Simulizi:Death Of Innocent

Simulizi:Death Of Innocent

Kabla sijaendelea nahuu utamu naoana mtoto anamiaka5 lakini baba yake yupo jela miaka 8.Kwahiyo mama alikuwa anapeleka utamu jela?au alimtiaje?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kabla ya kuonana na Belinda, prosper alikuwa ameshakaa miaka miwili gerezani, siku waliyoonana walizitumia dk 5 effectively......[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Belinda alikua mtoto wa kishua, na mtunzi anasema mshua wake alikua anampenda kinoma. Natamani sana kujua nini kilitokea mpaka ifkie hatua akose hata hela ya chakula xmass, achilia mbali kumnunulia mwanae nguo za sikukuu. Maybe mzee wake alimtenga baada ya Belinda kumpenda jamaa wa hali ya chini

the Legend☆
Unaweweseka tu..

Haya...Shuu mjibu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Usitake kuniambia umeshindwa kumlegeza dear wako aweke hata episode mbili kule.!? Umeniangusha sana..

Tutaweza kweli kupiga madili makubwa makubwa kama hili dogo hivi limekutoa jasho!?
Hahahahha tutaweza bwana amehaidi leo
 
Back
Top Bottom