Simu anayotumia bilionea Aliko Dangote

Umaskini ni kitu kibaya sana duniani, mtu anaona simu ya 16M eti ni kitu cha ajabu daaah, harafu anatumia IOS harafu anaita android takataka kisa Iphone na bei zake za kawaida sana tu wengi wanaweza ku afford, Kila mtu atakula kuringana anavyotafuta pesa ndo mwingine atatumia gari ya Billion 3 wengine ya milion 2 mpaka 3,
 
Umaskini ni kitu kibaya sana duniani, mtu anaona simu ya 16M eti ni kitu cha ajabu daaah, harafu anatumia IOS harafu anaita android takataka kisa Iphone na bei zake za kawaida sana tu wengi wanaweza ku afford, Kila mtu atakula kuringana anavyotafuta pesa ndo mwingine atatumia gari ya Billion 3 wengine ya milion 2 mpaka 3,
Wengine wataendelea kutumia makubazi tu
 
Back
Top Bottom