Ronal Reagan
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 5,299
- 3,055
Simba kweli kuna muda aliwahi kujaribu kuwa mtu wa maana pamoja na kina Ane kilango, ...
Lakini naona , kama alivyosema jamaa mmoja hapo juu kaamua kurudia kazi yake ya zamani ya upiga debe kwa kuipigia
debe CCM.
Tena wakati mwingine huwa anaamua tu kuwabishia kina Tundu Lissu, sui kwanini!?
Nakumbuka Tundu Lissu alipothibitisha kisheria kuwa kuvaa skafu yenye bendera ya taifa alikofanya mbunge mmoja wa
ccm bungeni....hilo ni kosa la jinai kwa mujibu wa sheria zetu, na Lissu akashauri jamaa ashugulikiwe kisheria au bunge
litamke kuwa sheria hiyo imefutwa!
Ajabu ya dunia Simbachawene alikuwa amekaimu kiti cha spika ......akasema eti Lissu amepitwa na wakati sababu hilo
swala raisi alishatamka kuwa watu waachwe wavae bendera za taifa!!!!!
Hapo ndipo nikamdharau sana sana bwana huyu, tamko la raisi lina tengua sheria???
Mchango mzuri + signature yako pia ni nzuri.