ah! Sawa nashukuru sana kaka yangu!” Belinda alishukuru lakini hakuwa tayari kusubiri hadi jumamosi ndio aonane na Prosper alihisi kufikia siku hiyo tayari angekuwa amekwishayongwa!
“Na nitakwenda huko segerea wakinizuia nitatumia hata hii pesa kidogo niliyonayo mpaka nimwone!” Aliwaza Belinda.

Kutoka gerezani Keko hadi kituo cha mabasi cha Shule ya Uhuru ambako mabasi ya Tabata na Segerea yaliegeshwa ilimchukua dakika 30 na kutoka shule ya Uhuru sababu ya ubovu wa barabara ya Tabata ilimchukua saa nzima hivyo alifika gerezani segerea saa tisa na nusu ya jioni na kwenda moja kwa moja hadi mapokezi ambako alimkuta askari magereza wa kike.

“Shikamoo dada!” Belinda aliamkia.
“Marahaba, nikusaidie nini mdogo wangu?”

‘Dada unavyoniona hivi ninatoka Tabora, huyu ni mwanangu nimekuja hapa kumfuata mume wangu anaitwa Prosper, yeye kahamishwa kutoka gereza la Isanga huko Tabora ni mfungwa aliyehukumiwa kifo, nataka kumwona kabla ya kifo chake.
“Kwani vipi mbona unanieleza vitu vingi kwa wakati mmoja?” Askari magereza aliuliza.

“Nisaidie dada, nisaidie mimi mwanamke mwenzio!” Aliendelea kusema Belinda na baadaye kumsimulia askari huyo kila kitu kilichotokea katika maisha yake na Prosper, askari alishindwa kujizuia na kujikuta akichukua kitambaa chake na kujifuta machozi usoni mwake.

“Ni sawa nimehuzunishwa sana lakini sina jinsi ya kukusaidia kwa sababu si rahisi kukuingiza gerezani siku ya leo mdogo wangu,nenda uje Jumapili!”
“Dada tafadhali nisaidie!”

“Haiwezekani labda nimwite tu umwone kwa mbali lakini siwezi kukuruhusu uingie ndani ya gereza, kwani unaitwa nani?”
“Naitwa Belinda!”
“Belinda nani?”
“Belinda Thomson Komba!”
“Thomson Komba yule mfanyabiashara?”
“Ndiyo!”
“Sawa wewe mbona una hali hiyo?”
“Maisha tu dada yangu!” Belinda alijibu huku akilia.

Alisimama wima mbele ya 
askari magereza wa kike, 
mtoto wake Alicia akiwa mgongoni, mtoto huyo hakuelewa kitu chochote kilichoendelea aliendelea kulala mgongoni kwa mamaye.

Baada ya kujieleza kwa muda mrefu akimbembeleza askari magereza amwitie Prosper ili aonane naye kabla ya kifo chake hatimaye askari alilainika na kuanza kutembea kuondoka eneo hilo na kuingia ndani ya gereza.

Hakurudi mpaka dakika kama kumi na tano hivi baadaye, askari huyo aliporejea mbele yake akiwepo Prosper! Tayari alishavalishwa nguo za wafungwa na alionekana kukonda sana.

Prosper alionekana kutoyaamini macho yake alipomwona Belinda! Alitaka kukimbia kwenda upande wa pili kumkumbatia lakini alizuiliwa na nondo nzito zilizotenganisha ndani na nje ya gereza! Ziliwekwa maalum kuwazuia wafungwa kutoroka.

“Afande nifungulie basi nisalimiane na mke wangu kwa karibu zaidi!”
“Haiwezekani hata kidogo Prosper kwanza si ruhusa leo wafungwa kuonwa nimewafanyia upendeleo vinginevyo ningeweza kukataa kwanza haraka kabla mkuu wa gereza hajaja mnasikia?” Askari magereza aliongea kwa msisitizo.

Hakuna aliyemjibu kitu afande bali Prosper alisogea karibu na uzio wa nondo, Belinda nae alifanya vivyo hivyo mpaka wakakaribiana kabisa na kupenyeza midomo yao katikati ya nondo na kuanza kupigana mabusu mdomoni mbele ya askari bila kuogopa wala kuona aibu.

Ghafla kabla hawajasema lolote hata kusalimiana wote walianza kudondosha machozi na baadaye kulia kwa sauti, walionekana kuwa na uchungu mkubwa mioyoni mwao! Waliangaliana na kukumbuka mambo mengi yaliyotokea katika maisha yao tangu walipokutana mara ya kwanza shuleni, yalikuwa ni mateso makubwa mno waliyoyapitia na bado walikuwa wakiendelea kuteseka.

Waliendelea kulia kwa kwikwi kiasi kwamba hakuna mtu aliyeweza kumwambia mwenzake chochote hadi Prosper alipoanza kuvutwa na askari magereza kurudishwa gerezani!

Machozi yalimbubujika Belinda kwa wingi, alimwonea huruma sana Prosper na kabla hajaingizwa ndani aligeuka nyuma na kuwaanglia Belinda na mtoto wake, roho ilimuuma sana na alitamani mambo yangekuwa tofauti na ilivyokuwa, ndani ya nafsi yake Prosper alijilaumu kwa uamuzi wake wa kuyakiri mauaji ambayo hakuyatenda jambo ambalo hata Belinda hakulifahamu.

Mtu aliyekiri mauaji hayo ili amuokoe kutoka gerezani,yaani mama yake tayari alikuwa ni marehemu na dada zake nao walishamtelekeza gerezani baada ya kutoka gerezani na yeye kuingia!

“Nakupenda Belinda, ahsante sana kwa kuja tena, nisamehe kwa kila kosa nililoliyafanya najua sina maisha marefu duniani, kwa sababu watu wenye virusi hufa upesi sana gerezani isitoshe nimeshahukumiwa kifo tayari, namuonea huruma sana mwanangu kwa sababu hataishi kuja kuniona mimi baba yake!

Tafadhali Belinda mtunze vizuri mtoto wetu Alicia lakini usije kumwambia niliua!” Alisema Prosper huku askari magereza akisubiri amalizie.

*Je, nini kitaendelea?*
Inasikitisha mnooh....

Asante dada Shunie.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom