Nelly Willy
JF-Expert Member
- Sep 25, 2014
- 583
- 1,197
usimwache bana mbna wako wengine wanataja hata mameno yasiyoeleweka, utasikia oohhh marigip maripuuu, orrgheishh, yesu na maria, aiiii, baba weee, yeuwii, qhrooooo, so hata hiyo ya kutaja Muddy itakuwa imekuja unconsious, kesho atamtaja baba au kaka yako, au padre au paroko au wazir wa maliasil na utalii, n kawaida sana simply bze mind inakua sub conscious au un konshazi, this phenomena has some psychological explainations, we oa tuu