Simpendi faizafoxy...sijui kwanini

We vp, unachukia mtu huna hata sababu!? Na hicho unachotamani! Mh! Katest ur brain
 

Jizee la umri wa dhahabu,

Huna hadhi wala adabu,

Unamaneno machafu kuliko babu,
 
Kama hata kinachokufanya umchukie hukijui wakati hata hujawahi kumwona, basi wewe ndo mwenye tatizo. Mbona FaizaFoxy yuko poa tu!
 
Ritz una mawazo mkojo...elimu niliyo nayo na uwezo wangu wa kufikiri uwezi kunifananisha na huyu mwanamke...

Unaweza kuwa umesoma lakini ujaelimika..

Msomi hawezi kuandika mataputapu kama haya...
 

utakuwa mchawi!
 
Kwakeli ni upungufu wa akili kama utamchukia mtu kisa anakinzana na mawazo yako. Nenda ukapimwe akili.
 
Kama humpendi FF kunywa sumu ufe.........kwanza ulimuumba hadi usimpende?? Vunja basi hiyo PC yako tuone! Mimi pia sikubaliani na mawazo yake lakini hainifanyi eti nimfungulie thread kwamba simpendi....!! kwanza kutofautiana mitazamo sio ugomvi, kama unafikiria hvyo basi rudi zuoni ukajpange upya. kwa taarifa yako asiyetuumba hawezi kutuumbua......so take ur time man n 4get about FF!!!
 
Nilidhani tumoJF kwa ajili ya kujadili chanagamoto za kimaisha kumbe wengine mmekuja kuchukia wenzenu...........!!!!!!!!!!!!!

Kamtafute Gea Habibu, Sakina wa Lyoka au Mishy Bomba uunge nao ushosti mkatafute la kufanya huko kwenye chachandu sijui sinia la leo.....humu weka mada watu tutumie bongo zetu kusaidiana kimawazo
:rant::rant:***~~~####...........!!!!!!!!!!!
 
Its simple,

Ukiona humpendi mtu, jua kuwa huyo mtu ni stronger than you.

Sio kosa la FaizaFoxy that you are weak.

Work to get stronger...

Nilikuwepo!
 
Sasa kama hujui kwanini humpendi unaanzisha thread ya nini sasa??

Watu wengine bana kujaza saver bila hata sababu za msingi sijui mkoje

Wewe kama hupendi michango na mabishano yake kuna option hapo

ya kuweka ignore list ili usione michango yake shida iko wapi tena???
 
Umenikiumbusha:
Kulikuwa kuna "komedi" show ya TV zamani nilipokuwa nje ya TZ. Inaitwa "non stop nonsense" inaudhi watu hakuna aipendae lakini ikifika time yake kila mtu anaifatilia.

Na wewe unajidai hunipendi lakini kama hunioni unantafuta. Leo hujaniona muda mrefu ukanifungulia nyuzi. Nakupenda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…