GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,572
- 108,927
Halafu hapo hapo tena tukaambiwa kuwa huyo Shemeji yako ( Mchezaji Mweupe kutokea Uingereza ) anacheza Ligi Daraja la Tatu wakati kumbe anacheza Ligi Daraja la Tano Uingereza ambalo kwa huku Kwetu Tanzania ni sawa tu na Ndondo Cup ile ya Shaffih Dauda.
Kwahiyo Simon Msuva ( Shemeji Mtu ) na TFF mlidhani kabisa kuwa mtawafichq Watanzania wote ( hasa Waandishi wa Habari za Michezo ) Tanzania na mpaka Mimi GENTAMYCINE bingwa wa kupata Taarifa za Ndani na za Hatari nisingezijua kabisa?
Haya sasa kama kawaida najua wale ambao Exclusives zenu zote huwa mnazipata Kwangu Mimi GENTAMYCINE hapa JamiiForums na hii mtaichukua na kuitumia huku mkijifanya ni yenu au mmeitafuta nyie wakati kumbe mmeipata kutoka Kwangu The King.
Tafadhali mkiitumia huko katika Kurasa zenu au Mitandao yenu au kokote kule msione Aibu au Wivu kusema tu kuwa Taarifa hii ya Simon Msuva kumpigia pande Shemeji yake Mzungu ( Taifa Stars ) mmeitoa Kwangu GENTAMYCINE sawa?
Na nina Exclusives zingine kama Tatu hivi kabambe kweli kweli na hakuna cha Mwandishi wa Habari za Michezo au Mchambuzi wa Michezo Tanzania anazo isipokuwa ni Mimi tu GENTAMYCINE.
HATERS mliokuwa hamtaki nifunguliwe Jukwaa langu hili la UFALME la Michezo hapa JamiiForums mpo? Mnajisikiaje baada ya Mwamba na Mfalme Kurejea rasmi kwa Hekima na Busara za Moderators Wapendwa wa JamiiForums na JamiiForums Founder Maxence Melo?
Ni matumaini yangu kwamba HATERS Wote hamtokuwa mnasoma Exclusives zangu na Analysis zangu mbalimbali za Michezo hapa JamiiForums bali mtawapisha / mtawaacha tu wale ambao Wananikubali, Wananiamini na Wananiheshimu ndiyo wawe Wananisoma na Kuburudika nami "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" GENTAMYCINE sawa?
HATERS wangu wote nawaacheni na hii Zawadi yangu Kubwa Kwenu ya Yeremia ( Jeremiah ) 1:19.
Kwahiyo Simon Msuva ( Shemeji Mtu ) na TFF mlidhani kabisa kuwa mtawafichq Watanzania wote ( hasa Waandishi wa Habari za Michezo ) Tanzania na mpaka Mimi GENTAMYCINE bingwa wa kupata Taarifa za Ndani na za Hatari nisingezijua kabisa?
Haya sasa kama kawaida najua wale ambao Exclusives zenu zote huwa mnazipata Kwangu Mimi GENTAMYCINE hapa JamiiForums na hii mtaichukua na kuitumia huku mkijifanya ni yenu au mmeitafuta nyie wakati kumbe mmeipata kutoka Kwangu The King.
Tafadhali mkiitumia huko katika Kurasa zenu au Mitandao yenu au kokote kule msione Aibu au Wivu kusema tu kuwa Taarifa hii ya Simon Msuva kumpigia pande Shemeji yake Mzungu ( Taifa Stars ) mmeitoa Kwangu GENTAMYCINE sawa?
Na nina Exclusives zingine kama Tatu hivi kabambe kweli kweli na hakuna cha Mwandishi wa Habari za Michezo au Mchambuzi wa Michezo Tanzania anazo isipokuwa ni Mimi tu GENTAMYCINE.
HATERS mliokuwa hamtaki nifunguliwe Jukwaa langu hili la UFALME la Michezo hapa JamiiForums mpo? Mnajisikiaje baada ya Mwamba na Mfalme Kurejea rasmi kwa Hekima na Busara za Moderators Wapendwa wa JamiiForums na JamiiForums Founder Maxence Melo?
Ni matumaini yangu kwamba HATERS Wote hamtokuwa mnasoma Exclusives zangu na Analysis zangu mbalimbali za Michezo hapa JamiiForums bali mtawapisha / mtawaacha tu wale ambao Wananikubali, Wananiamini na Wananiheshimu ndiyo wawe Wananisoma na Kuburudika nami "Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer" GENTAMYCINE sawa?
HATERS wangu wote nawaacheni na hii Zawadi yangu Kubwa Kwenu ya Yeremia ( Jeremiah ) 1:19.