Simu nyingi sikuhizi zina camera nzuri, bado camera ni kigezo kikubwa kwenye kuchagua simu?

sky soldier

JF-Expert Member
Mar 30, 2020
5,408
19,033
Sikuhizi waweza kununua hata simu ya laki na nusu ila ina kamera nzur inaeleweka, ukipiga picha inaridhisha, mfano wa simu bei chee kama sony xperia xz1 dukani ni shilingi 175,000 kamera ni nzuri, ukiwa na maradufu ya bajeti unaweza kupata simu kama google pixel 4a 5g ina kamera nzuri ila ni mpaka uchunguze sana kuona imeizidi sony, kwa bajeti ya laki 7 huko waweza pata xiaomi zina kamera nzuri zaidi ila kwakweli ukilinganisha na zingine unakuta zinapiga picha fresh labda ni mambo madogo madogo tu zimezidiana kama wide view, colour, n.k.

Binafsi kwa sasa naangalia zaidi portability, 5g network, uwezo wa kukaa na chaji na system on chip, n.k. lakini kwa kigezo cha camera sikipi kipaunbele sana maana najua hata nikiwa na bajeti ya laki 5 sikosi simu yenye kamera kali tu, ni kuzidiana mambo madogo madogo sio vitu significant sana

Kwa mtazamo wako, bado kigezo cha camera ni cha kukipa uzito kiasi hicho?
 
Sikuhizi waweza kununua hata simu ya laki na nusu ila ina kamera nzur inaeleweka, ukipiga picha inaridhisha, mfano wa simu bei chee kama sony xperia xz1 dukani ni shilingi 175,000 kamera ni nzuri, ukiwa na maradufu ya bajeti unaweza kupata simu kama google pixel 4a 5g ina kamera nzuri ila ni mpaka uchunguze sana kuona imeizidi sony, kwa bajeti ya laki 7 huko waweza pata xiaomi zina kamera nzuri zaidi ila kwakweli ukilinganisha na zingine unakuta zinapiga picha fresh labda ni mambo madogo madogo tu zimezidiana kama wide view, colour, n.k.

Binafsi kwa sasa naangalia zaidi portability, 5g network, uwezo wa kukaa na chaji na system on chip, n.k. lakini kwa kigezo cha camera sikipi kipaunbele sana maana najua hata nikiwa na bajeti ya laki 5 sikosi simu yenye kamera kali tu, ni kuzidiana mambo madogo madogo sio vitu significant sana

Kwa mtazamo wako, bado kigezo cha camera ni cha kukipa uzito kiasi hicho?
mkuu taja sim ya laki 5 yenye kamera kali.
 
Sikuhizi waweza kununua hata simu ya laki na nusu ila ina kamera nzur inaeleweka, ukipiga picha inaridhisha, mfano wa simu bei chee kama sony xperia xz1 dukani ni shilingi 175,000 kamera ni nzuri, ukiwa na maradufu ya bajeti unaweza kupata simu kama google pixel 4a 5g ina kamera nzuri ila ni mpaka uchunguze sana kuona imeizidi sony, kwa bajeti ya laki 7 huko waweza pata xiaomi zina kamera nzuri zaidi ila kwakweli ukilinganisha na zingine unakuta zinapiga picha fresh labda ni mambo madogo madogo tu zimezidiana kama wide view, colour, n.k.

Binafsi kwa sasa naangalia zaidi portability, 5g network, uwezo wa kukaa na chaji na system on chip, n.k. lakini kwa kigezo cha camera sikipi kipaunbele sana maana najua hata nikiwa na bajeti ya laki 5 sikosi simu yenye kamera kali tu, ni kuzidiana mambo madogo madogo sio vitu significant sana

Kwa mtazamo wako, bado kigezo cha camera ni cha kukipa uzito kiasi hicho?
Unachanganya mafaili buda.

ukizungumzia bei ukumbuke kuzungumzia na umri au mwaka wa simu husika.

Xperia zx1 imezinduliwa 2017, kwenye uwanja wa tech miaka 6 ni mingi sana, kwa hiyo jua ya kwamba hiyo 175,000 unazungumzia siu ya mwaka 2017 , miaka 6 imepita tangu itengenezwe na kuingia sokoni haiwezi kuwa bora kama sony ya mwaka 2022 au 2023.

Watu wengi wanaonunua simu matoleo ya nyuma wanakumbana na changamoto ya battery kufa, mapema au uwezo hafifu wa kutunza charge.
 
Naangalia yafuatayo:

1. Duration of software support... Hapa wanashinda Pixel na Iphone.

2. Display...... Size na Resolution ni muhimu sana.... FHD/QHD plus 6 to 6.9 ndio mpango mzima.

3. Processor.... Snapdragon ndiyo mpango mzima, hizo akina Mediatek na ndugu zake Helio, Dimensity zisubiri kwanza.

4. Battery..... Japo nowdays battery life ina depend sana softwares optiomizations...

5. Buildup.... Metal buildup ndo first choice kwa durability ya simu..

6. Vingine ni kama Storage, Security, Camera na Bei..
 
Nimetumia vitochi android and IOS kikubwa nilichogundua mwenye utofauti ni booting system speed and telecom generation ie 3G 4g or 5g
Kwenye iOS booting speed ipo very faster and they never stuck
Android booting speed unaweza ilimbia as time goes on yaani cm inakua nzito balaa
 
Back
Top Bottom