Hammy Js
JF-Expert Member
- Sep 20, 2017
- 3,053
- 3,268
Kuna mtu yeyote humu ameshafanya biashara na huyu jamaa? Mana kila mmoja analalamika the way unavyowapiga sound , mi mmoja wapo nilitaka nichukue pc 3 lakin daily unasema ndo unasafiri, mara sijui upo safarini. Kiukweli ulinikera sana mana nimekaa wiki tatu kufatilia hizo sim bila mafanikio
