Simu ipi ni nzuri?

Simu ipi ni nzuri?

tigo- 800mhz
Ttcl- 1800mhz
smart- 2300mhz

ukiipata hio lg g2 nenda setting then about angalia aina yake zipo d800, d801, d802 nk

ukishajua hio aina nenda gsmarena halafu angalia specification za lg g2 utaona wameeka band za kila aina.

then angalia band kama zinafanana na mitandao yetu
Hii Nitaitumia Kama Ref
 
Kioo kiwe kipana ila sio sana, sim tuu iingie mfukoni, pia iwe vizuri kwenye internet na durability
kwa hio budget yako unapata flagship za mwaka jana na flagship nzuri zaidi ilikuwa ni s6 lakini material yake ya nje ni glass, itakuwa na muonekano mzuri lakini durability yake si kubwa sana labda kama utailinda na cover.

pia kuna note 4 nayo ni nzuri na durability pia nzuri lakini inaweza kuwa kubwa kidogo hivyo ni vyema ukaiona kwa macho kabla.

simu hizo mbili ukizinunua kwa samsung au duka linalotambulika utapata na warranty ambayo hujumuisha hadi kutengenezewa display bure ikivunjika. ukinunua unaregister kwa imei

ila pia angalia je ni lazima kuspend hadi hio hela? hasa vile huna matumizi makubwa zipo simu around 400,000 ambazo zimekamilika kila idara kwa matumizi ya kawaida kama niliyotaja hapo juu galaxy j5 na zilizotajwa na wengine kama huawei p8 lite
 
logy
GSM : GSM 900 / 1800
3G : HSDPA 900 / 2100
4G : LTE 800 / 1800 / 2,600
SIM Type: Dual SIM (Micro SIM, dual standby)
OS: Android 5.1 Lollipop with HiOS UI
Design
Dimensions : 153.3 x 76.84 x 7.35 mm
Weight: TBD
Display : 5.5-inch, 720 x 1280 pixels (320 PPI), IPS Capacitive touchscreen
Build: Plastic with metal trimmings
Colours : Super White. Space Grey. Champagne Gold
Hardware
Processor Type: 64-bit Quad-core 1.3 GHz Cortex-A53
Processor Name: Mediatek MT6753
Graphics Processor : Mali-T720
RAM : 2 GB
Internal Storage: 16 GB
External Storage: microSD, up to 128 GB
Sensors: Accelerometer, Light, Proximity
Camera
Rear : 13 MP, 4864 x 2736 pixels, autofocus, LED flash
Video recording: Yes
Front-facing : 5 MP with flash
Multimedia
Music Support : AAC, AMR, MP2, MP3, M4A, MKA,
Loudspeaker : Yes
Audio : Max Audio + Boom Headphones
Video Support : MP4/MPEG4/H.263/H.264 player
FM Radio: Yes
Connectivity
Bluetooth: v4.0
WiFi : Wi-Fi 802.11 b/g/n, Wi-Fi Direct, DLNA, hotspot
GPS : Yes
USB : microUSB v2.0
Miscellaneous
Miscellaneous: Charming Breathing Light
Charging : Fast Charge – 15 min for 8 hours of phone calls
Battery : Non-removable Li-Ion 3,000 mAh
Power Management: Ultra lower power mode
 
humu huwa nawaelewa wote ila huyu #chiefmkwawa hakunaga long live bro
Chief mkwawa habari nyingine ikitokea siku nataka kuwaalika member wa humu kwa tafrija nyumbani kwangu chief hakosi tena high table!
 
watu walioekwa tigo/mitambo yao ya kucheck bands haina usahihi asilimia 100% ni vyema ucheki mwenyewe nyumbani ukifika kule sajili tu line.

ingia gsmarena search simu yako then angalia bands zake. tigo ni 800mhz

ila kuwa makini simu moja inaweza kuwa na variety nyingi mfano ni hio lg g2 ipo d800, d801, d802 nk na kila moja ina band zake tofauti. uzuri ni kwamba gsmarena pia huzinyambua band kwa kila aina ya simu
Mi Naomba Maelezo Hapo Kwenye Hizo Band. Halafu 4g Ina Line Zake?
 
kwa hio budget yako unapata flagship za mwaka jana na flagship nzuri zaidi ilikuwa ni s6 lakini material yake ya nje ni glass, itakuwa na muonekano mzuri lakini durability yake si kubwa sana labda kama utailinda na cover.

pia kuna note 4 nayo ni nzuri na durability pia nzuri lakini inaweza kuwa kubwa kidogo hivyo ni vyema ukaiona kwa macho kabla.

simu hizo mbili ukizinunua kwa samsung au duka linalotambulika utapata na warranty ambayo hujumuisha hadi kutengenezewa display bure ikivunjika. ukinunua unaregister kwa imei

ila pia angalia je ni lazima kuspend hadi hio hela? hasa vile huna matumizi makubwa zipo simu around 400,000 ambazo zimekamilika kila idara kwa matumizi ya kawaida kama niliyotaja hapo juu galaxy j5 na zilizotajwa na wengine kama huawei p8 lite
Ahsante sana mkuu
Ninahaha kutafuta sim mbali na brand ya Nokia na Samsung, iPhone's sijawahi tumia.
Vipi kuhusu HTC M8? M9 zishatoka?
 
Ahsante sana mkuu
Ninahaha kutafuta sim mbali na brand ya Nokia na Samsung, iPhone's sijawahi tumia.
Vipi kuhusu HTC M8? M9 zishatoka?
latest ni m10 kwa Htc lakini kuna ka mchezo wamekaanzisha mwaka huu simu za htc na lg zinazokuja Africa zitakuwa na specification ndogo kuliko zile za marekani na ulaya. M9 haikufanya vizuri na m8 ni ya zamani kidogo ila ilifanya vizuri. Angalia simu hizi si za samsung ila ni nzuri na zinafit hio budget
-lg g4
-lg v10 (kama unapenda simu unique hii ina screen mbili)
-sony xperia z3 (ni ya glass)

ila tatizo la hizo brand nyengine ni kwamba inabidi ununue kwa mtu muaminifu sana sababu hayo makampuni hayapo Tanzania simu ikiharibika ni juu yako.
 
Nimebadili mawazo, naitazama lg g4 dual sim hii iko vipi wadau? kuanzia perfomance yake pamoja na bei ?
 
4g ina line zake ndio, unataka kufahamu nini zaidi kwenye hizo band?

mkuu mimi nina iphone 6s ila,maajabu network shida,nikiwa ofisini network ni shida,kabisa,mpk nitoke nje,ndo ishike 3g,,na niko,mjini.shida,inaeza,kua,ni nn
 
Back
Top Bottom