Simuelewi aliyekuwa shemela wenu...

Simuelewi aliyekuwa shemela wenu...

mnapendana nyie tena sana .. na hayo makejeli ni sababu moyo wenu hautaki muachane lakini akili mnailazimisha .. mnaweza badilika ila we binti mrembo hata ukipata mwingine usiwe na mdomo wa kujibu maneno mabaya bwana urembo wa mwanamke wa kwanza ni nywele (nitoboeni macho) cha pili kauli na utiii cha tatu kusali, cha nne mipango na bajeti namna ya kuzitumia vizuri ongezea na kudeka haloo ukiweza hivyo mwanaume lazima abdadilike ..
Kweli kabisa miss chagga. Inaonekana hao wanapendana sana ila saa nyingine wanazinguana ili kuona response ya mwenzake. Nimeukubali uchambuzi wako kwa 100%
 
Kumsaidia mtu ambaye mlikua wote sio kitu kibaya! Ukiachana na mtu mnabakia binaadam kama wengine haijalishi msaada ni Nani unampatia. Kuna mtu tulipendana na tuliachana kinoma Yaani nikiandika hayaishi japo chanzo kilikua yeye miaka ilipita nikaja kusikia anamatatizo makubwa na ninauwezo wa kumsaidia nilitafuta namba yake nikamsalimia kwanza alishangaa baadae nikamuuliza naweza kufanya chochote akakubali!! Nilimsaidia tatizo likapungua na kumuahidi kumpa 75% ya mshahara wake hadi atakapopata kazi. Na nilimwambia usione nafanya hivi ukajua nahitaji turudiane hapana nakusaidia kama binaadam. Ndoa yangu ipo imara sana.. hadi Leo ni mwezi wa nne natekeleza nilichomuahidi.. Saidia bila kutarajia kulipwa jema.
 
Utoto bhana.
Nyie bado upendo upo kati yenu. Kutoleana maneno ni sawa na "sizitaki mbichi hizi". Ingawa kunaweza kuwa na tatizo linalowapelekea nyote wawili kupata hasira na msongo wa mawazo.
Ni vema mkapeana muda mpaka pale kila mmoja atakapokubaliana na moyo wake kuwa amekosea kisha myamalize.
Kuachana kwenu ipo siku mtarudiana na kuachana tena endapo hamtaziba ufa.
Mkuu hivi hii issue ya watu kupeana muda labda miezi 1,2,3 bila kuwasiliana kabisa ili wajitafakari vyema inafanyaga kazi? Yaani baadae wajikute wamedudiana baada meditation?
 
Aogope sana kumlazimisha ndoa na mwanaume mwenye maudhi kwa maana atajuta huko mbeleni

Mkuu;
Yeye shida yake sio kuogopa maudhi ya kidume chake, shida yake ni kuolewa tu. Aitwe mke wa flan au aliye achika. Ndivyo namwona
 
Mkuu hivi hii issue ya watu kupeana muda labda miezi 1,2,3 bila kuwasiliana kabisa ili wajitafakari vyema inafanyaga kazi? Yaani baadae wajikute wamedudiana baada meditation?
Kwangu binafsi sijawahi ona.
Ila kwa wanavyosema au kudhani, watu wanaweza kuachana kwa hasira tu. Maneno wanayotoleana ni sababu ya hasira wakidhani wako sahihi kuachana na wapendwa wao. Watu hao wakiendelea kuongea maana yake wataendelea kutukanana bila kupata suluhu. Lakini watakapopeana muda, wanapata wasaa mzuri wa kufikiria wapi wamekoseana. Hata kama hawatakutana lakini kila mmoja atatafakari wapi amekosea. Na baada ya hapo wanaweza hata kukumbukana. Hapo wakianza kuongea, watatumia lugha ya kirafiki zaidi.
Lakini kwa wengine sidhani kama inasaidia. Ukinuna leo, kesho mwenzio anavuta chombo. Hata akijua kuwa amekukosea, bado atajikweza na kuendelea na maisha yake. Nadhani.
 
mnapendana nyie tena sana .. na hayo makejeli ni sababu moyo wenu hautaki muachane lakini akili mnailazimisha .. mnaweza badilika ila we binti mrembo hata ukipata mwingine usiwe na mdomo wa kujibu maneno mabaya bwana urembo wa mwanamke wa kwanza ni nywele (nitoboeni macho) cha pili kauli na utiii cha tatu kusali, cha nne mipango na bajeti namna ya kuzitumia vizuri ongezea na kudeka haloo ukiweza hivyo mwanaume lazima abdadilike ..
Zile nyingine huwa zinakuwaga ni akili za savanaa eeh "hela hela"?

Kumbe mtoto laini kabisaaa, materials kibao zakua wife[emoji23] [emoji23] safi
 
Kumsaidia mtu ambaye mlikua wote sio kitu kibaya! Ukiachana na mtu mnabakia binaadam kama wengine haijalishi msaada ni Nani unampatia. Kuna mtu tulipendana na tuliachana kinoma Yaani nikiandika hayaishi japo chanzo kilikua yeye miaka ilipita nikaja kusikia anamatatizo makubwa na ninauwezo wa kumsaidia nilitafuta namba yake nikamsalimia kwanza alishangaa baadae nikamuuliza naweza kufanya chochote akakubali!! Nilimsaidia tatizo likapungua na kumuahidi kumpa 75% ya mshahara wake hadi atakapopata kazi. Na nilimwambia usione nafanya hivi ukajua nahitaji turudiane hapana nakusaidia kama binaadam. Ndoa yangu ipo imara sana.. hadi Leo ni mwezi wa nne natekeleza nilichomuahidi.. Saidia bila kutarajia kulipwa jema.
Nahisi kwa jinsi ilivyoelezwa, hapa kuna boyfriend benefit na friend benefit. Binti alikuwa anasaidia kama ambavyo angefanya kwa mumewe akidhani wanajenga huku mwenzie akitumia boyfriend benefit kwa kujinufaisha huku akijua wazi benefit anazopokea hazimfai. Sasa kwa kuwa binti alikuwa mwema, jamaa anataka kumuacha lakini bado anahitaji benefits zile.
 
Zile nyingine huwa zinakuwaga ni akili za savanaa eeh "hela hela"?

Kumbe mtoto laini kabisaaa, materials kibao zakua wife[emoji23] [emoji23] safi
[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] hapana mkuu
 
Back
Top Bottom