Ziroseventytwo
JF-Expert Member
- Mar 27, 2011
- 7,971
- 13,605
Hi jf! Dr! Kwa muda mrefu sasa nimekuwa nikisikia mlio wa cm yangu ikiita, hata kama haiti. Yaani nikiwa nimetulia, natembea na hata kulala huwa naisikia ikiita japokuwa ina vibration,ninapojishika kwenye mfuko niliyoiweka,naona haiti. Nini tatizo? Nawasilisha.