Mkuu
bombom kama hiki unachosema ni kweli na umefuatilia ukagundua huyo Muddy ni real, basi usiendelee mbele na ndoa. Hili litakutesa maisha yako yote na utakuja kujuta milele kwani hiyo ni dalili tosha huyu na muddy bado dam dam na amekuja kwako tu baada ya kumkosa Muddy. Nikupe mfano, miaka ya nyuma, nilikuwa na demu, siku moja baada ya kumaliza majambo akatamka "Sasa God mimi wacha niende maana muda emeenda sana". Nikamuuliza "Nani God hapa". Akayeyusha na mimi nikakausha. Siku nyingine tena akajichanganya anakatamka the same. Nikamchenjia hadi akanambia huyo God ni nani, kumbe ni mshikaji na rafiki yangu tu. Nikamwambia poa. Mimi sikuwa muoaji lakini nikaendelea kujipigia mzigo kumbe na God nae anaendelea kujichapia mzigo japo yeye alidai ameachana nae. Nilipojiridhisha God bado anapiga mzigo mimi nikaachia ngazi.
So, ACHANA NAE hakufai huyo mkuu.