Simu iliyobadilisha maisha yangu

Simu iliyobadilisha maisha yangu

NDOA ni kuvumiliana hilo dogo sana tena umejua mapema kabla hajamzalisha na kuamia kwake jichunguze na ww mapunguza
 
pole sana dadaa, huo ni mushkeli katika maisha ya ndoa.

kwanza kabisa mumeo anakupenda sana, ila jua sisi warume smtime tunafanya mambo ya kijinga, just out of adventure.

pili amegundua kosa lake na kukusudia kuliacha, ndo maana kamtangazia kumtema jimama.

hakuna mwanaume asiyecheat bhana asikudanganye mtu. nina manager wangu hapa kazini ni mtukutu sana. juzi tukiwa katika story ofisini ule muda wa lunch, wanaume kibao wanakujaga ofisini kwetu kustorisha. Ikaja mada kama hiyo, ni nani hajawahi cheat mpenz/mke wake. watu oooh mie bado na siwez, kelele kibao. manager akasema naweka biblia hapa mlangoni, ambaye hajawahi kucheat. na airuke apite. ha ha ha ha...., hakuna aliyeruka. chezeaaa.

mwisho kabisa, naomba mkae mezani na mmeo myazungumze. naamin utamsamehe ma maisha yataendelea.
Na wAnawake mkiwekewa bible mtaruka??thubutu wote lazma muokote makopo
 
Dunia inakwenda kasi sana! Nilishakataa utumwa fikra toka nilipojitambua Nyani Ngabu. Ukisoma maoni ya wengi utaona jinsi watu wanavyojaribu kumshawishi huyu Dada abaki kwenye ndoa ya mume mzinzi,hii ni hatari kweli! Msingi unaojengwa hapa ni kusingizia shetani na kwamba ategemee maombi ili kumfanya mzinzi aache uzinzi,dhana ya hovyo kabisaa! Ukweli hayupo shetani anayekuja kumshawishi mtu akazini bali ni mtu anaamua mwenyewe. Mungu alimpa akili mwanadamu km njia ya kujipunguzia kazi akiamini atatumia akili zake ktk kuamua mambo yake. Kukaa na mke au mume mzinzi ukitegemea maombi ni kumfanya Mungu kibarua wako na kwakweli ni vigumu sana kufanikiwa. Yaani ni km unaambiwa hii ni sumu usiinywe eti unasema Mungu yupo. Utakufa tu!
Bora kufa mara 1 kuliko mara elf 1.ukiamua kumuacha utakufa mara 1 kifo cha kawAidA.ukiendelea nae utakufa mara elf maana utapata uchungu wa vifo elf.make ur choice
 
sala zAko ndo mkombozi wako
jiulize huyo mtu mzima ovyooo
kajiamini nini mpaka kakufata kukupa live?
je km ni muong?picha zipo hata za kuunganishA!
usikurupuke anza uspy taratibu
ukweli utaujua
mi mwenzio (natoa ushuhuda )niliona mme wangu hana uhuru na simu yake ikipgwa silence tena saa 6 usiku sikuuliza nikasubir kalala nikachuku a simu nkakuta 7misd call,3dialled calls,4 ricvd calls za mtu mmoja
nikachukua namba asubuh kaondoka nkapiga mdada kapokea nkauliza unamjua fulani akasema simju nkamwambia sasa umjue usimjue huyo mtu ana mke na ana watoto na mi ndo mkewe siondoki leo walA kesho
dada akaanza kujishauashaua pale nsamehe mi kaniAmbia hana mke il sijatembea nae
nkamwambia mi sjui mtembee mruke ujumbe umeupata tena mwambie mkeo kanipigia
akaomba msamaha
AM SORY STORY NDEFU ila nataka nkwambie km ni kweli huyo mmama anatoka nae
hao ndo wanaume na ktk dunia hii UKITAKA MKAMILIFU MUUMBE MWENYEWE
i love yuo too
 
Theodora huyo mama ni ajenti wa lusifa, na bila shaka yy ndo alimtongoza mumeo,,

so stick with ur marriage n have a peace of mind
 
tulia, tafakari, na subiri. huyo mpinzani wako kukuita na kukuambia yote hayo kusudi lake umpishe na ukifanya pupa utakua umempa ushindi. binaadamu wote tuna kasoro na wakati muingine mitihani inatushinda. tumia fursa iliokutokea ya kujua haya kumrekebisha mumeo ili muishi salama na kwa uaminifu. kuvunja ndoa ikiwa kuna uwezo wa kupepuka si jambo la busara.
 
Nawasabahi wanaMMU.


Ni Jumapili kama hii wiki moja imepita nilipokea simu ambayo imebadilisha maisha yangu na mtazamo wangu kuhusu mahusiano. Well, nilipokea simu na upande wa pili nikasikia sauti ya mwanamke, na kwa sauti ni mtu mzima.

Aliongea mengi na mwisho akaniambia kama unataka kujua zaidi kuhusu mume wako nitafute. Basi Jumatatu, akanipigia tena na nilikuwa nasita kuonana naye, basi akaanza kuniambia wewe hauko serious.

Basi kama wazungu wanavyosema - Curiosity killed the cat, but satisfaction brought it back.

Imagine kumeet na mtu haumfahamu then mawazo ya tindikali na mambo mengi yakanijia kichwani, nikaanza safari kuonana naye huku nasali novena takatifu.

Well sikuamini nilipokutana naye - ni mama mtu mzima na age diff kama 18 - 20 years. Basi nikampa heshima na kukaa, nikamuuliza mama ishu ni nini na ana mahusiano gani na mume wangu (nikidhania ni biashara) Aisee, mapigo ya moyo yalisimama sekunde kadhaa aliponiambia wanamahusiano ya kimapenzi.

Na aliponiona kama nashangaa as in seriously, akaniambia nijuwe na yeye pia ana hamu na hajakuwa na mwanamume 4 years baada ya ndoa yake ya miaka 28 kuvunjika.

Akanitolea na picha kabisa na roho inamuuma kweli kuhusu mume wangu na anajitetea hakumwambia ana mke na watoto.


To cut a long story short, wamekuwa na mahusiano miezi 3 na anavyoongea alikuwa ameambiwa mahusiano yaishe lakini she was not happy na inamuuma sana. Mwisho akaniambia mi ndoa ya 28 years imevunjika sembuse ww wa miaka michache.

Basi angesubiri na mimi nifikishe hiyo 28 na ndo amshambulie huyu kiumbe dhaifu. I am so angry, not for me only but for all those men who cheat on good women na wanawake ambao wanavunja ndoa za watu kwa ajili hawana self control au basi watafute wa rika yao.


There are some battles worth fighting but this one am throwing in my towel. Hivi mtu akikuambia ni shetani - seriously miezi 3 ni yeye tu shetani anamwandama?

Kuna mambo magumu napitia wakati huu, everything is looking down but this put the last nail on my coffin.


Swali - Why would a man take the risk of losing a diamond to pick stones?
Mambo haya ni magumu sana kuyaelewa,..pole sana dada na Mwenyezi Mungu atakupa nguvu na kukuongoza juu ya busara ya jambo hili
 
Mambo haya ni magumu sana kuyaelewa,..pole sana dada na Mwenyezi Mungu atakupa nguvu na kukuongoza juu ya busara ya jambo hili
Huu uzi wa miaka miwili sasa ingekuwa vizuri angetupa mrejesho wa hali ilivyo na alifanyaje.
 
Nawasabahi wanaMMU.


Ni Jumapili kama hii wiki moja imepita nilipokea simu ambayo imebadilisha maisha yangu na mtazamo wangu kuhusu mahusiano. Well, nilipokea simu na upande wa pili nikasikia sauti ya mwanamke, na kwa sauti ni mtu mzima.

Aliongea mengi na mwisho akaniambia kama unataka kujua zaidi kuhusu mume wako nitafute. Basi Jumatatu, akanipigia tena na nilikuwa nasita kuonana naye, basi akaanza kuniambia wewe hauko serious.

Basi kama wazungu wanavyosema - Curiosity killed the cat, but satisfaction brought it back.

Imagine kumeet na mtu haumfahamu then mawazo ya tindikali na mambo mengi yakanijia kichwani, nikaanza safari kuonana naye huku nasali novena takatifu.

Well sikuamini nilipokutana naye - ni mama mtu mzima na age diff kama 18 - 20 years. Basi nikampa heshima na kukaa, nikamuuliza mama ishu ni nini na ana mahusiano gani na mume wangu (nikidhania ni biashara) Aisee, mapigo ya moyo yalisimama sekunde kadhaa aliponiambia wanamahusiano ya kimapenzi.

Na aliponiona kama nashangaa as in seriously, akaniambia nijuwe na yeye pia ana hamu na hajakuwa na mwanamume 4 years baada ya ndoa yake ya miaka 28 kuvunjika.

Akanitolea na picha kabisa na roho inamuuma kweli kuhusu mume wangu na anajitetea hakumwambia ana mke na watoto.


To cut a long story short, wamekuwa na mahusiano miezi 3 na anavyoongea alikuwa ameambiwa mahusiano yaishe lakini she was not happy na inamuuma sana. Mwisho akaniambia mi ndoa ya 28 years imevunjika sembuse ww wa miaka michache.

Basi angesubiri na mimi nifikishe hiyo 28 na ndo amshambulie huyu kiumbe dhaifu. I am so angry, not for me only but for all those men who cheat on good women na wanawake ambao wanavunja ndoa za watu kwa ajili hawana self control au basi watafute wa rika yao.


There are some battles worth fighting but this one am throwing in my towel. Hivi mtu akikuambia ni shetani - seriously miezi 3 ni yeye tu shetani anamwandama?

Kuna mambo magumu napitia wakati huu, everything is looking down but this put the last nail on my coffin.


Swali - Why would a man take the risk of losing a diamond to pick stones?


Siungi mkono cheating kwa hali yoyote ile, ila allow me to try and explain not only 'why men take the risk of losing a diamond to pick stones' but also why 'men can risk losing reputation, money, time, fame, status and life' because of a simple f*uck!

Jibu from a man ni kua: To a man, there is something wild, exciting and un-explainable about going after a new/fresh pus*y out of your reach and eat it. Then afterwards, its all meaningless! Men are wild, at heart - so they say. It is the same instinct that will compel a wild cat to take trouble to hunt rather than enjoying a meal served to it. If you can explain a wild cat, then you surely can explain a man.

My advice: Show your man that you are a woman better than the rest, play it 'Hillary Clinton's way', be a good wife to him, be better than the cheap rats dotting the universe around him, eventually he will come to his senses and believe me: You will be the happiest woman ever!
 
Ukimuacha mumeo kwa kiss hiki..kumbukaa Wewe ndoo utateseka Na kuishi Stress life..Jifanye kama haijatokea
 
Kumbeee uzi Wa enzi za majipu kutotumbuliwaaaa
 
Maada yako haina mashiko kwa kuwa umeshindwa kuthibitisha bila kuacha shaka jinsi simu hiyo uliyopigiwa ilivyobadilisha maisha yako,aidha pia umeshindwa kueleza pia namna huyo mke shirikishi alivyopata mawasiliano yako na madhara uliyokuwa ukipata wakati huyo mume wenu alipokuwa akitoa msaada wa hisani kwa mke mwenzio!
 
Pole Sana, kazana kwenye maombi hvyohvyo... Mpaka huyo kibibi kujionesha kwako ni Mungu ameanza kukudhihilishia adui zako, kamwe usichoke kuomba, Lia na Mungu si mwanadamu na zaid muombee mumeo pia, dunia ya Sasa kuna vijanajike kutwa kuwinda vya wenzao...... Endelea na Novena yako (huruma ya Mungu)..... Hautalia daima na hakuna aliyeumbiwa kulia muda wote yataisha ni mapito tu na utasahau zaid utashuhudia uwepo wa Mungu..... Mungu azidi kukuongoza
 
Pole sana dada, inauma lakini usivunjike moyo, kuna maisha ya ndoa baada ya hilo lililotokea, msamehe kisha kaza buti songa mbele, Chukua mfano wa gauni zuri sana say la harusi, wakati unapasi kwa pasi la mkaa bahati mbaya kipande cha mkaa kikadondokea na kuchoma kisha kuacha katundu kadogo, gauni lote ni zima ila katundu tu, je utstupa gauni lako? Jibu ni hapana, unaweka kiraka kidogo kwa fundi mtaalam kisha unaendelea kuvaa na kwenda harusini na kamwe hakuna atakayeona hicho kiraka, labda uwaoneshe au wakae karbu sana na kuchunguza kwa makini, which is rare na haina impakt kwako, kuwa cheated inauma sana ila quting unaonesha udhaifu, just kneel down pray for his forgivenes, then raise up look forwad and move on. Its just another phase with a lesson learnt.

All the best
 
Pole sana dada, inauma lakini usivunjike moyo, kuna maisha ya ndoa baada ya hilo lililotokea, msamehe kisha kaza buti songa mbele, Chukua mfano wa gauni zuri sana say la harusi, wakati unapasi kwa pasi la mkaa bahati mbaya kipande cha mkaa kikadondokea na kuchoma kisha kuacha katundu kadogo, gauni lote ni zima ila katundu tu, je utstupa gauni lako? Jibu ni hapana, unaweka kiraka kidogo kwa fundi mtaalam kisha unaendelea kuvaa na kwenda harusini na kamwe hakuna atakayeona hicho kiraka, labda uwaoneshe au wakae karbu sana na kuchunguza kwa makini, which is rare na haina impakt kwako, kuwa cheated inauma sana ila quting unaonesha udhaifu, just kneel down pray for his forgivenes, then raise up look forwad and move on. Its just another phase with a lesson learnt.

All the best
Word!!!
 
Back
Top Bottom