Trubarg
JF-Expert Member
- Jan 8, 2020
- 4,260
- 6,901
Kuna kitu ambacho sikielewi... hawa watu wa betting wanapata wapi namba yangu. Sijawahi ata mara moja kubeti lakini ntapata message Zaidi ya kumi kwa siku za kushawishiwa kubeti.
Huu usumbufu wa kutojitakia unaratibiwa na nani?
Naomba kufahaku jinsi ya kuwashitaki hawa watu wanaonisababishia usumbufu...
Huu usumbufu wa kutojitakia unaratibiwa na nani?
Naomba kufahaku jinsi ya kuwashitaki hawa watu wanaonisababishia usumbufu...