HERUFI KUBWA
JF-Expert Member
- Aug 10, 2017
- 388
- 602
- Thread starter
- #121
Daaah!!
Kwahiyo mtoa mada unapenda kushika kidevu ambacho hakina ndevu,sasa kinatofauti gani na kidevu chako??
Wanaume wenye ndevu(safi)muendelee kubarikiwa



Kaka angu unahitaji nini kutoka kwangu kama sijakujibu Pm ndo unanisumbua hapa... Kwani nimekulazimisha uniamini ni mwanamkeMuanzisha mada ni mwanaume anapima joto tu humu
Au modds mnasemaje?
Wewe lazima utakuwa na ndevu hili povuSa si bora ndevu zenye ziko real, ushawahi sikia wapi wanaume wamevaa wigi la ndevu?
Vua wigi, vua kope, vua nyusi, vua kucha, vua makeup, vua matako. Nambie mpaka hapo utakua umebaki na nini?
Ukisha fanya hivyo kisha uje u-criticize wanaume wenye ndevu






Mwenzangu, hehehehehehhe hajawahi kupitishwa ndevu shingoni kwa nyuma huyu, ule utamu uuuwiiiiShoga kazi yake unaijua lakini?!!!
Kwanza anakuwa na kidevu kama andaziMwanaume ambae hana ndevu tofauti yake na mwanamke ni nini?
"Fᵒˡˡᵒʷ ᵉˣᶜᵉˡˡᵉⁿᶜᵉ ˢᵘᶜᶜᵉˢˢ ʷⁱˡˡ ᶜʰᵃˢᵉ ᵖᵃⁿᵗˢ ᵈᵒʷN"
Af ukishamnyoa zote wakati anakukaza useme bby mbona huna hata ndevu hata kiduchu? Wanawake akili zenu bana 😂😂😂 mungu awarehemu!Siwapendi tu nikidate na wewe lazima niwe naenda na wewe saluni na kuhakikisha unanyoa ndevu tena zote
kwenye uzi wa mademu kule 😂😂😂Ambao hatuna ndevu tunacomment
Wapi jaman
stidy
👊👊👊👊Hayo waambie wanaume wa dar.
Wa mikoani huku tunafuga hadi vuzi.
Mtu anayeandika hivi utakuta hapo alipo anaMambo zenu huku tukiendelea kukiadhari na hili jibwana Korona. Hivi Mwanaume unakuwa na midevu mingi hii imeakaaje? Japo kuna wengine wanazichonga na zinaoneoneka Vizuri tu
Ila kwa upande wangu kiuhalisia SIMPENDI MWANAUME ANAYEFUGA NDEVU. SIMPENDI MWANAUME ANAYEFUGA NDEVU
Nimeshindwa hata kuweka kapicha maana SIPENDI HATA KUZIONA