ledada
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 17,456
- 67,408
😂😂😂🤣usinichonganishe mkuuKazi kwao wasio na ndevu moto wa milele ni wao![]()
😂😂😂🤣usinichonganishe mkuuKazi kwao wasio na ndevu moto wa milele ni wao![]()
Utakuwa haujanjpenda tu jamanNi bora tuachane kuliko nikwangue kidevu kiwe cheupe
Wewe ndio utakuwa ujapenda boga na ua lake, umenikuta na ndevu zangu smart kabisa unataka ninyoe
🤣usinichonganishe mkuu


HERUFI KUBWA Tungeanzia hapa, wewe Una Chura?
[/QUOTE😁😁😁 nakazia hapa
Siwapendi tu nikidate na wewe lazima niwe naenda na wewe saluni na kuhakikisha unanyoa ndevu tena zote
Pumbafuuuuuu umnyoe Nani uchebe? Date na polisi wanaonyoa ndevu zote
Na huku umefika mpendwa?Hujukutana na wanaume wenye kujua kuzitumia ndevu zao wewe..ndevu zina utamu wake haswa mtumiwaji akijua kuzitumia.
Sent using Jamii Forums mobile app
Nilikuwa napita mpendwa
Shida ya nini sasa wanaume wasio na ndevu si wapo tuache na ndevu zetu na hakuna mwanamke wakunicommand ninyoe ndevuMambo zenu huku tukiendelea kukiadhari na hili jibwana Korona. Hivi Mwanaume unakuwa na midevu mingi hii imeakaaje? Japo kuna wengine wanazichonga na zinaoneoneka Vizuri tu
Ila kwa upande wangu kiuhalisia SIMPENDI MWANAUME ANAYEFUGA NDEVU. SIMPENDI MWANAUME ANAYEFUGA NDEVU
Nimeshindwa hata kuweka kapicha maana SIPENDI HATA KUZIONA
apo unatukosea ndevu ni neemaMambo zenu huku tukiendelea kukiadhari na hili jibwana Korona. Hivi Mwanaume unakuwa na midevu mingi hii imeakaaje? Japo kuna wengine wanazichonga na zinaoneoneka Vizuri tu
Ila kwa upande wangu kiuhalisia SIMPENDI MWANAUME ANAYEFUGA NDEVU. SIMPENDI MWANAUME ANAYEFUGA NDEVU
Nimeshindwa hata kuweka kapicha maana SIPENDI HATA KUZIONA
Hizihizi ndevu ambazo zimemfanya ex wangu juzi nilivyo mpa hug akashtuka zilipo mgusa kwa shingo?...Mambo zenu huku tukiendelea kukiadhari na hili jibwana Korona. Hivi Mwanaume unakuwa na midevu mingi hii imeakaaje? Japo kuna wengine wanazichonga na zinaoneoneka Vizuri tu
Ila kwa upande wangu kiuhalisia SIMPENDI MWANAUME ANAYEFUGA NDEVU. SIMPENDI MWANAUME ANAYEFUGA NDEVU
Nimeshindwa hata kuweka kapicha maana SIPENDI HATA KUZIONA



Dada shikamoo
Nikiwa mkubwa nataka kuwa kama wewe![]()






