Simuelewi mpenzi wangu huyu

Simuelewi mpenzi wangu huyu

mwaJi wa ukweli maneno hayo looo



watu bwana hata kama unamkumbuka mtu sio hivyo huyo kaka angetakiwa huyo dada akisema oooh mudy nayeye anaitikia aaaah jamaani fadhila sitakuacha. namaanisha nayeye ataje msichana mwingine angekoma kabisa
 
Last edited by a moderator:
Jamani huenda jina la ndugu yake ww usimwache oa2 kwan ulikuta nibikira kama siyo we jua2 kuna mwenzako kasha vuna
 
Jaribu kutafuta jins ya kulimaliza tatizo kwa Mara nyingine tena.cos unaweza acha 80%good because of 20% bad usije juta ww na kuanza kulialia hapa ndoa si lelemama bana na kuna wakike wengi but wanaofaa kuwa wake few.good luck
 
usimwache bana mbna wako wengine wanataja hata mameno yasiyoeleweka, utasikia oohhh marigip maripuuu, orrgheishh, yesu na maria, aiiii, baba weee, yeuwii, qhrooooo, so hata hiyo ya kutaja Muddy itakuwa imekuja unconsious, kesho atamtaja baba au kaka yako, au padre au paroko au wazir wa maliasil na utalii, n kawaida sana simply bze mind inakua sub conscious au un konshazi, this phenomena has some psychological explainations, we oa tuu
Nashukuru Nelly Willy kwa ushauri mzuri, lakini suala hili limeniathiri sana, sidhani kama litanitoka kirahisi.
 
Last edited by a moderator:
Haumfanyi ipasavyo mtoto wa watu ndio maana hata hakusifii na hapo umefanya kosa kubwa sana ulitakiwa uongeze juhudi ili siku moja akusifie na kwa mtindo huo utawaacha wengi

Co kweli kuwa hamfanyi vzr, ukiona dem unamfanya hadi anaropoka hovyo ujue unamfikisha. Kutamka jina inategemea ni nani kamzoea na anamfanya mara kwa mara(conditional reflex), kwani anakua unconcious. Iliwah kunitokea mm nli do na dem mmoja inaonekana jamaa anamridhisha maana nlipo likoleza akaanza kulitaja jina la jamaa alisahau km nilikuwa mimi na c yule tena. Baade nkamtania km alikua akitaja jina la flani lkn yy hata hakumbuki km alitaja na akaniambia alikuwa dunia nyingine kabisa. So hyo ipo km dem hauna mda mrefu nae maana vjana wanavamia madem za watu kwakua wanavijipesa mnaamua kitangaza ndoa, uta gongewa sn
 
na wajanja hawaiti majina wanaita baby ili wasichanganye madesa......

Hakuna cha ujanja ww, inategemea na mvua inayokunyeshea ni ya kawaina au ya mawe. Kuna vichapo utasahau km baby inatamkwaje na utajikuta utaja vtu havieleweki au ndo unayjikuta umetaja huyo Mudy na bila kujua. Aisee kuna migegedo unusal aisee. Kuna jamaa alichukua Malaya akalala nae, asubuh yule malaya aligoma hata kuchukua pesa akaomba tu mawasiliano ya mshkaji akadai cku akiwa na nyege atamtafuta ili agegedwe tena. Akakiri hajawahi kukutana na kichapo km hcho toka avunje ungo. Et utawaita wote baby! Hujakutana na kifinyo ukaongea kireno.wengine utackia "Jamaaaaniii! Hata mume wangu hanifanyagiiiii hviiii!" Ata kiri kila kitu hapo.Me dada mmoja akasema "Daah! Aisee! This is too much! Nlipomaliza hakunyanyuka hadi nkapata wac wac, baadae alinya nyanyuka likini alichoka sn. Ndo maana vitabu vtakatifu vnataka kla mtu awe na wakwake na aciende nje maana atakayo yakuta anaweza kujilaumu kwann aliolewa mapema.
 
Naitwa Bonny Mokiwa (Bombom). Nina mpenzi wangu wa muda mrefu ambaye nategemea kufunga ndoa naye hivi karibuni. Utata uliojitokeza na kupelekea kutengua uamuzi wangu wa kufunga ndoa ni kwamba, kwa mara tatu katika nyakati tofauti, tulipokuwa kwenye sita kwa sita (ingawaje hairuhusiwi kwa wachumba) akizidiwa kumahaba anaweweseka na kumtaja mtu mwingine anayeitwa Muddy badala ya kunisifu mimi.

Suala hili lilileta mtafaruku hadi likasuluhishwa na mshenga. Tatizo ni kwamba amerudia tena kutaja hilo jina.

Nimeamua kumtosa, ingawa harusi imepangwa mwezi ujao.

Sijui kama nimefanya uamuzi mbaya.

Huyo Muddy namjua,
Ni Mohamed Mwaupete
 
Last edited by a moderator:
watu bwana hata kama unamkumbuka mtu sio hivyo huyo kaka angetakiwa huyo dada akisema oooh mudy nayeye anaitikia aaaah jamaani fadhila sitakuacha. namaanisha nayeye ataje msichana mwingine angekoma kabisa

Ha ha ha,
Hiyo inaitwa "Akimwaga Ugali, wewe Mwaga Mboga Mpaka na Maji ya Kunawa"
 
Naitwa Bonny Mokiwa (Bombom). Nina mpenzi wangu wa muda mrefu ambaye nategemea kufunga ndoa naye hivi karibuni. Utata uliojitokeza na kupelekea kutengua uamuzi wangu wa kufunga ndoa ni kwamba, kwa mara tatu katika nyakati tofauti, tulipokuwa kwenye sita kwa sita (ingawaje hairuhusiwi kwa wachumba) akizidiwa kumahaba anaweweseka na kumtaja mtu mwingine anayeitwa Muddy badala ya kunisifu mimi.

Suala hili lilileta mtafaruku hadi likasuluhishwa na mshenga. Tatizo ni kwamba amerudia tena kutaja hilo jina.

Nimeamua kumtosa, ingawa harusi imepangwa mwezi ujao.

Sijui kama nimefanya uamuzi mbaya.

Ushawahi kupigwa juju wewe?
 
Uyo muddy anamkaza vilivyo...we mvumilie kwan we c ndo unapiga....jamaa anatajwa tu!
 
Muddy huwa anampa zaidiii so we unapo ishia kwa muddy ndo anakuwaga ananza so mudd ni mtaalamu we ni fundi jiule mpo wangapi
 
Hakuna cha ujanja ww, inategemea na mvua inayokunyeshea ni ya kawaina au ya mawe. Kuna vichapo utasahau km baby inatamkwaje na utajikuta utaja vtu havieleweki au ndo unayjikuta umetaja huyo Mudy na bila kujua. Aisee kuna migegedo unusal aisee. Kuna jamaa alichukua Malaya akalala nae, asubuh yule malaya aligoma hata kuchukua pesa akaomba tu mawasiliano ya mshkaji akadai cku akiwa na nyege atamtafuta ili agegedwe tena. Akakiri hajawahi kukutana na kichapo km hcho toka avunje ungo. Et utawaita wote baby! Hujakutana na kifinyo ukaongea kireno.wengine utackia "Jamaaaaniii! Hata mume wangu hanifanyagiiiii hviiii!" Ata kiri kila kitu hapo.Me dada mmoja akasema "Daah! Aisee! This is too much! Nlipomaliza hakunyanyuka hadi nkapata wac wac, baadae alinya nyanyuka likini alichoka sn. Ndo maana vitabu vtakatifu vnataka kla mtu awe na wakwake na aciende nje maana atakayo yakuta anaweza kujilaumu kwann aliolewa mapema.

Hivyo vichapo matata aiseeeee loh
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom