Kasiano Muyenzi
JF-Expert Member
- Feb 3, 2018
- 13,972
- 22,922
Kwa nini umeileta hapa na hujaiweka yote?Nimeshaifuta huko
Unatafuta hela ya vocha tukuchangie?
Kwa nini umeileta hapa na hujaiweka yote?Nimeshaifuta huko
Hii story niliikuta Twitter......kama ni wewe mtunzi basi hongera kwako....ila kama umeamua kuileta huku ili kusambaza ujumbe usiisahau kutoa credit kwa mtunzi...
Kwa nini umeileta hapa na hujaiweka yote?
Unatafuta hela ya vocha tukuchangie?
Kesho asubuhi ndio hii mkuu shusha vitu
BODABODA WA MKE WANGU 2
Asubuhi na mapema nampigia Amoni rafiki yangu namwambia aende nyumbani kwangu haraka, kama alivyoniahidi kuwa nimruhusu apumzike na asubuhi na mapema wataamkia kwangu kuangalia usalama.
Alienda peke yake nyumbani kwangu
View attachment 2609139
Alienda na kufika nyumbani kwangu alimkuta mke wangu yupo pale nyumbani, akaongea naye kuhusu ilivyokuwa jana na jinsi ambavyo waligonga mlango hakuna aliyefungua wala anayejitingisha humo ndani, akamuuliza kuna usalama wowote na nini kinachoendelea?!
Sasa kabla hajafika na kumuuliza, mimi nilikuwa nimeshampigia tena mke wangu kabla. Yaani baada ya kumpigia Amoni akaenda nyumbani kuona usalama ukoje, nilimpigia tena mke wangu ambaye tangu jana alikuwa hapatikani baada ya kumpigia mara ya kwanza asipokee, safari hii akapokea
nilishtuka kuona kapokea, atleast naweza kujua kinachoendelea.
Nikamuuliza kuna nini huko mbona tangu jana sikupati na wala simu yangu hupokei?
Akaniambia jana alichoka sanaa hivyo alilala mapema sanaa na simu yake haikuwa na chaji hivyo ilikaa on na baada ya muda ikajizima kwa
chaji kuisha.
Sasa binafsi mwanzo sikuwaza kama kunaweza kuwa na kitu cha yeye kunificha, nilikuwa nikimuamini sanaa, na hata hili la kutokumuambia kuwa nilipigiwa na dada wa kazi akaniambia kuna vurugu huku sio kwamba nilikuwa nimepanga kumficha, ila nilianza tu taratibu
kuwa mbona jana ulikuwa hupokei simu na baadaye kutokupatikana ili anielezee yeye mwenyewe tatizo, maana mimi nilichokifikiria ni kutakuwa na tatizo, japo niliwaza sana bila kupata majibu kuwa ni matatizo gani huyo jamaa anaweza kuyaleta hapo nyumbani maana ni mtu tunayemuamini
vizuri tu.
Basi aliponiambia vile halafu akawa hajanieleza chochote, ilibidi ninyamaze kwanza nisimuelezee kuwa dada wa kazi alinipigia halafu akawa hajanielezea vizuri akakata simu.
Nilimwambia sawa haina shida, tukazungumza mazungumzo mengine, ila sikuwa sawa hata kidogo
moyoni mwangu nikawa nikijiuliza ni kitu gani huyu mke wangu ananificha hapaa.
Na sasa rafiki yangu Amoni anafika kwangu na kuanza kumuelezea mke wangu kilichotokea jana, anataka afahamu shida ni nini ili akanieleze.
Mke wangu alishtushwa sanaa na kile ambacho alikiskia kutoka
kwa Amoni, akakumbuka jinsi alivyonidanganya kwenye simu kuwa hakuna shida yoyote ni simu tu haikuwa na chaji na yeye alikuwa ameshalala.
Sasa huo mshtuko Amoni ndiye aliyeuona vizuri na kunisimulia kuwa mke wako baada ya kumuelezea kuhusu kilichotuleta jana usiku na akashindwa
kufungua mlango, ameonekana kushtuka mnoo ndo mimi nikaelewa sababu ya kushtuka kwake ambayo ni kama nilivyowaeleza.
Mke wangu alimwambia Amoni kuwa yeye alikuwa amelala na alikuwa na usingizi sana, sauti aliziskia lakini hakujua ni za akina nani hivyo hakutaka kufungua kabisaa
hivyo ikabidi akae kimya.
Sasa Amoni akamuuliza kwani dada huyu (dada wa kazi) hakutufahamu kuwa ni sisi akafungua au na yeye alikuwa anausingizi kama wewe? Alimjibu kuwa, alishagamzuia kufungua mlango kwa mgeni yoyote usiku wakiwa wameshalala tayari.
Basi, akamwambia kuwa
usalama upo wala asiwe na wasiwasi, na kuhusiana na suala hilo la vurugu za yeye na Prince (yule Dereva bodaboda) asijali yeye ataongea na mume wake ila sio issue kubwa.
Na hivyo ndivyo alivyonieleza Amoni baada ya kutoka kwa mke wangu
Sasa Amoni pamoja na na kunielezea yote hayo ila ilibidi pia anielezee mtazamo wake binafsi,
Aliniambia mke wangu kwanza alishtuka nilivyoelezea kilichotuleza nyumbani usiku huo tukigonga na asifungue, jambo ambalo linatia wasiwasi, lakini pia anadanganya kusema alikuwa na
usingizi na kuwa hakujua sisi ni akina nani, kwa sababu mlango tuliugonga kwa nguvu zote lakini hakuna mtu anaitikia, na kwa sababu tulikuwa na wasiwasi kuwa kunaweza kuwa na shida ndani kama ulivyotueleza, tulitaka hadi kuuvunja huo mlango ndo baadaye tukaona tuache kwanza
tukusikilize, ndo ukatuambia twende kwa prince mwenyewe. Huyo mtu anausingizi gani huo? Hata Samaki hawalali hivo. Lakini pia anasema hakujua sisi ni akina nani, hiyo ni uongo kwa sababu tulikuwa tunaita kabisaa “shemeji, ni mimi Amoni” fungua mlango, fungua, kuna usalama huko?”
kiufupi majina yetu tuliyataja hata kama alikuwa hajui sauti kwa sababu ya usingizi basi hata majina yetu angeyaskia.
Akaniambia, mchunguze mke wako, kaka nahisi umepigwaa
Nilichokaa, na muda huo nilipaswa niwe kwenye kikao kwa ajili ya mambo ya kikazi hayo yaliyonipeleka mkoani
Nilichelewa kikao kwa muda mrefu kweli, na pia hata baada ya kuingia, akili yangu haikuwa sawa, nikiwaza mke wangu anakitu gani ananificha.
Kila nikijaribu kuwaza may be kuna cheating ananifanyia kwa huyo bodaboda, naishiwa nguvu, najilazimisha kukataa kuwa haiwezekani Kabisaa
Nilimaliza hicho kikao kwa mbinde na nilirudi hotelini nikiwaza nifanye nini, simu za mke wangu zikawa zinaingia sipokei maana nina hasira sana, kwanini anidanganye au kunificha kitu mimi mume wake, au ananicheat hapaa
Niliwaza na ndipo nilipoamua kumpigia tena dada wa kazi.
Dada alipokea nikaongea naye kitaratibu ili asiogope aweze kunielezea.
Nilimuuliza jana hizo vurugu ulizokuwa unazisema hapo nyumbani uliponipigia ni zipi? Kuna nini kinaendelea?!
Nieleze wala usiogope
Akaogopa kabisa kusema, akaniambia kaka mimi naogopa nikiongea chochote dada atanitoa roho mimi naomba tu wewe mwenyewe umpigie umuulize, ni mke wako yule, akuelezee au wewe mwenyewe fuatilia tu mwenyewe kujua kinachoendelea,
Maana mimi hapa hata sina amani, dada amejua kuwa
nilikupigia simu kukwambia kuna vurugu ndani za yeye na Prince amenigombeza tangu asubuhi ni kunisema na amesema nitarudi nyumbani kwa sababu ya huu mdomo wangu, amenipiga na kunipiga, amenikasirikia sanaa hataki hata kuniona. Naogopa sana na yeye ndo alinileta hapa kufanya kazi
Ilinibidi nikate simu.
Nikajikaza kiume kuhudhuria kikao cha kesho yake ambacho kilikuwa ni cha mwisho
Ambacho kiliisha jioni kabisaa, na hivyo kesho yake asubuhi na mapema nikaanza safari ya kurudi nyumbani, nikiwa na hasara nyingi mnooo
Ukweli unaenda kugundulika katika sehemu inayofuata.
Na tutajua hasa nini kilichokuwa kina endelea huko
Baki na mimi hapa hapa
Kwa ajili ya sehemu ya mwisho
Safi mkuuBODABODA WA MKE WANGU 2
Asubuhi na mapema nampigia Amoni rafiki yangu namwambia aende nyumbani kwangu haraka, kama alivyoniahidi kuwa nimruhusu apumzike na asubuhi na mapema wataamkia kwangu kuangalia usalama.
Alienda peke yake nyumbani kwangu
View attachment 2609139
Alienda na kufika nyumbani kwangu alimkuta mke wangu yupo pale nyumbani, akaongea naye kuhusu ilivyokuwa jana na jinsi ambavyo waligonga mlango hakuna aliyefungua wala anayejitingisha humo ndani, akamuuliza kuna usalama wowote na nini kinachoendelea?!
Sasa kabla hajafika na kumuuliza, mimi nilikuwa nimeshampigia tena mke wangu kabla. Yaani baada ya kumpigia Amoni akaenda nyumbani kuona usalama ukoje, nilimpigia tena mke wangu ambaye tangu jana alikuwa hapatikani baada ya kumpigia mara ya kwanza asipokee, safari hii akapokea
nilishtuka kuona kapokea, atleast naweza kujua kinachoendelea.
Nikamuuliza kuna nini huko mbona tangu jana sikupati na wala simu yangu hupokei?
Akaniambia jana alichoka sanaa hivyo alilala mapema sanaa na simu yake haikuwa na chaji hivyo ilikaa on na baada ya muda ikajizima kwa
chaji kuisha.
Sasa binafsi mwanzo sikuwaza kama kunaweza kuwa na kitu cha yeye kunificha, nilikuwa nikimuamini sanaa, na hata hili la kutokumuambia kuwa nilipigiwa na dada wa kazi akaniambia kuna vurugu huku sio kwamba nilikuwa nimepanga kumficha, ila nilianza tu taratibu
kuwa mbona jana ulikuwa hupokei simu na baadaye kutokupatikana ili anielezee yeye mwenyewe tatizo, maana mimi nilichokifikiria ni kutakuwa na tatizo, japo niliwaza sana bila kupata majibu kuwa ni matatizo gani huyo jamaa anaweza kuyaleta hapo nyumbani maana ni mtu tunayemuamini
vizuri tu.
Basi aliponiambia vile halafu akawa hajanieleza chochote, ilibidi ninyamaze kwanza nisimuelezee kuwa dada wa kazi alinipigia halafu akawa hajanielezea vizuri akakata simu.
Nilimwambia sawa haina shida, tukazungumza mazungumzo mengine, ila sikuwa sawa hata kidogo
moyoni mwangu nikawa nikijiuliza ni kitu gani huyu mke wangu ananificha hapaa.
Na sasa rafiki yangu Amoni anafika kwangu na kuanza kumuelezea mke wangu kilichotokea jana, anataka afahamu shida ni nini ili akanieleze.
Mke wangu alishtushwa sanaa na kile ambacho alikiskia kutoka
kwa Amoni, akakumbuka jinsi alivyonidanganya kwenye simu kuwa hakuna shida yoyote ni simu tu haikuwa na chaji na yeye alikuwa ameshalala.
Sasa huo mshtuko Amoni ndiye aliyeuona vizuri na kunisimulia kuwa mke wako baada ya kumuelezea kuhusu kilichotuleta jana usiku na akashindwa
kufungua mlango, ameonekana kushtuka mnoo ndo mimi nikaelewa sababu ya kushtuka kwake ambayo ni kama nilivyowaeleza.
Mke wangu alimwambia Amoni kuwa yeye alikuwa amelala na alikuwa na usingizi sana, sauti aliziskia lakini hakujua ni za akina nani hivyo hakutaka kufungua kabisaa
hivyo ikabidi akae kimya.
Sasa Amoni akamuuliza kwani dada huyu (dada wa kazi) hakutufahamu kuwa ni sisi akafungua au na yeye alikuwa anausingizi kama wewe? Alimjibu kuwa, alishagamzuia kufungua mlango kwa mgeni yoyote usiku wakiwa wameshalala tayari.
Basi, akamwambia kuwa
usalama upo wala asiwe na wasiwasi, na kuhusiana na suala hilo la vurugu za yeye na Prince (yule Dereva bodaboda) asijali yeye ataongea na mume wake ila sio issue kubwa.
Na hivyo ndivyo alivyonieleza Amoni baada ya kutoka kwa mke wangu
Sasa Amoni pamoja na na kunielezea yote hayo ila ilibidi pia anielezee mtazamo wake binafsi,
Aliniambia mke wangu kwanza alishtuka nilivyoelezea kilichotuleza nyumbani usiku huo tukigonga na asifungue, jambo ambalo linatia wasiwasi, lakini pia anadanganya kusema alikuwa na
usingizi na kuwa hakujua sisi ni akina nani, kwa sababu mlango tuliugonga kwa nguvu zote lakini hakuna mtu anaitikia, na kwa sababu tulikuwa na wasiwasi kuwa kunaweza kuwa na shida ndani kama ulivyotueleza, tulitaka hadi kuuvunja huo mlango ndo baadaye tukaona tuache kwanza
tukusikilize, ndo ukatuambia twende kwa prince mwenyewe. Huyo mtu anausingizi gani huo? Hata Samaki hawalali hivo. Lakini pia anasema hakujua sisi ni akina nani, hiyo ni uongo kwa sababu tulikuwa tunaita kabisaa “shemeji, ni mimi Amoni” fungua mlango, fungua, kuna usalama huko?”
kiufupi majina yetu tuliyataja hata kama alikuwa hajui sauti kwa sababu ya usingizi basi hata majina yetu angeyaskia.
Akaniambia, mchunguze mke wako, kaka nahisi umepigwaa
Nilichokaa, na muda huo nilipaswa niwe kwenye kikao kwa ajili ya mambo ya kikazi hayo yaliyonipeleka mkoani
Nilichelewa kikao kwa muda mrefu kweli, na pia hata baada ya kuingia, akili yangu haikuwa sawa, nikiwaza mke wangu anakitu gani ananificha.
Kila nikijaribu kuwaza may be kuna cheating ananifanyia kwa huyo bodaboda, naishiwa nguvu, najilazimisha kukataa kuwa haiwezekani Kabisaa
Nilimaliza hicho kikao kwa mbinde na nilirudi hotelini nikiwaza nifanye nini, simu za mke wangu zikawa zinaingia sipokei maana nina hasira sana, kwanini anidanganye au kunificha kitu mimi mume wake, au ananicheat hapaa
Niliwaza na ndipo nilipoamua kumpigia tena dada wa kazi.
Dada alipokea nikaongea naye kitaratibu ili asiogope aweze kunielezea.
Nilimuuliza jana hizo vurugu ulizokuwa unazisema hapo nyumbani uliponipigia ni zipi? Kuna nini kinaendelea?!
Nieleze wala usiogope
Akaogopa kabisa kusema, akaniambia kaka mimi naogopa nikiongea chochote dada atanitoa roho mimi naomba tu wewe mwenyewe umpigie umuulize, ni mke wako yule, akuelezee au wewe mwenyewe fuatilia tu mwenyewe kujua kinachoendelea,
Maana mimi hapa hata sina amani, dada amejua kuwa
nilikupigia simu kukwambia kuna vurugu ndani za yeye na Prince amenigombeza tangu asubuhi ni kunisema na amesema nitarudi nyumbani kwa sababu ya huu mdomo wangu, amenipiga na kunipiga, amenikasirikia sanaa hataki hata kuniona. Naogopa sana na yeye ndo alinileta hapa kufanya kazi
Ilinibidi nikate simu.
Nikajikaza kiume kuhudhuria kikao cha kesho yake ambacho kilikuwa ni cha mwisho
Ambacho kiliisha jioni kabisaa, na hivyo kesho yake asubuhi na mapema nikaanza safari ya kurudi nyumbani, nikiwa na hasara nyingi mnooo
Ukweli unaenda kugundulika katika sehemu inayofuata.
Na tutajua hasa nini kilichokuwa kina endelea huko
Baki na mimi hapa hapa
Kwa ajili ya sehemu ya mwisho
Kwa hiyo hautaiweka yote hapa kwa mara moja?Hata kule haikuwekwa yote kwa mara moja
Kwa hiyo hautaiweka yote hapa kwa mara moja?
Malizia acha kutupanga.Kulikuwa na kijana mmoja aliitwa Prince, alikuwa ni bodaboda aliyekuwa jirani yetu, tulikuwa tunamwamini na hata kumpa baadhi ya mizigo yetu ya msingi atupelekee mahali tulipotaka ifike.
Huu ni utaratibu wa kawaida kwa familia zetu za mjini. Kwa sababu tulimuamini, mke wangu alikuwa akimtumia sana katika safari zake, mimi kiuhalisia sikuwa nikimtumia maana mm sio mtu wa kukaa nyumbani, niko bize na kazi zangu, nilimtumia tu pale ambapo labda niko nyumbani na nahitaji kufikisha mzigo fulani mahali na mke wangu ndiye aliyekuwa akinisuggestia kuwa tumpigie Prince apeleke, ndo maana mimi nilikuwa nikimuona kama bodaboda wa mke wangu.
Basi mke wangu yeye katika safari zake zote kila alipotaka kwenda, ni kumpigia prince aje ampeleke. Karibia safari zote za mke wangu Prince alikuwa akizijua, na mimi binafsi sikuwa na wasiwasi na prince kwa sababu hiyo ni biashara kama biashara nyingine na mtu hufanya biashara na anayemuamini. Hata baada ya kuja hizi Bolt na Ubber ambazo mtu akifanya request
gharama zinakuwa chini kuliko gharama za bodaboda wa kawaida, lakini bado mke wangu yeye aliendelea kumtumia Prince kwenye safari zake ijapokuwa nilimshauri hilo, pia haikuwa shida kwangu maana niliona sio mbaya as long as prince ni mtu tunamuamini
Sasa ikafika hatua prince akawa family friend, akawa anakuja nyumbani kama siku za mechi hivii, anakuja kuangalia mechi za Ulaya tunafurahi maisha yanaendelea na mambo mengine madogo madogo tunapiga tu story kawaida.
Basi ilitokea hiyo siku moja nimesafiri nimeenda mkoani, Nipo huko usiku mida ya saa nne hivi, nilikuwa hotelini ambapo nilikuwa nimefikia na ilikuwa ni safari ya kikazi, Basi nikapokea simu kutoka kwa dada mfanyakazi wa pale nyumbani, akaniambia kaka kuna vurugu hapa ndani, Prince anagombana na dada (mke wangu) nikawa namuuliza shida ni nini?
Alikata simu maana hata kunipigia alikuwa anaongea kiuogauoga. Napiga tena akawa hapokei
Niliwaza ni nini kinachoendelea huko nikawa sielewi. Ugomvi wa mke wangu na Prince umeanzia wapi? Na Prince anatafuta nini hapo nyumbani usiku wote huo? Niliwaza sana nafanya nini nikawa sielewi.
Nilimpigia mke wangu na yeye akawa hapokei simu kabisaa, nikampigia huyo huyo Prince na yeye akawa hapokei simu. Niliwaza sanaaa, lakini sipati majibu nifanyeje. Nilimpigia rafiki yangu Amoni anisaidie kufika nyumbani aangalie kuna nini kinachoendelea.
Amoni mara ya kwanza hakupokea, nikaelewa ni kwa sababu ni usiku sana, yawezekana amelala.
Baadaye nikampigia tena, akapokea namuuliza kama yupo kwake ananiambia yupo club, halafu
sasa hiyo club ni mbali na nyumbani, nikamwambia atoke nje sehemu iliyotulia tuongee mara moja.
Akasema sawa. Nasubiria atoke nje anipigie jamaa hapigi, nikasubiria sanaa Ikabidi nimpigie tena, hapokei, nampigia mara ya pili ndo akapokea akaniambia anatoka nisubirie mara moja,
Basi ndo akawa ametoka akanipigia, kumbe ameshalewa hadi kulewa ndo sababu ya usumbufu wote
Nikamuuliza kwani uko nani akanitajia washkaji wengine aliokuwa nao nikamwambia anipe fulani niongee naye, akaingia ndani na kumcheki akamtoa nje ndo nikaongea naye, bahati nzuri yeye.
alikuwa hajalewa na nililijua hilo ndo maana nikamwambia nipe fulani, basi huyo jamaa nikamueleza kinachoendelea, nikamuomba anisaidie kufika nyumbani haraka kuangalia usalama maana hapa nimeshajaribu kila namna,. Nimecheki hadi jirani yangu mmoja hivii naona ameshalala,
Jamaa akasema sawa sawa ngoja tuelekee huko, Alimchukua Amoni na pombe zake wakaenda nyumbani kwangu njiani akawa anamueleza Amoni kinachoendelea, Sasa walienda wakafika kwangu wakakuta kuko kimya, watu wote wamelala Ikabidi wagonge mlango.
Waligonga na kugonga lakini wapi, hakuna mtu anafungua mlango wakajaribu kuita lakini wapi kuko kimya, sasa wasiwasi wao ukawa ni hawaelewi kuna watu humo ndani au hakuna mtu, walimuita sana mke wangu lakini hakuna anayeitika humo ndani, waliogopa hata kunieleza kinachoendelea ila ilibidi tu wanipigie na kuniambia kuwa waligonga mpaka kidogo wavunje mlango lakini hakuna hata mmoja anayetingishika.
Sasa hawaelewi kuna nini kinachoendelea niliwaambia, sasa fanyeni hivii, muibukieni Prince. Nendeni kwake, mfikieni mjue nini kinachoendelea Walienda kwa Prince walifika kwake wakagonga mlango ukafunguliwa, unafunguliwa anatoka rafiki yake Prince wakamuuliza prince yuko wapi, Akawajibu Prince tangu alipoondoka hapa saa mbili hajarudi mpaka saivi, Wakamuuliza kama hakuna mahali anahisi atakuwepo, akasema hapana, maana yule ni bodaboda anaweza kuwa mahali popote kulingana na wateja wake.
Wakamwambia basi fanya hivii, mpigie simu Jamaa akampigia simu Prince, simu ikaita lakini haipokelewi.
Akapiga tena haipokelewi, Alipopiga mara ya tatu simu ikawa haipatikani, ikiwa na maana Prince amezima simu Walichokaa, wakanipigia simu kunielezea yote hayo ambayo yametokea, nilichoka piaa. Wakati huo mke wangu naye simu haipatikani tena, dada wa kazi yeye hapokei.
Nini kinachoendelea hapaaa? Mke wangu na dada wa kazi wako wapi?! Zile zilikuwa ni vurugu za nini?
Prince na yeye kaenda wapi? Maswali yote haya nilijiuliza bila kuwa na majibu yake, marafiki zangu waliniomba niwaruhusu wakapumzike kwanza, kesho asubuhi na mapema wataamka na hilo iIlikuwa ngumu kuwaruhusu waende kwao kupumzika, lakini hata nikiwakatalia, wabaki waendelee kufanya nini maana huo ulikuwa ni usiku wa saa saba tayari.
Usikose sehemu ya pili ya story hii maana hayo maswali ambayo uko nayo moyoni mwako yatajibiwa yote.
Baki na mimi hapa hapaa


Malizia acha kutupanga.![]()
Shukrani sana sis nimefika!
Asante odo ake Lovelovie 😘😘😘
Asante mkuu ngoja nitulie niisome!
TumeionaIpo ya mwisho nshaweka tayari
Nimefika
Nishaacha kusoma hadithi
Soma haina kusubirishana hii kaanza na kashaimaliza yoteNishaacha kusoma hadithi