Simu za Nokia orginal mpya bei chee kabisa

Simu za Nokia orginal mpya bei chee kabisa

Karibuni watu wote mnunue simu orginal za nokia.
Nokia original kabisa ndogo ndogo,zile za tochi,na aina model nyingine zinapatikana.
Mzigo upo mwingi hata ukitaka PC 100 unapata..
UBORA WA HIZI SIMU:
Simu hizi ni imara na zinadumu na charge sana,hazina kelele kama simu zingine za kichina.ziko officially.nadhani baadhi ya wadau mnatambua ubora na uimara wa simu hizi.
hautajuta kutumia simu hizi.
BEI
kwa simu zote ndogo ndogo mfano,nokia za tochi na kuendelea,Bei ya simu ni elfu 17000/= kwa Jumla na elfu 20,000/= kwa wateja wa Rejareja.
Na kwa simu mfano Nokia Asha,x2,nokia Lumia na zingine Bei ni kuanzia elfu 70,000/=
hadi 150,000/=lakini na nusu.inategema ni model gani ya simu unayohitaji.
kumbuka bei hii ni promotion,haipungui hata senti tano,

ANGALIZO
Sipokei pesa ya mtu kama hajapokea simu na kukagua,maana kuna watu wanajaribu kuchafua thready yangu wakidai wametapeliwa.hivyo sipokei pesa ya mtu kama hajapokea mzgo.
wateja serious pekee wanakaribishwa
View attachment 682101 View attachment 682100 View attachment 682100 View attachment 682099 View attachment 669691 View attachment 669691 View attachment 669688 View attachment 669688 View attachment 682104 View attachment 682104 View attachment 682105 View attachment 682106 View attachment 682106 View attachment 682107 View attachment 682108 View attachment 682108 View attachment 682109 View attachment 669688
View attachment 682147 View attachment 682148 [/B]
Unatakiwa kuweka na bei chin
 
Karibuni watu wote mnunue simu orginal za nokia.
Nokia original kabisa ndogo ndogo,zile za tochi,na aina model nyingine zinapatikana.
Mzigo upo mwingi hata ukitaka PC 100 unapata..
UBORA WA HIZI SIMU:
Simu hizi ni imara na zinadumu na charge sana,hazina kelele kama simu zingine za kichina.ziko officially.nadhani baadhi ya wadau mnatambua ubora na uimara wa simu hizi.
hautajuta kutumia simu hizi.
BEI
kwa simu zote ndogo ndogo mfano,nokia za tochi na kuendelea,Bei ya simu ni elfu 17000/= kwa Jumla na elfu 20,000/= kwa wateja wa Rejareja.
Na kwa simu mfano Nokia Asha,x2,nokia Lumia na zingine Bei ni kuanzia elfu 70,000/=
hadi 150,000/=lakini na nusu.inategema ni model gani ya simu unayohitaji.
kumbuka bei hii ni promotion,haipungui hata senti tano,

ANGALIZO
Sipokei pesa ya mtu kama hajapokea simu na kukagua,maana kuna watu wanajaribu kuchafua thready yangu wakidai wametapeliwa.hivyo sipokei pesa ya mtu kama hajapokea mzgo.
wateja serious pekee wanakaribishwa
View attachment 682101 View attachment 682100 View attachment 682100 View attachment 682099 View attachment 669691 View attachment 669691 View attachment 669688 View attachment 669688 View attachment 682104 View attachment 682104 View attachment 682105 View attachment 682106 View attachment 682106 View attachment 682107 View attachment 682108 View attachment 682108 View attachment 682109 View attachment 669688
View attachment 682147 View attachment 682148 [/B]

Umenikumbusha mbali saaana mikono ktk nokia
 
Mkuu Mimi Nakushukuru Kwa Kunipotezea Muda Wangu.
Hata mim kanipotezea sana muda, kila siku anadai "Leo ndo nasafiri kufata mzigo" yan safar daily mpak nimeamua kwenda kununua dukani tu mana ni mzinguaji kinyama txt zenyewe hajibu kutwa nzima
 
Karibuni watu wote mnunue simu orginal za nokia.
Nokia original kabisa ndogo ndogo,zile za tochi,na aina model nyingine zinapatikana.
Mzigo upo mwingi hata ukitaka PC 100 unapata..
UBORA WA HIZI SIMU:
Simu hizi ni imara na zinadumu na charge sana,hazina kelele kama simu zingine za kichina.ziko officially.nadhani baadhi ya wadau mnatambua ubora na uimara wa simu hizi.
hautajuta kutumia simu hizi.
BEI
kwa simu zote ndogo ndogo mfano,nokia za tochi na kuendelea,Bei ya simu ni elfu 17000/= kwa Jumla na elfu 20,000/= kwa wateja wa Rejareja.
Na kwa simu mfano Nokia Asha,x2,nokia Lumia na zingine Bei ni kuanzia elfu 70,000/=
hadi 150,000/=lakini na nusu.inategema ni model gani ya simu unayohitaji.
kumbuka bei hii ni promotion,haipungui hata senti tano,

ANGALIZO
Sipokei pesa ya mtu kama hajapokea simu na kukagua,maana kuna watu wanajaribu kuchafua thready yangu wakidai wametapeliwa.hivyo sipokei pesa ya mtu kama hajapokea mzgo.
wateja serious pekee wanakaribishwa
View attachment 682101 View attachment 682100 View attachment 682100 View attachment 682099 View attachment 669691 View attachment 669691 View attachment 669688 View attachment 669688 View attachment 682104 View attachment 682104 View attachment 682105 View attachment 682106 View attachment 682106 View attachment 682107 View attachment 682108 View attachment 682108 View attachment 682109 View attachment 669688
View attachment 682147 View attachment 682148 [/B]


OMBI MOJA TU KWAKO, HIZI PICHA SIO ASILI - ZA SIMU ZENYEWE, HIZI NI ZA ONLINE, PIGA PICHA ZA SIMU ZENYEWE ZIWEKE HATA KITANDANI HALAFU UTUME TENA, NIPO VERY MUCH INTERESTED NA HIZO NOKIA ZA ZAMANI NA NITAZINUNUA. USIPOFANYA HIVYO NA WEWE UTAKUWA TAPELI TU.

 
Nahitaji simu hizi

Nokia e71
Nokia N72
Nokia Ngage
Nokia 3310

Hizi simu ndio nilianza nazo maisha nahitaji niwe nazo kama kumbukumbu je unazo?
 
Ulisema mzigo unao mkonon Leo unasema ulichelewa kutokana Na delay ya unapochukulia mzigo .....Nimetosheka Sasa...All The Best
Jamaa anazngua sana, mi aliniambia mzigo anashushia DSM tukakubaliana kesho yake tukutane tufanye biashara. Kesho yake namtumia txt mpak inafika jioni hajajibu hata moja , badae anasema et mzigo upo moshi yan jamaa anakera balaa,amenifanya na mimi nionekane muongo kwa mtu aliyeniagiza nimtafutie sim
 
Karibuni watu wote mnunue simu orginal za nokia.
Nokia original kabisa ndogo ndogo,zile za tochi,na aina model nyingine zinapatikana.
Mzigo upo mwingi hata ukitaka PC 100 unapata..
UBORA WA HIZI SIMU:
Simu hizi ni imara na zinadumu na charge sana,hazina kelele kama simu zingine za kichina.ziko officially.nadhani baadhi ya wadau mnatambua ubora na uimara wa simu hizi.
hautajuta kutumia simu hizi.
BEI
kwa simu zote ndogo ndogo mfano,nokia za tochi na kuendelea,Bei ya simu ni elfu 17000/= kwa Jumla na elfu 20,000/= kwa wateja wa Rejareja.
Na kwa simu mfano Nokia Asha,x2,nokia Lumia na zingine Bei ni kuanzia elfu 70,000/=
hadi 150,000/=lakini na nusu.inategema ni model gani ya simu unayohitaji.
kumbuka bei hii ni promotion,haipungui hata senti tano,

ANGALIZO
Sipokei pesa ya mtu kama hajapokea simu na kukagua,maana kuna watu wanajaribu kuchafua thready yangu wakidai wametapeliwa.hivyo sipokei pesa ya mtu kama hajapokea mzgo.
wateja serious pekee wanakaribishwa
View attachment 682101 View attachment 682100 View attachment 682100 View attachment 682099 View attachment 669691 View attachment 669691 View attachment 669688 View attachment 669688 View attachment 682104 View attachment 682104 View attachment 682105 View attachment 682106 View attachment 682106 View attachment 682107 View attachment 682108 View attachment 682108 View attachment 682109 View attachment 669688
View attachment 682147 View attachment 682148 [/B]
Naomba kujua bei ya X2
 
Back
Top Bottom