BADILI TABIA
JF-Expert Member
- Jun 13, 2011
- 32,772
- 23,163
mtatufanya tukatae zawadi za simu, lol!
nitaanza kukataa rasmi, mchezo wa kuletewa simu kama sehemu ya mahaba sitaki tena loh....
mtatufanya tukatae zawadi za simu, lol!
Wadau nashukuru kwa ushauri wenu nampenda sana mke wangu ila anakatabia cha kupenda kuchat kupita kiasi mpaka napata presha ndio maana nataka niwe naziona meseji anazochat ili nijilizishe kama ndege wangu yupo salama
ha haaaaaaaaaaa, si unaona eeh!nitaanza kukataa rasmi, mchezo wa kuletewa simu kama sehemu ya mahaba sitaki tena loh....
ha haaaaaaaaaaa, si unaona eeh!
umeona enh!?
chezea mwizi weye, lazima awe zaidi ya mjanja men!
mtatufanya tukatae zawadi za simu, lol!
swala siyo kutokuwa mwaminifu. kwa nini utake kutrace kila ninayewasiliana naye? yaani sitaweza hata kuku-surprise maana mawasiliano yooote unayo, lol!kwa nini - kwani wewe pia si mwaminifu ?
mtatufanya tukatae zawadi za simu, lol!
Pana chezee'ya yeye!