Hajto
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 5,595
- 5,487
Huyu mtoto Simba walitakaga kumchukua sema kuna siasa ziliingiaga,Huyu kwa simba anatufaa sana msimu huu unaokujaKabunda si mtu mzuri
Huyu mtoto Simba walitakaga kumchukua sema kuna siasa ziliingiaga,Huyu kwa simba anatufaa sana msimu huu unaokujaKabunda si mtu mzuri
Kabebwa wapi?Ni aibu kushangalia huu upuuzi
Yalivyo mabwege utaona yakishangilia hapa bila aibuMpira wa kubebana sio fair ata kidogo yani ata mtoto mdogo anajuwa simba kabebwa tena kwa mbeleko kali.
Sawa. Subilia J1 ushangilie Yanga yakifungwa.Ni aibu kushangalia huu upuuzi
Kabebwa wapi?
Sisi tunataka ushindi ye analalama tunabebwa asubiri mechi Yanga Vs Azam ndo hamna kubebwaMkuu anahitaji msaada huyo
Na bado mpaka msusie ligiMpira wa kubebana sio fair ata kidogo yani ata mtoto mdogo anajuwa simba kabebwa tena kwa mbeleko kali.
Ni kwa vile basi tu sina madalaka kuna watu unaweza kuwanyonga bila kupepesa macho. Hivi kwa mfano refer wa mechi yaleo baada ya mechi akipelekwa kuangalia maludio ya alichokifanya awezi kuzimia kwa pressure?Yalivyo mabwege utaona yakishangilia hapa bila aibu
Mkuu mechi imeisha?FT KMC 1 Simba 2
Mnyama kalazimisha ushindi.
Usimlaumu mkuu,anafamilia yule njaa mbaya sana,hapo kashaambiwa mtoto atasomeshwa hadi chuoNi kwa vile basi tu sina madalaka kuna watu unaweza kuwanyonga bila kupepesa macho. Hivi kwa mfano refer wa mechi yaleo baada ya mechi akipelekwa kuangalia maludio ya alichokifanya awezi kuzimia kwa pressure?
Hakuna beki pale,hata mimi nampita yuleZana timu nyingi za TPL zimeshamsoma