Simbachawene: Toka mpiga debe hadi Naibu waziri

Haya ndiyo maneno lakini siyo kwamba ooooo mpiga debe! Huyo alikuwa mpiga debe sasa siyo kajikomboa tumtake awakomboe wengine. Amepigana kwa juhudi hadi amekuwa msomi lakini watu hawataki! Big UP Simba kama Simba jana.

Mijitu mingine bana... yaani sredi inakwenda vizuri yenyewe inaharibu hali ya hewa. Sasa haya mambo ya simba jana yanakujaje, acheni machungu ya watu yapungue bana...:angry:
 
Siyo bongo lakini, hapa kwetu mpiga debe ni mpiga debe tu hata umuelimisheje anabaki kuwa hopeless na ukichukulia hiyo shahada ya chuo huria haikai darasani sidhani kama analaziada zaidi la ganda la cheti

Sisi waafrika tuna vijinasaba vingi sana vya wivu
 
Haya sasa, mleta huu uzi uko wapi? mmempambaweeee lakini leo kafumaniwa.
Naungana na watu wote waliomponda huyu mh.Simba Chamwene kwenye thread hii
 
REkebisha kidogo hilo jina la shemeji yake aliyekuwa mmiliki wa kampuni ya mabasi ya urafiki ,,"Jina lake ni JOSEPH CHOVE ” Kwa sasa ni marehemu. siyo george chove kama ulivyosema
 
Usihangaike na CV Ya Mh. Simbachawene cha zaidi ni Degree ya sheria toka chuo kikuu huria, lazima atakuwa ni kichwa au degree zenyewe za chuo hicho ni nyepesi kwa sababu wakati anajisomea chuo hicho huria alikuwa ni mpiga debe katika mabasi ya shemeji yake George Chove , mabasi ya urafiki. Alikuwa akipiga debe lake Stand ya zamani Dodoma pale Nyuma ya SIDO. Alichokuwa anawaudhi wasafili ni ile tabia yake ya kuwahi mizigo ya abiria na saa ingine kuwabeba na kuwaingiza katika basi lake la Urafiki hasa wanawake alikuwa anawabeba akiwashika sehemu zingine ambazo walikuwa hawapendi,


Siku moja mpiga debe mwenzie akiitwa Gerard alisagwa na basi siku hiyo Simbachawene alilia kama motto mdogo. Hata hivyo wadau wengi hawashangai sana kwani Josep Starling alikuwa shoe shiner hadi Rais wa Urusi ile ya zamani kabla ya kusambalatishwa na marekani.

LEO KAFUMANIWA HUKO SINGIDANI, nASIKIA JAMAA MWENYE MKE KAMKATA SIMBACHAWENE MKONO NA KUMUHARIBU KABISA HUKO KWINGINE
 
Sasa Yanga CHAWENE ni toka Unaibu waziri Mpaka KUSHIKWA UGONI NA KUKATWA MAPANGA tehe!!!!!!!!!!! Magamba bwana
 
Simba kweli kuna muda aliwahi kujaribu kuwa mtu wa maana pamoja na kina Ane kilango, ...
Lakini naona , kama alivyosema jamaa mmoja hapo juu kaamua kurudia kazi yake ya zamani ya upiga debe kwa kuipigia
debe CCM.

Tena wakati mwingine huwa anaamua tu kuwabishia kina Tundu Lissu, sui kwanini!?
Nakumbuka Tundu Lissu alipothibitisha kisheria kuwa kuvaa skafu yenye bendera ya taifa alikofanya mbunge mmoja wa
ccm bungeni....hilo ni kosa la jinai kwa mujibu wa sheria zetu, na Lissu akashauri jamaa ashugulikiwe kisheria au bunge
litamke kuwa sheria hiyo imefutwa!

Ajabu ya dunia Simbachawene alikuwa amekaimu kiti cha spika ......akasema eti Lissu amepitwa na wakati sababu hilo
swala raisi alishatamka kuwa watu waachwe wavae bendera za taifa!!!!!

Hapo ndipo nikamdharau sana sana bwana huyu, tamko la raisi lina tengua sheria???
Unamdharau vipi wakati RAIS ndie anae-Sign sheria!Wabunge wote 375 hata wakipitsha sheria yoyote ile,kama rais peke yake atagoma kuisign Basi haiwi sheria!Rais ndio mwenye sheria bana!Mpiga debe alikwa Mulemule
 
Usihangaike na CV Ya Mh. Simbachawene cha zaidi ni Degree ya sheria toka chuo kikuu huria, lazima atakuwa ni kichwa au degree zenyewe za chuo hicho ni nyepesi kwa sababu wakati anajisomea chuo hicho huria alikuwa ni mpiga debe katika mabasi ya shemeji yake George Chove , mabasi ya urafiki. Alikuwa akipiga debe lake Stand ya zamani Dodoma pale Nyuma ya SIDO. Alichokuwa anawaudhi wasafili ni ile tabia yake ya kuwahi mizigo ya abiria na saa ingine kuwabeba na kuwaingiza katika basi lake la Urafiki hasa wanawake alikuwa anawabeba akiwashika sehemu zingine ambazo walikuwa hawapendi,


Siku moja mpiga debe mwenzie akiitwa Gerard alisagwa na basi siku hiyo Simbachawene alilia kama motto mdogo. Hata hivyo wadau wengi hawashangai sana kwani Josep Starling alikuwa shoe shiner hadi Rais wa Urusi ile ya zamani kabla ya kusambalatishwa na marekani.

Mlipewa Profesa msomi mkampiga majungu, haya sasa
 
Usihangaike na CV Ya Mh. Simbachawene cha zaidi ni Degree ya sheria toka chuo kikuu huria, lazima atakuwa ni kichwa au degree zenyewe za chuo hicho ni nyepesi kwa sababu wakati anajisomea chuo hicho huria alikuwa ni mpiga debe katika mabasi ya shemeji yake George Chove , mabasi ya urafiki. Alikuwa akipiga debe lake Stand ya zamani Dodoma pale Nyuma ya SIDO. Alichokuwa anawaudhi wasafili ni ile tabia yake ya kuwahi mizigo ya abiria na saa ingine kuwabeba na kuwaingiza katika basi lake la Urafiki hasa wanawake alikuwa anawabeba akiwashika sehemu zingine ambazo walikuwa hawapendi,


Siku moja mpiga debe mwenzie akiitwa Gerard alisagwa na basi siku hiyo Simbachawene alilia kama motto mdogo. Hata hivyo wadau wengi hawashangai sana kwani Josep Starling alikuwa shoe shiner hadi Rais wa Urusi ile ya zamani kabla ya kusambalatishwa na marekani.
Sasa unataka nini mkuu na huo ujumbe wako wa kipumbavu ?, wewe umesoma wapi na umekuwa msaada gani gani kwa jamii ? kazi umbe umbea tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom