Simpendi faizafoxy...sijui kwanini

Simpendi faizafoxy...sijui kwanini

only83

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2010
Posts
5,342
Reaction score
2,528
...Kuna watu wengi humu JF ambao kwa hakika mtazamo wa mawazo unatofautiana na mimi kwa kiasi kikubwa kama Malaria Sugu,Rejao nk..lakini kuna huyu mmoja anaitwa FAIZAFOXY lol!!

Yaani simpendi mpaka nashindwa nifanyaje.Nikiona comments zake au threads zake yaani akili yangu inatamani hata kuvunja PC yangu..sijui kwanini.
 
...Kuna watu wengi humu JF ambao kwa hakika mtazamo wa mawazo unatofautiana na mimi kwa kiasi kikubwa kama Malaria Sugu,Rejao nk..lakini kuna huyu mmoja anaitwa FAIZAFOXY lol!! Yaani simpendi mpaka nashindwa nifanyaje.Nikiona comments zake au threads zake yaani akili yangu inatamani hata kuvunja PC yangu..sijui kwanini.

mimi nampenda sana huyu mwana-JF.................................ningelikuwa badi zile enzi zangu ningemfuatilia kwa khali na mali...........................bahati mbaya sana sasa nimezeeka sana............................lol endeleza mawimbi yako faizafoxy.......................it is free World with almost zero censorship.............
 
...Kuna watu wengi humu JF ambao kwa hakika mtazamo wa mawazo unatofautiana na mimi kwa kiasi kikubwa kama Malaria Sugu,Rejao nk..lakini kuna huyu mmoja anaitwa FAIZAFOXY lol!! Yaani simpendi mpaka nashindwa nifanyaje.Nikiona comments zake au threads zake yaani akili yangu inatamani hata kuvunja PC yangu..sijui kwanini.

Kha! Wewe una lako jambo. Au ulipigwa kibuti?
 
ACHA HIZO MKUU, MPENDE ADUI YAKO NDIYO KANUNI KUU, ZINGINE BLABLA. badilika kifikra utampenda. fahamu yy kuna vitu anaviamini ambavyo kwa wengine ni ngumu, lkn sio 7bu ya kumchukia tafadhali ukubali uwe na amani moyoni/rohoni mwako, sina maana awe mwokozi wako no. Kama huwezi nakushauri mtafute umwambie tatizo fasce to face, kisha mpatane au mhamishe ajiunge na kambi yako
 
faizafoxy hapendi anachokifanya'ni kazi na analipwa'nataka ujue ff sio mtu bali kikundi cha watu wengi'ndio maana walijisahau wakaonyesha ile kitu ya kuwa online 24hrs'hakuna haja ya kuwachuukia
 
ukimzoea hana tabu kabisa, lakini unaweza mweka kwa ignore list yako ili usije pata hasara ya kuvunja pc yako bure, teh teh
 
Back
Top Bottom