James Hungury
JF-Expert Member
- Jun 8, 2013
- 825
- 612
- Thread starter
- #181
Dar kiongz ukihtaj utaipata,kwa sasa ndgu yangu tunapokea order nakusupply,hatujawa na ofs.ila kama utahtaj sm kwa dar unaipata kwa urahs tu.Hapa dar unapatikana wapi?
Dar kiongz ukihtaj utaipata,kwa sasa ndgu yangu tunapokea order nakusupply,hatujawa na ofs.ila kama utahtaj sm kwa dar unaipata kwa urahs tu.Hapa dar unapatikana wapi?
Zipo mkuu,pia nokia c3 ipo pia.karibuhizi Nokia x2 unazo?
Mkuu lumia utapata kwa lak na nusu pekee,Inakwenda ngapi mkuu
![]()
Mkuu lumia utapata kwa lak na nusu pekee,
Mvuv hiyo ni nokia 1110,utaipata kwa elfu 25,000/=mbeya uko maeneo gan,nina mtu hapo ambae naweza nkamtumia yeye kisha ukaichukua kwake.Hiyo simu iliyo chini ya LUMIA naitaka. Nipo Mbeya hebu nipe taratibu za kufuata na total cost.
Kaka nadhan nilikufahamisha yakuwa utaipata kwa lak mmoja nadhan,hili toleo unalohtaji nimetoa order na nategemea week hii ntaipokea.tuwasiliane tu kiongz,pole kama hukunielewa.Nauliza hili swali for the last and last time;
Nokia 6720 unauza shilingi ngapi?
Ulisema unayo ila bei hukunitajia mkuu, nilikuuliza zaidi ya mara mbili.
Ikikupendeza jibu, isipokupendeza ni heri pia.
Daaah nahitaji sana nokia hii nyeusi, ila zisiwe zile za kichina mwanga wa screen kama mtu kawasha tochi pembeni ya screenwateja serious pekee wanakaribishwa
![]()
Kaka nadhan nilikufahamisha yakuwa utaipata kwa lak mmoja nadhan,hili toleo unalohtaji nimetoa order na nategemea week hii ntaipokea.tuwasiliane tu kiongz,pole kama hukunielewa.
naomba maana ya hili nenoRefurbished

Sawa ndgu yangu,simu ni orgnal.ntakufahamsha mzgo ukiingia week hii.Hapana, hukunijibu kabisa kuhusu bei.
Nokia 6720 Classic nayoiulizia ni hii hapa chini,
View attachment 682801
Ikifika nijulishe mkuu, naihitaji sana.
Ila iwe original tafadhali.
Nokia obama utaipata kiongz,zile za kichina hazifai,siku mbili zishakufa.hazina ubora.Daaah nahitaji sana nokia hii nyeusi, ila zisiwe zile za kichina mwanga wa screen kama mtu kawasha tochi pembeni ya screen
Upo mkoa gan boss,na unahtaj pc ngap?Nahitaj hiyo 1280 nitaipataje, ???
Niko dar
Ok,ntafte inbox kuna mtu ntakutumia namb yake atakupatia.Niko dar