[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wewe tena unaanzaje kubisha
Mi nakuamini dear
the Legend☆
Hahahahahahahaa, dahUtaanzaje kutomuamini.!?
Umeshakua kama usukani wa gari.. Kata kushoto unakata, kata kulia unakata.. Ukikataa, mafuta ya kulainisha yanawekwa, unarudi kwenye 'raiti traki'...
Hahahahaa, mtu kukubishia wewe ajipange. Kalainika 'Bishop', sembuse mimi muumini wa kawaida[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Wewe tena unaanzaje kubisha
Utaanzaje kutomuamini.!?
Umeshakua kama usukani wa gari.. Kata kushoto unakata, kata kulia unakata.. Ukikataa, mafuta ya kulainisha yanawekwa, unarudi kwenye 'raiti traki'...
Hahahahahahahaa, dah
the Legend☆
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Bishop na mwanakondoo wakeHahahahaa, mtu kukubishia wewe ajipange. Kalainika 'Bishop', sembuse mimi muumini wa kawaida
the Legend☆
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Bishop na mwanakondoo wake
Jacky mwenyewe kwenye ubora wako[emoji23]Dear katuwekee basi sala ya sarah jamani
Hahahahaha, nakutania bana dear wangu[emoji4][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Nacheka mm mjue mnaniharibu sana
[emoji22]Vumilia masaa kadhaa dear, kesho asubuhi sana itaendeleaHahhhha najua bwana twende basi dear ukaweke
PoleeHii story Kila navyoisoma nakosa amani sana utazani ndiyo dadangu berinda
Sent using Jamii Forums mobile app
Thanx kwa kuelewa dear, tuonane kesho mapema sana[emoji4]Jamani[emoji134][emoji134][emoji134] okay dear mekuelewa acha nilog out tutaoanan kesho uwe na usiku mwema