Simpendi kabisa mwanaume anayefuga ndevu

Wanaume wenye ndevu mna nafasi ya pekee sana moyoni mwangu hata mbinguni pia😊😊😋
Vipi kuhusu vijindevu maana wengine ndevu zipo za ushahidi tu kipindi cha kutoa mahari ila sio kichaka kama rickross zile!

Manz yangu kila siku ananiambia tafuta hata mafuta u boost ndevu hizo mie nachekaa wee. af kuna boya anadiss ndevu eti 😂😂😂
 
Yani kirevu changu king'ae Kama titi. NEVER!!!

CCM DAMUDAMU!!!,CHAMA CHA MAMA &BABA
 
wanawake 'wife materials' wanakucheki kwa mbali wanacheeka...

Ofcourse mwanamke wa la 7 mpaka form 4 hana hizi mbwembwe, na hawa ndio tunaoa.

Over
 
Uko form ngapi kwani ? Tuanzie hapo kwanza.

Wenzio tukizinyoa tu tunanuniwa week nzima. Pengine wenzako watakupa ushuhuda wa matumizi ya hizo ndevu na raha wanazozipataga wakiguswa na hizo ndevu japo hapo kifuani tu kwenye Ile michongoma miwili, mmoja upande wa Kushoto na mwingine upande wa Kulia.
 
Mwenyewe nakazia hapo kwenue kutafuta mafuta ya kiboost ndevu.

Vijindevu najitahidi kuvielewa😂😂😂 zile za Rick Ross ndo zenyewe😋😋😋
 
Siwapendi tu nikidate na wewe lazima niwe naenda na wewe saluni na kuhakikisha unanyoa ndevu tena zote
Wengine tukinyoa leo wiki tu zishajaa sasa tukihudhuria kila wiki saluni si ndo kuanza kukomazana ngozi mkuu?[emoji51]

☆Magnum Opus☆
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…