Emar
JF-Expert Member
- Nov 15, 2018
- 1,786
- 3,092




uchebe Kwak afya iwepo tofauti kati ya me na ke




uchebe Kwak afya iwepo tofauti kati ya me na ke
Ni mwanamke jamn mtu kaanza na "ooh my dia"Ooh my dia naona unajaribu kupambana na hisia zako na kunipa hiyo jinsia ya kiume siwezi kukuzuia ni maamuzi yako et
Sent using Jamii Forums mobile app
kwa HERUFI KUBWAAmbao hatuna ndevu tunacomment
Wapi jaman
stidy
😂😂kilo 8Halafu mtu kama huyu utakuta amepiga make up kilo nane. Halafu anasema hapendi ndevu.
commentNingependa kucomment kwako
stidy
Hakuna kitu nisichokipenda kama mwanamke mwenye mikope ya bandia.
Yaani nikimuona nahisi nimekutana na zimwi la ccm
kuna wanawake kitu halisi waliobakiwa nayo ni damu tu kwa sababu haiwezekan kuifanya iwe ya rangi nyingneSijui nani aliwaambia wakiwa na mikope ya bandia wanapendeza na akili zao za kishenzi ?Umeanza vzuri ila umemalizia vizuri sanakuna wanawake kitu halisi waliobakiwa nayo ni damu tu kwa sababu haiwezekan kuifanya iwe ya rangi nyingne
Na mimi simpendi mwanamke anaechukia ndevu zangu.
Sijui nani aliwaambia wakiwa na mikope ya bandia wanapendeza na akili zao za kishenzi ?

kuna baadhi ya wanawake wanashida sanaSo kuwa kwako fake kusikukere unakereka na mwanaume kuwa really,hivi ulishawahi kujiuliza ni kwa namna gani wanaume tunakereka jinsi mnavyo-fake urembo.Halfu wewe jibaba unaletaje comprasion na mwanamke wewe uko vipi kwani?
Sent using Jamii Forums mobile app
sasa ngoja aingie chumvini jinsi vinavyotekenya hutamwachiamimi naona kama zinaniumizaga nikichezea na hii Corona ake