Daah! Ile ndio TPL Mtani.
Kwa hali hii huko kazi mtakuwa nayo.Hii ligi iishe turudi Champions League tu
Kwa hali hii huko kazi mtakuwa nayo.
Hivyo unategemea kwa hali hii mwakani yajirudie. Teh. Sijui lakini Mtani.Hahaha, kwani hukuona kazi yetu kule?
Hii ligi ni ngumu sana, ligi haina udhamini, timu zote zinalia njaa.
😝😝😝😝 This is mnyamaNimeona ulivyoteseka. Shukuru ile mbeleko best la sivyo ungehadhirika.
Hahaaa. Wenyewe mnayajua hayo ila mnajitoa ufahamu tu.😝😝😝😝 This is mnyama
Mambo ya kubebwa yanaharibu soka la Tanzania, timu zikitoka nje ni tano tanoMpira wa kubebana sio fair ata kidogo yani ata mtoto mdogo anajuwa simba kabebwa tena kwa mbeleko kali.
Nashindwa nini na watu kibao pale .. Umeona wapi timu ina viporo 12..kaangalie msimamo wa ligi Misri na Congo viporo mechi 2.. Mikia wanaandika barua TFF mechi yao na Biashara isogezwe mbele wajiandae mechi na Yanga . Ujinga kabisa. . Na mengine mengi siwezi kuandika hapa.. Unafikiria nimezaliwa Bara.. Born here here chocho zote nazijuaUkiitwa kutoa ushahidi Takukuru unaweza kuthibitisha hilo???
Hivyo unategemea kwa hali hii mwakani yajirudie. Teh. Sijui lakini Mtani.
Hivyo hiyo inafanya kila anayeingia kwenye anga zenu anufaike. Hakuna cha refa wala timu pinzani. Lol.