Rosalie_J
Member
- Jan 6, 2018
- 37
- 50
Ila nawe si yaishe mbona mmeulizwa kama kuna mtu aliyewahi kuliwa hela yake mbona hajitokezi sa utapeli wake uko wapi au mnapenda magomvi tu.Huna mzigo wala biashara. Nimekukanya tu uache utapeli
Ila nawe si yaishe mbona mmeulizwa kama kuna mtu aliyewahi kuliwa hela yake mbona hajitokezi sa utapeli wake uko wapi au mnapenda magomvi tu.Huna mzigo wala biashara. Nimekukanya tu uache utapeli
Nenda kaioshe hiyoIla nawe si yaishe mbona mmeulizwa kama kuna mtu aliyewahi kuliwa hela yake mbona hajitokezi sa utapeli wake uko wapi au mnapenda magomvi tu.









Yes,itapatikana kaka,Mkuu unauza Na spea zake???? Mimi nina Nokia 206 imekufa display pia nataka kubadili housing
Hzo sina mkuu,nazoleta mara zote ni hzi za 1280 obama ya kawaid.Mimi nahitaji Nokia Obama zile nye mbamba kabisa vipi unazo pia?
Mkuu mi nataka Nokia N95Hzo sina mkuu,nazoleta mara zote ni hzi za 1280 obama ya kawaid.
Niambie bei ya hvyo vyote nlivyoulizaYes,itapatikana kaka,
Daaah!! Vipi Lakin Umepqta Huo Mzigo? Dalili Zake Zinashangaza Sanaa!Jamaa anazngua sana, mi aliniambia mzigo anashushia DSM tukakubaliana kesho yake tukutane tufanye biashara. Kesho yake namtumia txt mpak inafika jioni hajajibu hata moja , badae anasema et mzigo upo moshi![]()
![]()
yan jamaa anakera balaa,amenifanya na mimi nionekane muongo kwa mtu aliyeniagiza nimtafutie sim
Nishakata mawasiliano nae na simu nimeshanunua dukanDaaah!! Vipi Lakin Umepqta Huo Mzigo? Dalili Zake Zinashangaza Sanaa!
Aaahhhh!!! Aaaahhh! Mimi Nimepoteza Two Week Kwa Biashara Isioisha Na Tatizo Huwa Kwa Muuzaji, Daah Kuna Watu Wana Utani Na Muda Aisee!!!Kuna mtu yeyote humu ameshafanya biashara na huyu jamaa? Mana kila mmoja analalamika the way unavyowapiga sound , mi mmoja wapo nilitaka nichukue pc 3 lakin daily unasema ndo unasafiri, mara sijui upo safarini. Kiukweli ulinikera sana mana nimekaa wiki tatu kufatilia hizo sim bila mafanikio