Simuelewi huyu kaka

heineken ni jina lako au?ahaaa hahaa sijaelewa mimi..hahahha kazi kwelikweli vijana wa mjini mna mambo sana
 
take your time gal ,hakupendi ila wewe ndio unampenda, yeye alikuwa anataka kuongeza idadi ya wanawake aliolala nao ful stop. :hand:
 
Kuna mkaka alitokea kunipenda nami nikampenda hana dalili ya upendo hata kidogo.nikimuuliza anasema mpaka 2do kwanza pia hataki kujua jina langu ananiita mpenz au mke wangu na marakwa mara huwa mimi ndio nampigiaga sm nikikaa kimya inaweza ikapita wiki3 bila mawasiliano. ikitokea 2kionana ndo hujifanya ananipend nakutaka anichumu sasa kilichonichosha kabisa ni siku niliyoangalia sim yake can sevu nani nilikuta kaandika heineken afta all nikimwambia 2onane anataka 2onane wakati wagiza nikimuuliza kaniacha?anakataa. nisaidieni nimwache mimi? Nimiezi 6 sasa lakini haeleweki
Ujaolewa unachokonoa simuzawatu ukiolewa me?? Behave bana!!!only !Mr&Mrs can touch@other phone!!sofar Ghana 2;gbosau 0
 
heineken ni jina lako au?ahaaa hahaa sijaelewa mimi..hahahha kazi kwelikweli vijana wa mjini mna mambo sana
hahahahaahaha nimecheka kaseviwa kwa jina la heineken si bora ashukuru ..angekuta chibuku je?
 
Kuna mkaka alitokea kunipenda nami nikampenda hana dalili ya upendo hata kidogo.nikimuuliza anasema mpaka 2do kwanza pia hataki kujua jina langu ananiita mpenz au mke wangu na marakwa mara huwa mimi ndio nampigiaga sm nikikaa kimya inaweza ikapita wiki3 bila mawasiliano. ikitokea 2kionana ndo hujifanya ananipend nakutaka anichumu sasa kilichonichosha kabisa ni siku niliyoangalia sim yake can sevu nani nilikuta kaandika heineken afta all nikimwambia 2onane anataka 2onane wakati wagiza nikimuuliza kaniacha?anakataa. nisaidieni nimwache mimi? Nimiezi 6 sasa lakini haeleweki

Angalia hili andiko lisitimie kwako; "wana macho lkn hawaoni, wana masikio lkn hawasikii,...kwa kuwa ni watu wenye shingo ngumu".
 
Kuna mkaka alitokea kunipenda nami nikampenda hana dalili ya upendo hata kidogo.nikimuuliza anasema mpaka 2do kwanza pia hataki kujua jina langu ananiita mpenz au mke wangu na marakwa mara huwa mimi ndio nampigiaga sm nikikaa kimya inaweza ikapita wiki3 bila mawasiliano. ikitokea 2kionana ndo hujifanya ananipend nakutaka anichumu sasa kilichonichosha kabisa ni siku niliyoangalia sim yake can sevu nani nilikuta kaandika heineken afta all nikimwambia 2onane anataka 2onane wakati wagiza nikimuuliza kaniacha?anakataa. nisaidieni nimwache mimi? Nimiezi 6 sasa lakini haeleweki
shule wengi imewapita kushoto kwa hiyo kusoma ni taaaabu kwl kwl, lakini hata picha??Yaani huyo msela anakuona kama changudoa, esx how much full stop.Ukweli unauma lakini huu ndio ukweli wenyewe
 
Kuna mkaka alitokea kunipenda nami nikampenda hana dalili ya upendo hata kidogo.nikimuuliza anasema mpaka 2do kwanza pia hataki kujua jina langu ananiita mpenz au mke wangu na marakwa mara huwa mimi ndio nampigiaga sm nikikaa kimya inaweza ikapita wiki3 bila mawasiliano. ikitokea 2kionana ndo hujifanya ananipend nakutaka anichumu sasa kilichonichosha kabisa ni siku niliyoangalia sim yake can sevu nani nilikuta kaandika heineken afta all nikimwambia 2onane anataka 2onane wakati wagiza nikimuuliza kaniacha?anakataa. nisaidieni nimwache mimi? Nimiezi 6 sasa lakini haeleweki
Huyo kiumbe achana nae. Usije ukajichanganya ukakaa mguu pande kwa sababu itakula kwako. Usimpe utamu hata kido kwanza mwenzako hakuthamini na ndio sababu kakusave jina la kinywaji. Au unamtia hasara sana kwa kunywa heinken nyingi? Jitafakari kwanza. ILA NASISITIZA USIJE UKAJICHANGANYA UKAWEKA MGUU PANDE, AKILI KWA KICHWA
 
Nimependa jina uliloseviwa.Ila hapo hakuna mapenzi fanya haraka ujitoe kwenye huo msururu
 
Ungekuta amekusave muuza majeneza ungezimia au ungekufa
 
Bora amekusave heinkein,kakupa chati,mwenzio kamsave'kiroba orijino'
 
Kuna kaka alitokea kunipenda nami nikampenda hana dalili ya upendo hata kidogo.

Nikimuuliza anasema mpaka tufanya mapenzi kwanza pia hataki kujua jina langu ananiita mpenzi au mke wangu na mara kwa mara huwa mimi ndio nampigiaga simu nikikaa kimya inaweza ikapita wiki tatu bila mawasiliano.

Ikitokea tukionana ndo hujifanya ananipenda nakutaka anichumu sasa kilichonichosha kabisa ni siku niliyoangalia simu yake amenisave nani, nilikuta kaandika heineken.

After all nikimwambia tuonane anataka tuonane wakati wagiza nikimuuliza kaniacha? anakataa, nisaidieni nimwache mimi? Ni miezi 6 sasa lakini haeleweki.

yaani kama vile umenisema mimi, ndo nilivyo kama sina mpango na huyo demu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom