Simu ipi ni nzuri?

Simu ipi ni nzuri?

mkuu mimi nina iphone 6s ila,maajabu network shida,nikiwa ofisini network ni shida,kabisa,mpk nitoke nje,ndo ishike 3g,,na niko,mjini.shida,inaeza,kua,ni nn
wenzako hapo ofisini hawapati tatizo kama lako? umejaribu kubadili line?

simu zilizotengenezwa kwa alluminium kote (unibody) huwa uwezo wake wa kushika network ni mdogo. hizo papi za plastic za nyuma ndio pekee zinazopitisha network.
iphone6antenna.jpg
 
wenzako hapo ofisini hawapati tatizo kama lako? umejaribu kubadili line?

simu zilizotengenezwa kwa alluminium kote (unibody) huwa uwezo wake wa kushika network ni mdogo. hizo papi za plastic za nyuma ndio pekee zinazopitisha network.
iphone6antenna.jpg


ni week tu nimerenew line ya voda..ninayo pia lumia 920 iko vizur sana haisumbui popote..
 
wenzako hapo ofisini hawapati tatizo kama lako? umejaribu kubadili line?

simu zilizotengenezwa kwa alluminium kote (unibody) huwa uwezo wake wa kushika network ni mdogo. hizo papi za plastic za nyuma ndio pekee zinazopitisha network.
iphone6antenna.jpg
[/QUOT


du!nimeona hayo maelekezo uliyotoa nikavua kava la simu naona imekamata 3g baada,ya,sekunde chache..inawezekana cover,likazuia nini
 
wenzako hapo ofisini hawapati tatizo kama lako? umejaribu kubadili line?

simu zilizotengenezwa kwa alluminium kote (unibody) huwa uwezo wake wa kushika network ni mdogo. hizo papi za plastic za nyuma ndio pekee zinazopitisha network.
iphone6antenna.jpg


mkuu nimetoa cover la simu loo!3g imekamata baada ya sekunde kadhaa..naona kavaa lilikua linazuia kama ulivotoa maeleze sehemu zinazowezesha network kukamata...asante sana
 
Back
Top Bottom