Izi mambo izi dunia iko Mbele Sana, Hichi kitendo ulichofanya ni cha Kiungwana Sana ila nakushauri access mazingira ya ulipoikota Kabala ya Kupiga Kelele Ivo umeikota, Mimi niliwahi kutana na simu Usiku imedondoshwa nkachana nayo wala sikuigusa kabisa
Unaweza kuwa na Nia nzuri lakini baadae ikakuponza
Ila pia watumiaji wa smartphone tuweke emergency contact ambapo kwa issue kama hio hakuhitaji Kutoa lock ili uwasiliane na emergency contact,
Emergency contact inasaidie mambo mengi Sana kama kuweka taarifa za awali za afya au Group blood type na allergy just ata ikitokea Ajali na ukawa unconscious basi watu wata access Izo vital info zako kwa Msada zaidi