Simu iliyobadilisha maisha yangu

Simu iliyobadilisha maisha yangu

Hapo sikubaliani na wewe kabisa

kama huyo mwanaume kaona kuna sababu kwa nini asimwambie mkewe kuwa kuna mapungufu haya na haya

Mpaka mwanamke aanze kuhisi labda hiki ama kile

kwa nini lakini?????????????????

Hatufanani ktk maamuzi, kila mtu hufanya analoamini kuwa ni sahihi. Ndio maana mwingine akiachwa anajiua wkt Wewe unamshangaa yeye aliona anajitendea haki.
 
@Theodora please niko chini ya miguu yako tafadhari usimuache mumeo anakupenda bado, you know what?A man can differentiate between Love and sex,hapo alienda kkufuata tu "hanjamu" ya kuonja and finally the dude realised his mistake ,achana na hilo gumegume jitu zima linalong'ang'ania waume za watu tena muepuka huyo amekuingiza kwenye mtego
 
Really BAK?

Yaani unataka amsamehe halafu aendelee kuishi na huyo mume mzinzi?

Wewe ukigundua mkeo anamegwa na mtu mwingine utamsamehe tu na kuendelea na maisha yeu?

Kama ni hivyo kweli watu mna moyo!
Mhe. Naomba nikuulize kama wewe ni me au Ke?
 
@Theodora please niko chini ya miguu yako tafadhari usimuache mumeo anakupenda bado, you know what?A man can differentiate between Love and sex,hapo alienda kkufuata tu "hanjamu" ya kuonja and finally the dude realised his mistake ,achana na hilo gumegume jitu zima linalong'ang'ania waume za watu tena muepuka huyo amekuingiza kwenye mtego
Akina mama wengi wangejua hilo, wasingeteseka. Masikini haelewi at time t unaweza kuwa diamond na baada ya sekunde moja ukawa ni stone

.....

Swali - Why would a man take the risk of losing a diamond to pick stones?
 
Kwa nn mme wako alienda nje ya ndoa?Rekebisha kasoro hizo then msamehe mmeo maana mpinzani wako hayupo tena na mmeo!

Acheni mambo haya yenu ya kizungu ya kumpimia mme round za kitandani bana!

Judge not. Ukifuatilia maelezo yng nimefupisha lkn this is not the first time...sababu iliyonipelekea kupata depression. Hii nimeelezea maana nimechoka.
 
Mimi ni mwanaume na niko kwenye ndoa,. Kiukweli ingekuwa ni mara ya kwanza ningeweza kukushauri kuwa usifikirie sana kuachana, ingawa siwezi kusema kama mimi ningefanyiwa na m/mke hayo ningeamua hivyo pia. Lakini kwa kuwa amekutesa sana bila kukuambia kosa lako, ameshakupa hadi depression, nawaza kuwa anaweza kukuambukiza na magonjwa yasiyotibika. Hapa sasa ni kuamua unachoona sahihi, ntakusupport kwa decision yoyote ili mradi huwezi kuijutia na utakuwa na amani baada ya hapo. Maisha ndio haya, hakuna mengine, jali sana furaha yako. Isije ukaishi ukawa unajilazimisha kukaa kwenye ndoa lakini maisha ni tabu tu miaka yote. Narudia tu cha muhimu ni kufanya maamuzi ambayo hutajutia lakini hali ilipofikia naona hata kumuacha ni valid option.
 
sikubaliani na njia hii, ipo siku utalipuka deal na waswas wako. Asipopokea simu muulize bila hasira ilikuwaje kama umepata waswas moyoni na njia zake muulize! Ukipata habar ikakuuma roho usijitie moyo chunguza au uliza simple and clear huyo ni nani? Bhaasi
kama alipanga kukudanganya atakudanganya tu!!!!
ni bora uendelee na assumption zako tu!!!!
 
kama mke wangu anaomba unyumba lkn mm kila saa nipo bize eti kusaka mahela then aki cheat yaa nitajirekebisha King'asti!

Juzi hapa nimesuluhisha bila mafanikio mzozo wa ndoa ya rafiki yangu!Mke anadai eti yupo bize sana kazini so sex ni weekends tu tena kabao kamoja! Sasa hapo mme akienda nje huyu mke atamlaumu nani?
Watu wengine humu JF ni theorists au wabinafsi (yeye akishiba anadhani na mwenzake kashiba- hili ni kwa pande zote mbili). Kitendo cha mtu aliyefunga ndoa kuchepuka si jambo rahisi. Chanzo chake ukichunguza ni hili suala la mmoja kutokuwa na hamu ya 6x6. Nimechoka ikizidi husababisha madhara makubwa katika ndoa.
 
kuna wanawake walioolewa nao wanapitia adha hiyo hiyo. Mume yuko busy, kazi pombe na washkaji. Lakini wamama wanavumilia na kujichua, huku wanaona aibu kukiri hadharani kuwa huwa wanajichua!!!

Kuna cheaters kazi yao ni kusaka excuses tu. Huyo mke wa rafikiyo si ajabu anaona aibu kumuambia mumewe haunifikishi. Hivi chakula kizuri, kitamu unacho halafu mke adengue? Wapi bwana, ukinyimwa na ww uwe unajipanga bwana
kama mke wangu anaomba unyumba lkn mm kila saa nipo bize eti kusaka mahela then aki cheat yaa nitajirekebisha King'asti!

Juzi hapa nimesuluhisha bila mafanikio mzozo wa ndoa ya rafiki yangu!Mke anadai eti yupo bize sana kazini so sex ni weekends tu tena kabao kamoja!

Sasa hapo mme akienda nje huyu mke atamlaumu nani?
 
Ni kweli kabisa unachosema, mie mwanzoni sikujua kama matendo ya mumewe yamemsababisha huyu mwenzetu afikie mpaka kutumia madawa ya depression. Pamoja na hizi dawa ni za kusaidia yule mwenye msongo wa mawazo kuhusiana na jambo lolote lile katika maisha yake lililosababisha huo msongo wa mawazo, lakini pia zina side effects ambazo zinaweza kumsababisha mtumiaji asirudie tena hali yake aliyokuwa nayo kabla ya kuanza kuzitumia. Kwa kweli anatia huruma sana halafu mwenzie naona hata ajali jinsi matendo yake yanavyomuumiza mwenzie.
Ndio maana wenzetu weupe ukileta za kuleta divoce halali yako hakuna kuzunguka zunguka . Huku kwetu watu wanaishi kwa kuumizana kisa kutunza watoto au sijui kuilea ndoa au jamii itakuonaje. For me I would rather divoce kuliko kuishi ktk hali hiyo. Unajua ndoa huvunjika mara tu mmoja wa wanandoa anapokosa uaminifu hata kama watu hao wataish kwa kuvumiliana lkn kiuhalisia ndoa huwa imeshavunjika.
 
Judge not. Ukifuatilia maelezo yng nimefupisha lkn this is not the first time...sababu iliyonipelekea kupata depression. Hii nimeelezea maana nimechoka.
Pole rafiki that guy ni muuaji
 
  • Thanks
Reactions: BAK
LoL!!! Hili ni swali rahisi sana kulijibu tena unaondoka na flying colors (A+) vyovyote vile utakavyolijibu. Ligeuze swali liwe hivi. Baada ya kuishi na mumeo/mkeo kwa miaka (namba ya miaka) nakuyafahamu mema yake na mapungufu yake je leo hii kama mngekuwa bado hamjaoana na kwa jinsi unavyomfahamu sasa ungemuoa/kuolewa naye bila pingamizi lolote?

Daah...ama umejua kulibinua swali....kama jibu la swali lako jipya likawa ndio, je ina maana assumption inakuwa huyo ndio uliyeandikiwa na Bwana?
 
Nawasabahi wanaMMU.


Ni Jumapili kama hii wiki moja imepita nilipokea simu ambayo imebadilisha maisha yangu na mtazamo wangu kuhusu mahusiano. Well, nilipokea simu na upande wa pili nikasikia sauti ya mwanamke, na kwa sauti ni mtu mzima.

Aliongea mengi na mwisho akaniambia kama unataka kujua zaidi kuhusu mume wako nitafute. Basi Jumatatu, akanipigia tena na nilikuwa nasita kuonana naye, basi akaanza kuniambia wewe hauko serious.

Basi kama wazungu wanavyosema - Curiosity killed the cat, but satisfaction brought it back.

Imagine kumeet na mtu haumfahamu then mawazo ya tindikali na mambo mengi yakanijia kichwani, nikaanza safari kuonana naye huku nasali novena takatifu.

Well sikuamini nilipokutana naye - ni mama mtu mzima na age diff kama 18 - 20 years. Basi nikampa heshima na kukaa, nikamuuliza mama ishu ni nini na ana mahusiano gani na mume wangu (nikidhania ni biashara) Aisee, mapigo ya moyo yalisimama sekunde kadhaa aliponiambia wanamahusiano ya kimapenzi.

Na aliponiona kama nashangaa as in seriously, akaniambia nijuwe na yeye pia ana hamu na hajakuwa na mwanamume 4 years baada ya ndoa yake ya miaka 28 kuvunjika.

Akanitolea na picha kabisa na roho inamuuma kweli kuhusu mume wangu na anajitetea hakumwambia ana mke na watoto.


To cut a long story short, wamekuwa na mahusiano miezi 3 na anavyoongea alikuwa ameambiwa mahusiano yaishe lakini she was not happy na inamuuma sana. Mwisho akaniambia mi ndoa ya 28 years imevunjika sembuse ww wa miaka michache.

Basi angesubiri na mimi nifikishe hiyo 28 na ndo amshambulie huyu kiumbe dhaifu. I am so angry, not for me only but for all those men who cheat on good women na wanawake ambao wanavunja ndoa za watu kwa ajili hawana self control au basi watafute wa rika yao.


There are some battles worth fighting but this one am throwing in my towel. Hivi mtu akikuambia ni shetani - seriously miezi 3 ni yeye tu shetani anamwandama?

Kuna mambo magumu napitia wakati huu, everything is looking down but this put the last nail on my coffin.


Swali - Why would a man take the risk of losing a diamond to pick stones?

Mko wawili tu unataka kukimbia... Hapa mjini kwa wastani ni 3-4 kwa mwanaume mmoja... And you can't run away from love, because running is decided by your fore brain, while loving is controlled by your mid brain...
 
​Maybe, but I am not 100% sure.

Daah...ama umejua kulibinua swali....kama jibu la swali lako jipya likawa ndio, je ina maana assumption inakuwa huyo ndio uliyeandikiwa na Bwana?
 
Sikubaliani na kuwaacha hivi hivi watu kama huyo mama aliyedhamiria kukuumiza makusudi tena baada ya kukutendea ubaya.

Hata kama namuachia mume, kama mie ntalia yeye aomboleze.

Dada Theodora kwa uamuzi wowote utakaochukua, hakikisha unabaki kuwa mshindi. Yaani ujisikie umeshinda, uishi kama mshindi na maisha yako yaseme hukukosea. Hakuna sababu ya kutumia dawa tena, we sio mzinzi, ni wao. Be the queen of your choices, enjoy
 
Last edited by a moderator:
Mambo ya ndoa haya....hatari sana!!!

Ila swali kwa waliooa na kuolewa, je unadhani mtu uliyenaye ndiye mtu sahihi uliyeandikiwa na Maulana?

Kumbe na kugawa mpenzi/mume/mke ni kazi ya Maulana?
 
Aiseee........ni ngumu kumeza
Pole sana dia wangu
 
Sikubaliani na kuwaacha hivi hivi watu kama huyo mama aliyedhamiria kukuumiza makusudi tena baada ya kukutendea ubaya.

Hata kama namuachia mume, kama mie ntalia yeye aomboleze.

Dada Theodora kwa uamuzi wowote utakaochukua, hakikisha unabaki kuwa mshindi. Yaani ujisikie umeshinda, uishi kama mshindi na maisha yako yaseme hukukosea. Hakuna sababu ya kutumia dawa tena, we sio mzinzi, ni wao. Be the queen of your choices, enjoy

Ukweli nilimwachia mume, huo ulikuwa ni ushindi kwangu maana nilivumilia muda mrefu, na alidhani kwa hili pia nitamsamehe. Nadhani sugamama anajua ameshinda but believe me kwenye vita vya kiroho she is far from it...
 
Ukweli nilimwachia mume, huo ulikuwa ni ushindi kwangu maana nilivumilia muda mrefu, na alidhani kwa hili pia nitamsamehe. Nadhani sugamama anajua ameshinda but believe me kwenye vita vya kiroho she is far from it...

Hongera! Kila la heri kwenye hatua mpya.
 
Back
Top Bottom