Habari wakuu,
Nina simu Samsung Galaxy Grand Prime+ imepatwa na hili tatizo linaloitwa ghost touch. Yaani screen inachezacheza yenyewe bila kubonyezwa na mtu. Nimejaribu njia kadhaa nilizoona mtandaoni kama restart, update software, clean screen lakini hazikufaa.
Mwenye ujuzi naomba msaada, nilishawahi kupata hili tatizo kwenye Tecno lakini liliisha lenyewe bila kufanya chochote. Ila hii samsung ni siku ya tatu leo siwezi kufanya nayo chochote. Msaada please kwa wale wataalamu.
Nina simu Samsung Galaxy Grand Prime+ imepatwa na hili tatizo linaloitwa ghost touch. Yaani screen inachezacheza yenyewe bila kubonyezwa na mtu. Nimejaribu njia kadhaa nilizoona mtandaoni kama restart, update software, clean screen lakini hazikufaa.
Mwenye ujuzi naomba msaada, nilishawahi kupata hili tatizo kwenye Tecno lakini liliisha lenyewe bila kufanya chochote. Ila hii samsung ni siku ya tatu leo siwezi kufanya nayo chochote. Msaada please kwa wale wataalamu.