Njoo PM tuyajenge..Nimeipenda hiyo nyeupe hayupo wa kuninunulia?
Njoo PM tuyajenge..Nimeipenda hiyo nyeupe hayupo wa kuninunulia?
Sasa si tuyajenge hapahapa mkuu simu ya elfu 20 pm nikisema uninunulie iPhone si ndio utasema tukaongelee guest house kabisaNjoo PM tuyajenge..
Je simu hizo zimetengenezwa na kampuni za kichina au ndiyo zile zetu za kizamani kabla wachina hawajanunua license?Mkuu kwa ujumla sina kitabu cha risit kwa sasa,wewe unataka risit au cm mkuu?
Sasa si tuyajenge hapahapa mkuu simu ya elfu 20 pm nikisema uninunulie iPhone si ndio utasema tukaongelee guest house kabisa

Ni orgnal,ni kabla wachna hawajapata licence,sio copy.hz cm kwa wanaoujua mkuu si zakukosa,ni ngumu sana.Je simu hizo zimetengenezwa na kampuni za kichina au ndiyo zile zetu za kizamani kabla wachina hawajanunua license?
Hapana hammy,skuwa inbox.ngoja nitazame msg.pole.Mbona mi nakutxt hunijibu , unabagua ama?
Jana nimekutxt inbox ukanpotezea Leo pia mpak saiv hujanijibu wakat tulikubaliana mzgo ukiingia utanstuaHapana hammy,skuwa inbox.ngoja nitazame msg.pole.
Picha zake tafadhali na jinsi ya kufika huko ili nione kama Jumatatu naweza kuja..Huwa ni mpya au used?Ipo,ninayo bei yake ni elfu 65,pia x2 ipo.karbu
Simu ni mpya,ipo rang ya orange.Picha zake tafadhali na jinsi ya kufika huko ili nione kama Jumatatu naweza kuja..Huwa ni mpya au used?
Nimeattack picha hapo juu unaweza pata rang hiiPicha zake tafadhali na jinsi ya kufika huko ili nione kama Jumatatu naweza kuja..Huwa ni mpya au used?
Hivi unazo za double line?Mkuu nipigie au nitafute inbox tujue namna ya kuituma
Inapatkana kwa sh elfu 80000 pekeeMkuu una Nokia 3100
Nokia au mchina?kama ni nokia double line utapata kwa elfu themanini,ni asha.Hivi unazo za double line?
Inapatkana kwa sh elfu 80000 pekee