Ghazwat
JF-Expert Member
- Oct 4, 2015
- 23,718
- 66,262
Yaani Simba kuingia uwanjani ni kupenda tu kutoa burudani kwa mashabiki...Lakini tuna uwezo wa kufanya lolote
Tunafanya tunavyotaka..SimbaNguvuMoja
Tunafanya tunavyotaka..SimbaNguvuMoja
Duu si kwa mbeleko ile! kweli mmedhamilia!!!! Ndio mana vi timu vyetu vinachapika tu! Ligi mbovu hutoa timu mbovu ya Taifa! Tukutane Misri mwezi Juni