Simu imeokotwa

Simu imeokotwa

Izi mambo izi dunia iko Mbele Sana, Hichi kitendo ulichofanya ni cha Kiungwana Sana ila nakushauri access mazingira ya ulipoikota Kabala ya Kupiga Kelele Ivo umeikota, Mimi niliwahi kutana na simu Usiku imedondoshwa nkachana nayo wala sikuigusa kabisa

Unaweza kuwa na Nia nzuri lakini baadae ikakuponza

Ila pia watumiaji wa smartphone tuweke emergency contact ambapo kwa issue kama hio hakuhitaji Kutoa lock ili uwasiliane na emergency contact,

Emergency contact inasaidie mambo mengi Sana kama kuweka taarifa za awali za afya au Group blood type na allergy just ata ikitokea Ajali na ukawa unconscious basi watu wata access Izo vital info zako kwa Msada zaidi
ushauri mzuri mkuu ila wachache wenye moyo kawa wake mwingne angeokota na kutoa rain
 
Kweli muhaya hafichiki hata kwenye picha
Huyu mwenye simu Ni muhaya(wasomi)

Kwa kuwa siku hizi za teknolojia mmegundua hivyo vitu Vinaleta jau hata kama umeokota...basi umefanya vyema....

Uwe na bahati awe muhaya kweli, utaambulia chochote(utaokota)

Ila kama ni MANGI...UTAAMBULIA ASANTE CHALII YANGU!
na.kwenye hili kwa.hakika sihitaji chochote
 
Izi mambo izi dunia iko Mbele Sana, Hichi kitendo ulichofanya ni cha Kiungwana Sana ila nakushauri access mazingira ya ulipoikota Kabala ya Kupiga Kelele Ivo umeikota, Mimi niliwahi kutana na simu Usiku imedondoshwa nkachana nayo wala sikuigusa kabisa

Unaweza kuwa na Nia nzuri lakini baadae ikakuponza

Ila pia watumiaji wa smartphone tuweke emergency contact ambapo kwa issue kama hio hakuhitaji Kutoa lock ili uwasiliane na emergency contact,

Emergency contact inasaidie mambo mengi Sana kama kuweka taarifa za awali za afya au Group blood type na allergy just ata ikitokea Ajali na ukawa unconscious basi watu wata access Izo vital info zako kwa Msada zaidi
jana tulikuwepo eneo ilipokotwa simu lakini haikuzaa matunda mkuu
 
Jaribu kutoa line na kuweka simu nyingine kisha piga namba zilizoseviwa kwa kiashiria cha undugu au mahusiano mengine.

Kama hajatii sheria ya tcra ya lazima kuweka pin kwenye line utatoboa
 
Picha linaanza atasema alikuwa na briefcase iliyokuwa na Hela milioni kadhaa walimkaba alafu mwamba mara paaaaap anakucheki sura anaifanisha na wale vibaka waliomkaba oyaaaaaah weeeee mapolisi yatkupiga marungu ya kwenye nyayo za miguu ikose ushirikiano na ubongo niulizre Mimi kilinitokea pale central mbeya mjini karibu na hospital ya rufaa😀😀😀
 
Unaweza kupongezwa mleta mada ila kwa kiasi fulani si sawa .

Kama umeweza kuifikia hii picha sidhani ingeshindikana kufikia moya wapo wa wasiliani wake.

Pia anaweza kupigiwa ama yeye mwenyewe kuipiga , ingekuwa rahisi na salama kuliko hii.

Hata hivyo hongera sana
 
Back
Top Bottom