Simu za Nokia orginal mpya bei chee kabisa

Simu za Nokia orginal mpya bei chee kabisa

Nokia 3310 (2017) ni kiboko ya features phone zote. Hizo zako ni imara lakini haziendani na matumizi ya 2018.
8b2d89902db31612ec09a8ca69ba9f3b.jpg
,tunajua kuna matoleo meng ya simu za nokia.na kila mmoja ina ubora na uthaman wake.na kila mtu ana mapenz yake.
 
Kivp boss hunielew,ntafte kwenye namb yangu.

Umekata Mawasiliano Ghfla...Ulisema Unaenda Stendi Saa Tano Mpka Sasa Kimya....Mimi Ndie Mwenye Namba Ya Voda Inayoishia 32...Kma Imeshindikan sema Muda Muhimu Sanaaa.
 
Umekata Mawasiliano Ghfla...Ulisema Unaenda Stendi Saa Tano Mpka Sasa Kimya....Mimi Ndie Mwenye Namba Ya Voda Inayoishia 32...Kma Imeshindikan sema Muda Muhimu Sanaaa.
We umenitafta kwenye voda nimeacha nyumbn charge.nko kwenye halotel yangu c unayo.nichek huko kiongz
 
We umenitafta kwenye voda nimeacha nyumbn charge.nko kwenye halotel yangu c unayo.nichek huko kiongz
Sasa mkuu ww ndio ulitakiwa kunicheki kwamba upo kwenye halotel maana hatukua tukiwasiliana kwenye halotel
 
Izo simj nahisi hadi apps zake zitakua zimefungwa tayari na nokia
 
Kijana anaviashiria vyote vya utapeli
Ndgu,nadhan hunijui,usidhan kila mtu ni tapeli,nyie ndio mnao rudisha maendleo nyuma nakuzushia watu matapel bila sababu,naomba ujitokeze hadharan ni kip nilichokutapel.
 
Kijana anaviashiria vyote vya utapeli
Uje na uthbitisho wote.nimemtapel nan tangu nimeanz kufanya biashara hii,na wote walionunua sim kwangu wajitokeze hapa maana nadhan unakurupuka kuwalaghai watu nataka kuwatapel.be careful.ukitaka unifaham vyema njoo utanijua,
 
Back
Top Bottom