Simu ipi yenye camera nzuri?

Simu ipi yenye camera nzuri?

Nimesema 7 pro kwenda mbele.
Mleta mada amesema anataka simu yenye kamera nzuri kwa milioni 1.3
Soma tena uzi vizuri. Unapaswa utaje simu zenye kamera nzuri around hiyo bei
Pia unapopinga Xiaomi 15T unapaswa utoe technical reasons, why mtu asinunue hiyo simu? Brands kama Samsung na Xiaomi zina simu za gharama zote, kuanzia chini, kati hadi juu kabisa na zinatofautiana ubora na uwezo (kuanzia materials, processor, battery, camera nk) kwa hiyo unaposema simu za brand hii usinunue unapaswa uelewe unanunua simu moja, sio brand nzima
So nikuulize, kwa nini unaona Xiaomi 15T haifai kununua kwa milioni 1? Taja sababu za kisomi, kuelezea kwa nini haifa kununua Xiaomi 15T/ 15T Pro SPECIFICALLY
 
Sasa simu nzuri utapata kwa 1.3m? Nyi wapuuzi mnatuchosha acheni mambo ya kipumbavu
Dunia nzima inajua kuna simu nyingi tu nzuri za hiyo budget, kwamba Samsung Galaxy S24 FE ni simu mbaya? Au Xiaomi 15T ni simu mbaya? Unafuatilia hata review za simu wewe?
 
Back
Top Bottom