asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
Mambo mengine ni upimbi tu mamaeeee.
aisee hii kitu ikinitokea no mercy
Ukiona hivyo ujue jamaa hapigi mashine kikamilifu
Harusi ilikuwa ifanyike Jumamosi ya tarehe 3 Januari 2015.
lol umeamka mapema,huo mtego
Hahahaaa nilikuwa najiandaa kwenda church
Mwenye mke ni mimi, Muddy ni mwizi Mkuu.
lol umeamka mapema,huo mtego
Bora unerudisha hii avatar. ..
Kama juhudi zote nilizofanya zimeshindikana, nimeogopa kuota kibiongo, nawaachia wengine mkuu.
mimi sipo ila huna hela mimi siaki
Hahahaa
Kama kawaida!
Humung'unyi maneno
Kwani huyo mpenzi wako umetoa seal wewe?
Kama hujaitoa wewe ujue kuna njemba kibao huwa anazisifia kimoyo moyo...
Na hata ukimtosa si ajabu atakua anakutaja wewe kwa anayefuata...teh teh teh!!!