OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 49,242
- 103,943
- Thread starter
- #81
Full timeMkuu mechi imeisha?
Full timeMkuu mechi imeisha?
Dahh nimecheka sanaaa..eti ingekuwa yangambiwa pia usingefurahii??? Hahahahahhh ahahahahahhahah umepanik broo ruksa👍Hata ingetokea yanga hii nisingeshangilia kabisa..yan ligi yetu bado sana aisee
Njaa zinaharibu hii ligi
Yaani ni aibu.Muhamala unafanya kazi yake sawia,ahsante refa
Kweli kabisa. Ile ya offside ndo nimeshangaa sanaMimi si shabiki ni mwanachama hai wa Simba Sports Club lkn kwa hali hii niliyoiona kwenye mchezo wa leo siyo sawa, tumebebwa mno mpaka mpira umepoteza ladha. Penalty zote mbili hazikustahili na pia hiyo iliyotafsiriwa kama offside kwa KMC haikuwa offside ni vile tu kuna jambo linaendelea nyuma ya pazia. Ningefurahi zaidi kama ubingwa wetu ungepatikana kwa nguvu na uwezo wa wachezaji na benchi la ufundi ili tuwe na nafasi ya kuwapima wachezaji wetu kuelekea mashindano makubwa ya Club Bingwa Africa.
Tatizo lenu mnakuwa mashabiki mliopitiliza, penye ukweli sema ukweli, mm yanga ndiyo lakini nikwamba leo mmebebwa kwa kiwango cha lami basi tu mungu ataamua siku ya mwisho.FT KMC 1 Simba 2
Mnyama kalazimisha ushindi.
Yule hafai kuanza mechi za TPL tena wameshamfanyia kaziHakuna beki pale,hata mimi nampita yule
Kwa maslahi mapana ya Taifa letu,mpira wetu kutangazika,wacha simba achukue ubingwa tuu maana ndio anatendea haki uwakilishi wa nchi Mambo mengine kawaida kwenye soka mwaka 2002 katika kufuzu kuja ujerumani World Cup ya 2002 Brazil vs Argentina ilibidi Brazil apewe penati 4 ili ashinde FIFA na America ya kusini ipate mwakilishi Bora na bingwa wa kihistoria....baada ya kubebwa Brazil akaenda kutwaa kombe la dunia kule ujerumani kwaio mda mwingine Kuna kukamiwa kwa Timu kwenye mechi za ndani ndomana hata unaona kwenye mechi fair play mchezaji mkubwa huwa analindwa...kwaio TFF kulinda Timu kubwa kwenye mechi ni fair play tuuMimi si shabiki ni mwanachama hai wa Simba Sports Club lkn kwa hali hii niliyoiona kwenye mchezo wa leo siyo sawa, tumebebwa mno mpaka mpira umepoteza ladha. Penalty zote mbili hazikustahili na pia hiyo iliyotafsiriwa kama offside kwa KMC haikuwa offside ni vile tu kuna jambo linaendelea nyuma ya pazia. Ningefurahi zaidi kama ubingwa wetu ungepatikana kwa nguvu na uwezo wa wachezaji na benchi la ufundi ili tuwe na nafasi ya kuwapima wachezaji wetu kuelekea mashindano makubwa ya Club Bingwa Africa.
Umejifanya kua mwa simba lakini si mwanasimba.Mimi si shabiki ni mwanachama hai wa Simba Sports Club lkn kwa hali hii niliyoiona kwenye mchezo wa leo siyo sawa, tumebebwa mno mpaka mpira umepoteza ladha. Penalty zote mbili hazikustahili na pia hiyo iliyotafsiriwa kama offside kwa KMC haikuwa offside ni vile tu kuna jambo linaendelea nyuma ya pazia. Ningefurahi zaidi kama ubingwa wetu ungepatikana kwa nguvu na uwezo wa wachezaji na benchi la ufundi ili tuwe na nafasi ya kuwapima wachezaji wetu kuelekea mashindano makubwa ya Club Bingwa Africa.
Bwege mwenyewe bwana povu uko kwa yanga yenu walioanza mgomoYalivyo mabwege utaona yakishangilia hapa bila aibu
Ushabiki usitufanye tuwe vipofu nafahamu wewe nimwanamke mpenda mpira tena sana lkn penye ukweli sema kweli ni kwa manufaa mazima ya mpira wetu wala sio vinginevyo.Bwege mwenyewe bwana povu uko kwa yanga yenu walioanza mgomo
Wambie sisi nawao nani mabwege?? Maana jana wachezaji wa yanga walisusia mazoezi kisa mshahara mwezi wa tano hawajalipwa,sasa mshabiki matonya fc unakuja hapa nakusema simba nimabwege,tumefka robo fainal ya caf nyie mlifka mwaka gani huku??Bwege mwenyewe bwana povu uko kwa yanga yenu walioanza mgomo
kwa hilo la Zahera kuongea ungekaa kimya ukaficha aibu yako. Kufungwa au kushinda kwa timu ni suala la kiufundi, timu ikifungwa unataka aseme Nani? Liverpool ikifungwa huwa unamsikia Nani anaongea?Hamna timu inawatu wa ajabu kama yanga,wakishinda utawaona wakipayuka oooh tuko vizuri ,nakocha nao pia utasikia ubingwa niwetu but ngoja wafungwe sasa yaani utasikia ooh refa ,ooh tff ...very stupid clud.....simba juzi alifungwa na kagera but hujasikia simba ikilalamikia refa wala tff...Zahera msemaji yeye,kocha yeye ,meneja wa timu niyeye
Umejifanya kua mwa simba lakini si mwanasimba.
Kwenye suala la offside kwenye refa kakosea may be hajui tafsiri ya offside.
Ila swala la penati zote zilikua halali ukiangalia mpira wale mabeki waliunawa.
Lakini hatuwezi kukupinga hoja yako, ila ni kwa nini unasema hazikua penati halali?