Nothing4good
Senior Member
- Feb 19, 2011
- 180
- 55
Kuna kaka alitokea kunipenda nami nikampenda hana dalili ya upendo hata kidogo.
Nikimuuliza anasema mpaka tufanya mapenzi kwanza pia hataki kujua jina langu ananiita mpenzi au mke wangu na mara kwa mara huwa mimi ndio nampigiaga simu nikikaa kimya inaweza ikapita wiki tatu bila mawasiliano.
Ikitokea tukionana ndo hujifanya ananipenda nakutaka anichumu sasa kilichonichosha kabisa ni siku niliyoangalia simu yake amenisave nani, nilikuta kaandika heineken.
After all nikimwambia tuonane anataka tuonane wakati wagiza nikimuuliza kaniacha? anakataa, nisaidieni nimwache mimi? Ni miezi 6 sasa lakini haeleweki.
Nikimuuliza anasema mpaka tufanya mapenzi kwanza pia hataki kujua jina langu ananiita mpenzi au mke wangu na mara kwa mara huwa mimi ndio nampigiaga simu nikikaa kimya inaweza ikapita wiki tatu bila mawasiliano.
Ikitokea tukionana ndo hujifanya ananipenda nakutaka anichumu sasa kilichonichosha kabisa ni siku niliyoangalia simu yake amenisave nani, nilikuta kaandika heineken.
After all nikimwambia tuonane anataka tuonane wakati wagiza nikimuuliza kaniacha? anakataa, nisaidieni nimwache mimi? Ni miezi 6 sasa lakini haeleweki.