Simu za Nokia orginal mpya bei chee kabisa

Simu za Nokia orginal mpya bei chee kabisa

Fafanua alikutapeli namna gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
bro unataka nifafanue nini hapo yani huelewi tu? nshakwambia huyu mtu ni tapeli usije ukamtafuta ukajua kweli ana simu hzo simu hana kaa nae mbali, yani hapo ni kama nimekwambia usipite njia hii kuna bomu unaanza maswali tena linalipukaje, kaa nae mbali mi namuwinda siku nikimkamata namfira kwanza ndio mambo ya hela yafuate
 
Karibuni watu wote mnunue simu orginal za nokia.
Nokia original kabisa ndogo ndogo,zile za tochi,na aina model nyingine zinapatikana.
Mzigo upo mwingi hata ukitaka PC 100 unapata..
UBORA WA HIZI SIMU:
Simu hizi ni imara na zinadumu na charge sana,hazina kelele kama simu zingine za kichina.ziko officially.nadhani baadhi ya wadau mnatambua ubora na uimara wa simu hizi.
hautajuta kutumia simu hizi.
BEI
kwa simu zote ndogo ndogo mfano,nokia za tochi na kuendelea,Bei ya simu ni elfu 17000/= kwa Jumla na elfu 20,000/= kwa wateja wa Rejareja.
Na kwa simu mfano Nokia Asha,x2,nokia Lumia na zingine Bei ni kuanzia elfu 70,000/=
hadi 150,000/=lakini na nusu.inategema ni model gani ya simu unayohitaji.
kumbuka bei hii ni promotion,haipungui hata senti tano,

ANGALIZO
Sipokei pesa ya mtu kama hajapokea simu na kukagua,maana kuna watu wanajaribu kuchafua thready yangu wakidai wametapeliwa.hivyo sipokei pesa ya mtu kama hajapokea mzgo.
wateja serious pekee wanakaribishwa
View attachment 682101 View attachment 682100 View attachment 682100 View attachment 682099 View attachment 669691 View attachment 669691 View attachment 669688 View attachment 669688 View attachment 682104 View attachment 682104 View attachment 682105 View attachment 682106 View attachment 682106 View attachment 682107 View attachment 682108 View attachment 682108 View attachment 682109 View attachment 669688
View attachment 682147 View attachment 682148 [/B]
Simu bado unauza?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom