we ndio mwizi umemuibia muddy mke ,huyo mchumba wako yuko kwako kimaslahi tu au tuseme kimwili ila kiroho yupo kwa muddy so we ndio mwizi mwachie mwenye mke wake ajinafasiMwenye mke ni mimi, Muddy ni mwizi Mkuu.
Naomba nisaidie kumpata Mkuu.... hawezi kutia hasara halafu akaondoka hivihivi.Huyo Muddy namjua,
Ni Mohamed Mwaupete
afazali yako bado una matumaini kuwa wewe ndie mume huku wanakaza wengine, we utunze wengine watumie huhuhuhuuuuuuuuuuMwenye mke ni mimi, Muddy ni mwizi Mkuu.
ulinaonaje Second Fiddle, inachukizaMtoa maada umenivunja mbavu kwelkwel! Ilishawahi kunitokea hii kwa binti wa kindali 2009! Ila mim nilikuwa natoa ugwadu tu!