Simu za Nokia orginal mpya bei chee kabisa

Simu za Nokia orginal mpya bei chee kabisa

Karibuni watu wote mnunue simu orginal za nokia.
Nokia original kabisa ndogo ndogo,zile za tochi,na aina model nyingine zinapatikana.
Mzigo upo mwingi hata ukitaka PC 100 unapata..
UBORA WA HIZI SIMU:
Simu hizi ni imara na zinadumu na charge sana,hazina kelele kama simu zingine za kichina.ziko officially.nadhani baadhi ya wadau mnatambua ubora na uimara wa simu hizi.
hautajuta kutumia simu hizi.
BEI
kwa simu zote ndogo ndogo mfano,nokia za tochi na kuendelea,Bei ya simu ni elfu 17000/= kwa Jumla na elfu 20,000/= kwa wateja wa Rejareja.
Na kwa simu mfano Nokia Asha,x2,nokia Lumia na zingine Bei ni kuanzia elfu 70,000/=
hadi 150,000/=lakini na nusu.inategema ni model gani ya simu unayohitaji.
kumbuka bei hii ni promotion,haipungui hata senti tano,usichelewe.

Mawasiliano
kwa watu wote wanaohitaji mzigo basi wapige namba hii
0626152699

ANGALIZO
wateja serious pekee wanakaribishwa
View attachment 682101 View attachment 682100 View attachment 682100 View attachment 682099 View attachment 669691 View attachment 669691 View attachment 669688 View attachment 669688 View attachment 682104 View attachment 682104 View attachment 682105 View attachment 682106 View attachment 682106 View attachment 682107 View attachment 682108 View attachment 682108 View attachment 682109 View attachment 669688
View attachment 682147 View attachment 682148
Mnapatikana wapi hapa dar?
 
1bbb3fb3fb7e9a526a00e8da62a25c8c.jpg
 
Una Nokia Asha 202 mkuu?
Nilianza kuuliza..

Ukajibu..
Ipo utapata kwa elfu 80 mpya,
Nikauliza tena...
Za kugombania au za kutosha, maana nipo mkoa, next week narudi Dar
Ukajibu..
Kwa asha utapata wakt wowte ila hz ndgondg ndo zakugombnia.
Kuna mungine akaomba nikijibiwa Na yeye nimjuze..
Ukijibiwa nambie mkuu
Ukamjibu.
Nishamjibu,ipo kwa elfu 80,
Now unayakana maneno yako.. wakati ulisema zipo wakati wowote..
Asha hyo sina,,naomba nkwambie ,sio nokia zote ninazo.,zingne kama mtu anahtaj anatoa order namletea ndgu.
Haya bhana... Biashara njema kaka...
 
Nilianza kuuliza..

Ukajibu..

Nikauliza tena...

Ukajibu..

Kuna mungine akaomba nikijibiwa Na yeye nimjuze..

Ukamjibu.

Now unayakana maneno yako.. wakati ulisema zipo wakati wowote..

Haya bhana... Biashara njema kaka...
Subr nirud toka safar kiongz,cm yako utaipata,asha uliyohtaj ni 202,na aina ya nokia asha zilizokuwepo ni nyingne japo toleo ni mmoja.nkirudi tz ntakutafta .niinbox namba yako.nikileta nitaktafta.pole.
 
Back
Top Bottom