Zekoddo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 1,831
- 4,498
Wakuu, sielewi hii simu niliichezea vipi usiku wakati nimelala maana nililalia. Ila tatizo kubwa ni kuwa nikipigiwa huwa haioneshi jina/namba la mpigaji, pia haitokei option ya kupokea au kukata.. yaan zile alama za kijani na nyekundu.
So wataalam wa setting niende sehemu gani nikaset vizuri hili tatizo..
Ringtone inaimba vizuri tu.
So wataalam wa setting niende sehemu gani nikaset vizuri hili tatizo..
Ringtone inaimba vizuri tu.